Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

njoon kwenye hii thread mistar ya xmass zawadi karibuni wadau.
 
UKAWA,wanagawa dawa,mpaka CCM wanapagawa,madaraka wamelewa,na Rugamalira wamepakatiwa,in good faith wame...iwa,ni mda wa nchi kuipinduwa!CCM madarakani kuwatowa.
 
njoon kwenye hii thread mistar ya xmass zawadi karibuni wadau.
mimi ndo xmas father,chek najiweza,na hapa bila mic nateleza,to the top najikweza,ganja nakataza,whisk ipo kwenye friza,pembeni na mtoto Faiza,mida ya nyt ntampuliza, squirting naziweza,dudu atalisuza,mwisho ntamnyunyiza,hakika ntamliwaza,tena love bila feza wala alteza,.....
 
Xmas ishafka,midundo tusha mwlini tusha inyuka,watoto wakiniona wote nawapa zawadi,wakubwawakubwa,nawato...bado shereh zinaendelea,again and again.
 
mimi ndo xmas father,chek najiweza,na hapa bila mic nateleza,to the top najikweza,ganja nakataza,whisk ipo kwenye friza,pembeni na mtoto Faiza,mida ya nyt ntampuliza, squirting naziweza,dudu atalisuza,mwisho ntamnyunyiza,hakika ntamliwaza,tena love bila feza wala alteza,.....

Yeah yeah anhaa OKW BOBAN SUNZU

hip hop michano midundo ya kikauzu

father xmass bila mzuzu ha ha ha nacheka kizuzu

ni shangwe za xmass na mwaka mpya water falls dizain ya mkuzu

tupia pamba viwalo swaga za kijanja utazipata zizou

mistari hodari hatari mithili ya chenga za zidane zizu

muda wa swala ibada ila sina uzu.
 
Last edited by a moderator:
Yeah yeah anhaa OKW BOBAN SUNZU

hip hop michano midundo ya kikauzu

father xmass bila mzuzu ha ha ha nacheka kizuzu

ni shangwe za xmass na mwaka mpya water falls dizain ya mkuzu

tupia pamba viwalo swaga za kijanja utazipata zizou

mistari hodari hatari mithili ya chenga za zidane zizu

muda wa swala ibada ila sina uzu.

heeh,heeh umenipa mzuka Chinga One,kwenye thread namba one,sijui we ni nani,ila uko vizuri kichwani,nakuvisha nishani,unachana ka KRS one,ubarikiwe mbinguni na duniani,hapa nipo dukani,na gift yako mkononi,ni mixtape ya msanii fulani wa marekani
 
Last edited by a moderator:
heeh,heeh umenipa mzuka Chinga One,kwenye thread namba one,sijui we ni nani,ila uko vizuri kichwani,nakuvisha nishani,unachana ka KRS one,ubarikiwe mbinguni na duniani,hapa nipo dukani,na gift yako mkononi,ni mixtape ya msanii fulani wa marekani

Hahahaa uhuu ni 2pac,jzee,notorius ila asiwe chriss brown

Baraka zako shukrani zifike Kwa Mola mbinguni

Hiphop hewani rap katuni kapuni
Ngoja niende saluni nikasafishe kichwani

Naisubiri kwa hamu mixtape ya kimarekani
Nitarudi humu ndani mida flani ya jioni.
 
Hahahaa uhuu ni 2pac,jzee,notorius ila asiwe chriss brown

Baraka zako shukrani zifike Kwa Mola mbinguni

Hiphop hewani rap katuni kapuni
Ngoja niende saluni nikasafishe kichwani

Naisubiri kwa hamu mixtape ya kimarekani
Nitarudi humu ndani mida flani ya jioni.
ni Jay Z jiga man,black american don,he raps about money,and rumaz of freemason,and verse number ten,he diss Chris Brown
 
hii ni sauti ya raisi,iliyomshindaga ibilisi,kwa bnadamu c rahic,kamwambie asiyejuwa kutofautisha kati ya msalaba na jumlisha, kuna eksi na zidisha,vichachee!!!
 
hii ni sauti ya raisi,iliyomshindaga ibilisi,kwa bnadamu c rahic,kamwambie asiyejuwa kutofautisha kati ya msalaba na jumlisha, kuna eksi na zidisha,vichachee!!!
usije ukawa dhaifu ka JK,safari everyday,kwa mchina kapanda bei,skendo escrow hatokei,simu hapokei,huku mafisadi wanatuinjoi
 
Ushavunja mayai kibai na bado hujapata viza, tangu 1961 tz tunaishi kwenye giza, mkubwa tezi dume marekani limemlaza, acha kua kilaza, waza...nina mistari mpaka nasaza, niite buda a.k.a faza,
 
Ha ha ha gwijimimi sio dhambi sio kesi kupenda namba one,rapa mauno ni tusi kwa Chinga One,darasa huru bila kiruu sio kufuru,unaweza michano hebu nipe mfano...

jamaa mi noma sana
nakuchana mpaka noma
sahau papaa ndama papaa jina umekutana na papaa vina
nachana sina mfano
katrina la vina nasomba marapa sina agano
natapika tindikali mi kungwin hatari kwenye somo
radha tamu kama nazama uvinza njoo ule utamu kama ngono
 
jamaa mi noma sana
nakuchana mpaka noma
sahau papaa ndama papaa jina umekutana na papaa vina
nachana sina mfano
katrina la vina nasomba marapa sina agano
natapika tindikali mi kungwin hatari kwenye somo
radha tamu kama nazama uvinza njoo ule utamu kama ngono
Piga keleleeeee!!! Yo yo yo yo!!
 
mamc walivyojaa humu ni kama movie ya expandable,mpira umefika mguuni kwangu nyanyuka ushangilie goal
tupo weng nakomba point Nying kama mgao wa chenge escrow
kiufund naikwepa mikuk mingi legendary naonyesha ukomandoo
shabiki wangu ndio bosi wangu sijisifu kama prof tibaijuka
rais akinitimua nikaumbuka
hii mistari inachomoka kama risas
na ni zawad kwa fans
 
mamc walivyojaa humu ni kama movie ya expandable,mpira umefika mguuni kwangu nyanyuka ushangilie goal
tupo weng nakomba point Nying kama mgao wa chenge escrow
kiufund naikwepa mikuk mingi legendary naonyesha ukomandoo
shabiki wangu ndio bosi wangu sijisifu kama prof tibaijuka
rais akinitimua nikaumbuka
hii mistari inachomoka kama risas
na ni zawad kwa fans

Natia nyaya nyingi nite Papaa falcao
Reginald mistari mengi Tajiri/mfalme Wa vina kama farao
Natema vina vingi mpaka mwambao
Navyotema inaakula kwao
 
Natia nyaya nyingi nite Papaa falcao
Reginald mistari mengi Tajiri/mfalme Wa vina kama farao
Natema vina vingi mpaka mwambao
Navyotema inaakula kwao

Mnalalama maisha magumu kwenye uchaguz hamjitokezi,mshefanywa vibaya eppa,dowans lakin hamjiongezi
mmechezewa sana tena hadharani escrow na bado wachina hawawatoshelezi
mnagawa vibaya hadi kwa rada mwingereza kalionja penz
nyie mama huruma mna huruma ya ajabu
shingo juu kama twiga rasilimali mmempa mwarabu
mmlawi mnyonge akikushika ziwa nyasa unampiga bila sababu
mmarekani maeneo kibao unampatia bila tabu
chenge mwanao mwenyewe amekugeukia kama mtoto wa mbuzi
rada,eppa,escrow anavuma kila shuzi
misala inawadondokea kina werema watoto wa juzi
wewe ni rahisi sana kukupata wawekezaji wameshtuka wanakutongozesha kina tibaijuka
kwa ten percante unabinjuka
wapinzan hawakubal we kugeuzwa duka
kwa ufisadi nan asojua unanuka
singa singa bwanaoko mpya kina zito wamenin'gin'gia mpaka shipa limetumbuka
weupe wanajipigia b
 
Mnalalama maisha magumu kwenye uchaguz hamjitokezi,mshefanywa vibaya eppa,dowans lakin hamjiongezi
mmechezewa sana tena hadharani escrow na bado wachina hawawatoshelezi
mnagawa vibaya hadi kwa rada mwingereza kalionja penz
nyie mama huruma mna huruma ya ajabu
shingo juu kama twiga rasilimali mmempa mwarabu
mmlawi mnyonge akikushika ziwa nyasa unampiga bila sababu
mmarekani maeneo kibao unampatia bila tabu
chenge mwanao mwenyewe amekugeukia kama mtoto wa mbuzi
rada,eppa,escrow anavuma kila shuzi
misala inawadondokea kina werema watoto wa juzipgg

mmekuwa majuha kila siku maandamano. mmepigwa ruzuku na mbowe badohamshtuki.
 
jamaa mi noma sana
nakuchana mpaka noma
sahau papaa ndama papaa jina umekutana na papaa vina
nachana sina mfano
katrina la vina nasomba marapa sina agano
natapika tindikali mi kungwin hatari kwenye somo
radha tamu kama nazama uvinza njoo ule utamu kama ngono

ngono piga ndomu epuka gono uslete miguno anhaa yeah

Payuka ropoka mistari laini bazoka tindikali tapika nakuyeyusha mapouka kaza kiuno kishoka slogan za kimboka
Anhaa gwijimimi rapa mimi zama uvinza refusha kisimi nakufanyia mutilation.
 
Last edited by a moderator:
hii ni sauti ya raisi,iliyomshindaga ibilisi,kwa bnadamu c rahic,kamwambie asiyejuwa kutofautisha kati ya msalaba na jumlisha, kuna eksi na zidisha,vichachee!!!

hahaha michano milaini hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom