snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,523
- 2,164
Baada ya Kimya kidogo,nakuja na kishindo cha maana/ ma emcee wadogo, kaka mkubwa nimerudi kama jana/ nani anajiita voil, nimekuja kukupima/ una andika ka girl, mjinga mjinga dima/ niki shine mtengwa, haniwezi shiny C/ me ndo jua niote upate vitamin C/ me sio vampire, so simuogopi snipa/ kimistari niko higher, dizaini ya nimekwea pipa/
Bado snipa nna bonge la kasi/
Hakuna wakunishusha Namba 1 bonge la nafasi/
unachana vipi na bado una wasi wasi/
Kaa mbali Snipa ntakupiga Risasi/
Unatamani kuwa mimi Unashindwa tu kusema/
Najua umedatishwa na Barz nnazo tema/
Hukweli ndo huu kamwe huwezi kudema/
Waambie wenzako Damond kakubali Nnachosema/
Na Habari mbaya kwako kaishaniachia Wema/
Snipa next level Najua kupanga barz/
Na sina huruma nna Roho ya kijambazi/
Kasome tena Mana huna hata Kazi/
Mtoto mdogo wewe ntakuvisha pampazi/
snipa
Last edited by a moderator: