ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 4,143
- 2,829
hip hop ni uhuni,nyi vijana baada ya kujadili katiba,tezi dume,escrow,mnaimba uhuni tu hapa.sisi wazee tunawategemea huku kijijini kuiondoa ccm nyie mnafanya mambo ya hovyo kabisa.Tumepigika sana huku.pasco,miss chaga,mzizi mkavu,jr mshana,vijana wanaharibu jf yetu hawa