Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Kamari mistari/
Jabali kabari/
Roba kali;
Kidizaini nikuite mwali/
Acha jeuri tafakari/
Wakati ushachezea vikwezi
Visivyo na idadi/
Msogelee@kim nana uone radi/
Kumpenda Kim nana kwangu kama jadi/

Viol una ndoto za abunuasi/
kumtake my wife Kim nana si kazi Rahisi/
unafanya mambo yaki ibirisi/
kwenda kwa mganga umpate kim nana kiurahisi/
Una steam kibao dogo acha kuvuta nyasi/
snipa mi ni Necta usiposoma huto pass/

Viol unapoteza muda bure/
time hizi ulipaswa kuwa shule/
haaha unachekesha bundle lako linaisha bure/
unalelewa na mishuga mammy we kula kulala bure/

Naona pressure inakushuka/
unamtumia PM Kim nana nimeishajua sasa utaumbuka/
please achana na mimi Viol heshma yako itashuka/

Huu ni ukweli hutaki ila nakupa/
unamtumia PM my wife Kim nana hata jibu hajakupa/
Et oooh Kim nana Viol ndo mimi hapa/
Angalia hadhi yako hufai kuwa na snipa/
Mcheki snipa maskini wakutupwa/
Jamani Kim nana kitu snipa atakupa/

Sikia Viol majibu uliyopewa leo/
Jaman Viol sikupendi mi unanipa kero/
nampenda snipa ata akiwa na jero/
snipa ni fundi mpaka wa katerero/
Mahaba anayonipa, nipo tayari anioe hata leo/
Viol sikupendi nielewe mwenzio/

snipa !


anaeacha asili siku zote ni mjinga
michano yangu mikali inapasua anga
joto linawapanda haters mi upepo napunga
vita ya peni smtymez ni kali kuzidi ya mapanga
hii game ni full kuhustle nami nimetia nanga
anaesepa atoke tunaobaki wacha tusake mpunga


shiny c hujui kufloo kwanza nin mana ya asili/
hebu jiangalie kidume unavaa bangili/
Uandishi wako unaonyesha shiny c huna akil/
We ni Dumelang tena makilikili/

huna chakufanya shiny c unawaza nini/
Njoo kwa snipa utaishi vizuri hapa mjini/
kama hutaki Rudi bush kule kwenu kijijini/
shiny c unainamisha kichwa chini/
Hii mistari ni ya snipa usizani kaandika jini/

hey shiny cee your the fake Emcee! You should quit hip hop !

snipa
 
Last edited by a moderator:
Viol una ndoto za abunuasi/
kumtake my wife Kim nana si kazi Rahisi/
unafanya mambo yaki ibirisi/
kwenda kwa mganga umpate kim nana kiurahisi/
Una steam kibao dogo acha kuvuta nyasi/
snipa mi ni Necta usiposoma huto pass/

Viol unapoteza muda bure/
time hizi ulipaswa kuwa shule/
haaha unachekesha bundle lako linaisha bure/
unalelewa na mishuga mammy we kula kulala bure/

Naona pressure inakushuka/
unamtumia PM Kim nana nimeishajua sasa utaumbuka/
please achana na mimi Viol heshma yako itashuka/

Huu ni ukweli hutaki ila nakupa/
unamtumia PM my wife Kim nana hata jibu hajakupa/
Et oooh Kim nana Viol ndo mimi hapa/
Angalia hadhi yako hufai kuwa na snipa/
Mcheki snipa maskini wakutupwa/
Jamani Kim nana kitu snipa atakupa/

Sikia Viol majibu uliyopewa leo/
Jaman Viol sikupendi mi unanipa kero/
nampenda snipa ata akiwa na jero/
snipa ni fundi mpaka wa katerero/
Mahaba anayonipa, nipo tayari anioe hata leo/
Viol sikupendi nielewe mwenzio/

snipa !





shiny c hujui kufloo kwanza nin mana ya asili/
hebu jiangalie kidume unavaa bangili/
Uandishi wako unaonyesha shiny c huna akil/
We ni Dumelang tena makilikili/

huna chakufanya shiny c unawaza nini/
Njoo kwa snipa utaishi vizuri hapa mjini/
kama hutaki Rudi bush kule kwenu kijijini/
shiny c unainamisha kichwa chini/
Hii mistari ni ya snipa usizani kaandika jini/

hey shiny cee your the fake Emcee! You should quit hip hop !

snipa

Hahahaaaaaaaaaaa, mwambie aeleweeeeeee, me na wewe mileleeeeee!
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaaa, nakuja Viol......chezea ruti za dubai...!
Dinazarde mjiandae kunisindikiza airport.


Kim nana my love usidhani sikuelewi/
unampa moyo Viol ambaye hajielewi/
Dinazarde wenzako Viol hajielewi/
Dubai atawapandisha ungo Viol bonge la mchawi/

Ila my wife Kim nana mpe moyo asije akajinyonga/
nimemwambia Viol aende Twanga akakate nyonga/
asije kubeba sembe Kama Cliff china watamnyonga/

Akikufuata tena mi ntampiga risasi ka jambazi/
Nasema mbele yako tena wazi wazi/
Viol umri umeenda bado anaishi kwa wazazi/
hahaaa Viol mpaka sasa huna hata kazi/
please hebu niache na Kim nana changu kipenzi/

snipa
 
Last edited by a moderator:
Kim nana my love usidhani sikuelewi/
unampa moyo Viol ambaye hajielewi/
Dinazarde wenzako Viol hajielewi/
Dubai atawapandisha ungo Viol bonge la mchawi/

Ila my wife Kim nana mpe moyo asije akajinyonga/
nimemwambia Viol aende Twanga akakate nyonga/
asije kubeba sembe Kama Cliff china watamnyonga/

Akikufuata tena mi ntampiga risasi ka jambazi/
Nasema mbele yako tena wazi wazi/
Viol umri umeenda bado anaishi kwa wazazi/
hahaaa Viol mpaka sasa huna hata kazi/
please hebu niache na Kim nana changu kipenzi/

snipa

Tatizo Viol alinipa maneno matamu hadi nikataka niahirishe harusi.....ila me na wewe tu.
Haya Viol popote ulipo njoo ujieleze kwa babe angu....!
 
Last edited by a moderator:
machon ujanja mwing,demu had leo kukubal anakuwekea viging,snipa kumchinja kobe n taiming,vizawad na shiling,enz za maneno matupu yalipita miaka ming,viol kaza umpiku snipa huyu pimb,watoto wa huyu demu wakuite wewe ding
 
Kim nana my love usidhani sikuelewi/
unampa moyo Viol ambaye hajielewi/
Dinazarde wenzako Viol hajielewi/
Dubai atawapandisha ungo Viol bonge la mchawi/

Ila my wife Kim nana mpe moyo asije akajinyonga/
nimemwambia Viol aende Twanga akakate nyonga/
asije kubeba sembe Kama Cliff china watamnyonga/

Akikufuata tena mi ntampiga risasi ka jambazi/
Nasema mbele yako tena wazi wazi/
Viol umri umeenda bado anaishi kwa wazazi/
hahaaa Viol mpaka sasa huna hata kazi/
please hebu niache na Kim nana changu kipenzi/

snipa
Account yangu inasoma/
Mkwanja zaidi ya mbunge wa katiba dodoma/
Utamtibu nini Kim nana akiwa na homa/
Au unataka umlete kwenye lenu boma/
Lenye laama mpaka uswazi wanakoma/
 
Last edited by a moderator:
Tatizo Viol alinipa maneno matamu hadi nikataka niahirishe harusi.....ila me na wewe tu.
Haya Viol popote ulipo njoo ujieleze kwa babe angu....!

Nakupenda si utani/
We ni taa unamulika mpaka gizani/
Ni mida ya kulala njoo kitandani/
Acha mto njoo lalia kifuani/
Nikukiss lips unaniangalia machoni/
Nikushike kiuno nikulambe shingoni/
Usikie raha kama uko peponi/
Ulalame kwa mahaba kama uko ndotoni/
Jamani/ Kim nana mapenzi bila mi
Ni utani/
 
Last edited by a moderator:
machon ujanja mwing,demu had leo kukubal anakuwekea viging,snipa kumchinja kobe n taiming,vizawad na shiling,enz za maneno matupu yalipita miaka ming,viol kaza umpiku snipa huyu pimb,watoto wa huyu demu wakuite wewe ding
Nishaona hilo mwana/
anajigamba tangu jana mchana/
Halafu kalala na ugali wa jana/
Ngoja tumpe mistari mipana/
Aya za maana/tumrudishe bongo fleva pua anabana/
mistari namwaga/
Kama utitiri na janga/
 
shiny c hujui kufloo kwanza nin mana ya asili/
hebu jiangalie kidume unavaa bangili/
Uandishi wako unaonyesha shiny c huna akil/
We ni Dumelang tena makilikili/

huna chakufanya shiny c unawaza nini/
Njoo kwa snipa utaishi vizuri hapa mjini/
kama hutaki Rudi bush kule kwenu kijijini/
shiny c unainamisha kichwa chini/
Hii mistari ni ya snipa usizani kaandika jini/

hey shiny cee your the fake Emcee! You should quit hip hop !

snipa

nimeingia kwenye game kutawala na kuflow
snipa kapige zoezi la kiuno kacheze ngololo
deal zangu six fugures zako zitishia tu kilo
mi na shine na magold chainz we kavae mnyorolo
ni kazi mwendo mdundo chin nna buti we kavae kapelo
kaimbe rap katuni tuache tupge kazi full solo
swaga zangu sio za madem wako ni za wajuu kina j.lo
 
Nishaona hilo mwana/
anajigamba tangu jana mchana/
Halafu kalala na ugali wa jana/
Ngoja tumpe mistari mipana/
Aya za maana/tumrudishe bongo fleva pua anabana/
mistari namwaga/
Kama utitiri na janga/

Kim nana snipa n mpiga ngeta,hivi uogop maradhi jamaa ana mkono wa sweta,mzungu wa unga huyo atakufundisha kunyeta,hiyo ndiyo elimu aitoaya anajiita necta,hafuguki snipa ni mtoto pori,tulia na viol,muwe couple magori,usije jutia maishani mwako kumpenda huyo konda wa maroli,asiyeijua thaman yako na kukufananisha na midoli,
 
Utama umebaki duni/tangu utanda ulivyoachwa wazi
Sanaa imegeuka uhuni/askari amekuwa jambazi
Uchama umepanda basi/lenye matairi kipara
Huku udini upo mwendo kasi/kando kando ya barabara
Siasa imeshakua safina/linalobeba wasomi wa vyuo vikuu
Na bidhaa feki za kichina/Tz ndio soko kuu
Amani inapiga marimba/kwenye kwa ya sabato
Ufisadi unacheza sindimba/magogoni kwa minyato.......
 
Account yangu inasoma/
Mkwanja zaidi ya mbunge wa katiba dodoma/
Utamtibu nini Kim nana akiwa na homa/
Au unataka umlete kwenye lenu boma/
Lenye laama mpaka uswazi wanakoma/


Viol nishakwambia tangu jana/
Hata ukaroge huwezi kumpata Kim nana/
Anavyonipenda ananiwaza usiku namchana/
Umri wako na wake usidhani mnafanana/
We zee jitu zima huendani na kim nana/

Tuache mi na yeye vijana wa juzi juzi/
Umri wako umeenda umekomaa sura mbuzi/
Si watoto wateketeke bado tupo kwenye makuzi/
Usilete matusi ili mod waufute huu uzi/

Viol kim nana kaishakuabisha/
hujishangai heshima kaisha kushusha/
Relax usijekufa kwa presha/
kawaambie wenzio snipa level nyingine ni anatisha/

snipa !
 
Last edited by a moderator:
Nakupenda si utani/
We ni taa unamulika mpaka gizani/
Ni mida ya kulala njoo kitandani/
Acha mto njoo lalia kifuani/
Nikukiss lips unaniangalia machoni/
Nikushike kiuno nikulambe shingoni/
Usikie raha kama uko peponi/
Ulalame kwa mahaba kama uko ndotoni/
Jamani/ Kim nana mapenzi bila mi
Ni utani/


Please Viol acha utani/
unampenda kim nana haha kasema nani?/
Kim nana my wife mi nawe hasirani/
achana na hawa wanafiki wanatuweka mashakani/
tena uwaambie hakuna kama mimi duniani/
usiponipenda mimi waulize utampenda nani?/

Viol we ni sura kama nyani/
Afu huu ni ukweli usidhani utani/
hujui ku flow hebu Rudi darasani/
unajiuliza hivi snipa ye ni nani/
Mi natoa mistari sio kama invisible anaetoa ban/

snipa
 
Last edited by a moderator:
nimeingia kwenye game kutawala na kuflow
snipa kapige zoezi la kiuno kacheze ngololo
deal zangu six fugures zako zitishia tu kilo
mi na shine na magold chainz we kavae mnyorolo
ni kazi mwendo mdundo chin nna buti we kavae kapelo
kaimbe rap katuni tuache tupge kazi full solo
swaga zangu sio za madem wako ni za wajuu kina j.lo


shiny c we bado una force vina/
Mi nikiwa booth huruma nakuwa sina/
we kidume afu kwenye kucha umepaka ina/
Mi ni verified user nisiye kuwa na jina/
Unajiita una Galaxy wakati una simu ya kichina/
Zote ni sifa ili kwa madem ukuze jina/
 
