Magnifico wewe bado mtoto.
Leo hapa nawasha moto.
Nawachoma machoko.
Magnifico hivi una bwana.
Anhaaaaa........!
Maana huko nyuma ni balaa.Ukitembea roho yangu inagaagaa.
Nampongeza sana.
Aliye weza kuji kuna
Nakuleta post hii
Kwani marapa hatusikiki
Kwa hongo zamaproduza
Awa elewi vipaji wavipoteza
Ibra madishi nimekimbiza
Wengi wana wan garagaza
Mistari yangu ina vina
Kama ya kalapina
Wana jf mlie viona
Karibun moshi mweze kushuhudia
Piga 0767353440 uweze kushuhudia
Marapa toka mosh
Tuwaonyeshe mapish
.Kioo huniwezi
Ww ni kama ndezi
Umejipaka vipodozi
Yani kama andaazi
Ibrakwako ni jinamizi
Nakuchisha kwenye njozi
Umavaa nightdrees sio blauzi
Madem zako wote ni vilamba uzi
Ww ni kondoo anashindana mbuzi
Wajiona unahasira zaidi ya mkizi
Mimi kwako ni dozi
Utanitumia bila maamuzi
Nakuona kama tv
siena king'amuzi
Ww kwangu ni demu ninae kuita mpenzi
Ibra madishi huni wezi
Nibora uni enzi
Mosh rapa hapa www
Usipime kwa macho utapotea/
elements zako za kigasho chunga mtalmbo ucje ingia/
nnapflow punch lines,
maskio tega kuckizia/
nachana nabatle sana,
sibato na mahanisi/
kabla hujandis,
dis yo' damn face/
bwana mdogo chunga ucje pigwa ndunga,
ukatoka na aibu/
jaribu kuwa mpole,
rudi shule,
ushoga wako utaushnda majaribu
Utuoneshe mapishi
Au uoneshe matapish
Hata kama haupish
Mi napita haunitish
Na wala sifupish
Mi ni KIOO sio mbish
Wala hodi sibish
Naingia tu kibish
Wala siitaji dish
Wala sikufundish
Soma haya maandish
Straight siyapindish
Nakukunja zaid ya fish
Mi kwangu haijalish
Wala sikujulish
Njoo mbona unakish
Ishi,Siri sizivujish
We laini zaid ya Mish
Wala huniamasish
So,taji sikuvalish,wish...!
Call me KIOO,mi sio ibramadishi
wish matapishi mapish leo hapatoshi una mjua peter tosh?
mpe KIOO ajichek hizo hips
madhara ya kuku chips
Chinga One jasusi
mistari bila matusi
chenga kali kama mgosi
jilambe hilo lips?
njoo nikutoe kamasi.
yo yo anhaa....
Simjui peter tosh
Mi namjua tosh
Wa kiraka iyo haitosh
Check,mi sipotosh
Ladha zangu azichosh
Mi,sivuti mosh
Thamani zaid ya posh
Nenda kameze Rosh
Bana pua kama Nyosh
Nyi kwangu hamnitosh
Ni kama pool table tu
Mkija napiga woooosh
Woshi mtindo wa car wash
unavaa kauoshi
wakati kwapa hauoshi
ha ha ha shiiiii
mistari michafu ipige polishi
mi katili wa rhymes kama askar wa kiscotish
Njoo wewe na na wengine na niki mbishi
mi komando jasusi mtu mmoja jeshi
kwa mistar hatar hamnipiku hata mtoe cash
ha ha ha usicheke sichekeshi.
wala sikutishi
mistari yangu ni kiwakilishi.
Na0na mnachana vina shi shi,
Ngoja niwaelimishe kama kampen za ISHI,
Mpate kuISHI,
Kwa mistari mi ni Niki japo so mbISHI,
Nawachana kwa kiswaz
siwez kiinglISHI,
utunz wangu nazngtia matumz ya sarufi na kiambISHI,
Hamnitishi na taarabu zenu za Shilole SHI-SHI,
ha ha ha ha hip hop michano kapachino bila mauno ngoma za mirindimo mistari bila maneno ni sawa na selemala bila msumeno.
Ntakupiga msasa bila kilainishi
Kabla sijaanza waite wapatanishi
We sio niki mbishi una fanana na mishi
Hauwezi kuchana unaweza mapishi
Nakupa ibada ya mashairi japo si daruweshi
Huniwezi kwa mistari hunitishi
njoo kwenye hiphpop battle haunibabaishi.
magnifico mzushiHata nikimwaga yote mistari haiiniishi,
ni mwendo wa digital
king'amuzi na dish,
unaflow kama vanessa
nd'o mana hutishi,
umevamia fani
Chinga One kauze fish,