august alsina
Member
- Oct 20, 2015
- 40
- 24
prakata tumba,,, tumba,,, tumba,,, akiewasi boo na so wasi yee pile weee.. prakata tataa tumba,, tumba,, tumba
Haha haha haha umetisha kaka
prakata tumba,,, tumba,,, tumba,,, akiewasi boo na so wasi yee pile weee.. prakata tataa tumba,, tumba,, tumba
Punda usibebe mzigo /kwenda ulaya kumake bingo
Utaishia kukatwa shingo /ubaki historia ka mabitozi wa migo migo
Vijana tumedolola kiakili /ndo mana wadosi wametufanya deal
tafakari mara mbili /wapiga deal wamejaa muhimbili
Masikini ili upone /mlambe tajiri ili akuone
Matiti ya kina dada /Leo wachungaji wameyafanya ibada
Wengi wanatupoteza /wamejaa tamaa ya harufu ya fedha
I can write rhymes and all, but I can't spit at all. Not nowadays. I'm like the Mobb Deep, I don't have the aggressive look I lay rhymes with.
Nimeshadondosha za kutosha mbona. Nimekosa challenge na mzuka tu wa kuendelea.Acha ufaza hebu tiririka hapa! Wanao wajue mzee mtu hatari sana...
Mkuu umesema sawa, na dawa ni kujituma
People bila power, ni kama kunawa bila kugusa nguna
Japo rasilimali za wazawa, wamegawa miundombinu hakuna
Ila tusibebe madawa, mana hawashikwi hawa wanaotutuma
Hawana shughuli, na wameichagua tabu
Waambie nipo FULI, bila hata ya MAGU
Hawatujali raia, bali matumbo yao /chuki wanazipalilia, miongoni mwa wananchi wao
Serikali na propaganda, kuwatenga watu ki ukanda/wingu limetanda, bado tupo njia panda
Ufisadi si tu kwa serikali, hadi kwa watoto wadogo /Mtoto anapewa hela ya daftari, shuleni analia kipande cha muhogo
Mbona mpo kimya, tatizo vina au jina /fakes bado mnapima, tsunami au Katrina
Mi ni jembe, nisiyechagua mkulima /si hit Kwa kushika pembe, au ngekewa za kisukuma
Nitabaki kua fanani, sikia we hadhira /ki level hatufanani,ka viwango kwenye mpiratatizo sio jina,
Vina huna mc uchwara,
Unataka bato nasi,
Tukitokeza we unahara,
Mistari yangu profit,
we unagain tu hasara,
Hii ni zaidi ya kughani,
Sio mistari ya kuchora,
Wanakuita chlor gas,Nitabaki kua fanani, sikia we hadhira /ki level hatufanani,ka viwango kwenye mpira
Huwezi gain profit, kwangu utapoteza dira
Mistari ipo intact, ka nyet ya bikira