Last edited by a moderator:
Niko booth Snipa hii mistari nimeona niitunge/
kama mtamaindi mkiweza tu mnifunge/
na hasira na hii serikali mpaka Bunge/
Nikiongea ukweli Police wanamaindi wanifunge/
Mpaka sasa Maoni yangu sijasikia ndani ya Bunge/
Ila katiba si ni ya Raia basi tuachieni tuitunge/
Mi na Fikra na mawazo chanya msidhani mi kingunge/

Vijana hakuna wanacho waza/
ulevi, mapenzi, pombe wameweka mbele kwanza/
Serikali nayo eti kili bado kwanza/
Elimu ipo nyuma Kisa walimu mnawakwaza/
hebu wapeni haki yao Achaneni na katiba kwanza/
Maendeleo Dar tu fikeni mpaka mwanza/

Tanzania Bado maendeleo ni chini/
Wananchi nao hali zao bado Duni/
Elimu nayo ya wanafunzi bado duni/
Tulio Chini hatuna sauti nyie mliojuu mnafanya nini/
Kumbukeni ni nani aliye waweka madarakani/
Mlikopatia ubunge wananchi Barabara ni vichakani/
Mnachekesha Dar mmesihapafanya ndo maskani/
Nani abaki Dodoma wote mnakimbilioa mjini/

Raisi posho bungeni zinaenda bure/
ni Bora ukanunua vitabu utoe kwenye mashule/
Hakuna kitu kimpya bungeni mambo yaleyale/
kama watoto wadogo yani ni full kelele/

Bungeni nidhamu hakuna sote tuna uhakika/
Hawajali huyu nani hawamweshim hata spika/
Eeeh mungu wakati ushafika/
Tanzania nzima miaka yazidi katika/
Bado hali duni hakuna maendeleo Afrika/
Mali asili zote sasa sio mali ya Afrika/
Wote tunajione migodi inazidi Chimbika/
Wote tukiwa na nia mbali Tutafika/

snipa
 
Last edited by a moderator:
Me ndo mtengwa kama chindo, yuzzo au JCB/ nimekuja kwa kishindo, who wanna battle me/ kwenye forum ya kijamii, ndo me na socialize/ stimu kama nimekunywa dadii, akili inawaza kazi/
 
Lyrical sniper, sio JF snipa/ wahapahapa, nawachapa/ bila lapa, sihofii fally ukija pupa/
 
Lyrical sniper, sio JF snipa/ wahapahapa, nawachapa/ bila lapa, sihofii fally ukija pupa/


Naona kila mtu anavamia hii thread/
Watoto wazee mpaka wewe bar med/
imeisha eleweka nani mkali kwenye hii thread/
fight with snipa i'll bop your head/

Ushanikera nna hasira zaidi ya Mbogo/
Ukija pupa ntakutoa huo ubongo/
Mi naandika ukweli we ni mbea tena muongo/
Ntakupoteza kwenye gem snipa nilivyo na usongo/
upo bush unataka kuja Bongo/
Njo basi uanze biashara ya gongo/

Kuchanana na wewe sahizi sitaki/
Nimechana sana kupumzika ni yangu haki/
Nasepa na ma wife Kim nana kula mishkaki/
We mchafu kufuatana na sisi wala hatutaki/

Over
!
snipa
 
Last edited by a moderator:
Kuku ushaelekea kibra, lazima uchinjike/ me ndo muhuni nisie na toba, napapasa wadume jike/ unajisifu unaandika, haa mashairi malenga wapya/ hapa kwangu utachoka, utaishia kupiga chafya/ sina habari na machoko, snitch bera mute/ me ndo rich wa hizi voko, en this is ma duty/ napanda dau kama mdau kwenye soko la hisa/ snipa usiache mbachau me ni msala unaopita/
 
Nina mahiri hoja, snipa niombe msamaha/ niko mbele maili moja, ukinitaka nifate kibaha/ Kibonde utaongoza jahazi, nikishuka Captain/ zingua nikutukanie mzazi, uone how does it pain/ nawapaisha masikini kama promotion za fast jet/ mweusi mpaka meno sina undugu na white dent/ flow zako zinatambaa, zangu zimesimama dede/ nakupa ruksa kushangaa, ka umemeet mzungu anaepiga debe/ smart don nang'aa bila ya smart phone/ flow kama wayne, nawakimbiza ki Roneey/ snipa mganga wa jadi, huwezi jua my destination/ me ni mjanja wa padi, na play kila station/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom