Mubarak refuses to stand down

Jamani si mngengojea pombe zitoke kichwani ndipo mje humu? sasa hata sijui ni kitu gani umepost humu!
Pumba tupu!!!!

Zubeda,

Kama hujamuelewa, muulize akueleze kwa undani alichoandika mwenzako badala ya kukimbilia kusema alichoandika ni pumba au kalewa!!! Kama hauko kazini, basi nina wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa!!!!

Tiba
 
Jamaa anahutubia "anaaga rasmi" live leo. Ila asije collapse kama ilivyotokea miaka 7 ilopita bungeni
 
I bet ma left testicle this guy is still in egypt.
But whö care we arent fkng egyption
 
nina wasiwasi na source c reliable niko live na sky news na cnn...hakuna kitu kama hicho hata kwenye tetesi jamaa yupo misri bado till further habari...lets wait hotuba yake..

BBC World, Aljazeera, France 24

Live:

Mubarack is on the verge of standing down
 
"AHizo source zako hazina tofauti na Tanzania Daima, au Mwanahalisi! Mubarak yuko Misri na atahutubia Taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa Katibu mkuu wa chama tawala cha Misri! na sasa naangalia live Aljazeera English hakuna hicho unachokipakazia! angalia hapa: Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English

Na hii issue haina uhusiano wowote na TZ! sisi tunayo Serikali iliyochaguliwa na Wananchi na sio haki kulinganisha Utawala wa Egypt chini ya Hosni Mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!

Sisi katiba yetu hairuhusu Rais kutawala zaidi ya miaka 10! na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama Egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! TZ uhuru huo upo ndio maana magazeti kama Mwanahalisi yanaweza kumuita Rais Jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!

Hivyo msichanganye mambo! h h"


Kidumu ... wakiingia humu dah inakuwa taaabu kwelikweli, hawajui kushukuru wanapenda kushukuriwa cheki kwenye status yake... wakati mwingine afadhanli hata hawa wenzetu wa People's ..., any way sasa Tumeonyeshwa sehemu Mubarak atakaposimama kuhutubia, sioni cha ajabu pakiandikwa Live kwenye kona wakati ni Mkanda, hizi ni kazi za wenzetu waliopelekwa kusomea propaganda na kuzitumia kuhadaa uma ili kuufanya uamini kile mtawala anachotaka... kwa maslahi ya usalama wa....

Zubeda kua focussed acha kuchachawa na hoja zisizokuwa na mwelekeo na kejeli za hovyo
 
[AHizo source zako hazina tofauti na Tanzania Daima, au Mwanahalisi! Mubarak yuko Misri na atahutubia Taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa Katibu mkuu wa chama tawala cha Misri! na sasa naangalia live Aljazeera English hakuna hicho unachokipakazia! angalia hapa: Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English

Na hii issue haina uhusiano wowote na TZ! sisi tunayo Serikali iliyochaguliwa na Wananchi na sio haki kulinganisha Utawala wa Egypt chini ya Hosni Mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!

Sisi katiba yetu hairuhusu Rais kutawala zaidi ya miaka 10! na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama Egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! TZ uhuru huo upo ndio maana magazeti kama Mwanahalisi yanaweza kumuita Rais Jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!

Hivyo msichanganye mambo! h h"


Kidumu ... wakiingia humu dah inakuwa taaabu kwelikweli, hawajui kushukuru wanapenda kushukuriwa cheki kwenye status yake... wakati mwingine afadhanli hata hawa wenzetu wa People's ..., any way sasa Tumeonyeshwa sehemu Mubarak atakaposimama kuhutubia, sioni cha ajabu pakiandikwa Live kwenye kona wakati ni Mkanda, hizi ni kazi za wenzetu waliopelekwa kusomea propaganda na kuzitumia kuhadaa uma ili kuufanya uamini kile mtawala anachotaka... kwa maslahi ya usalama wa....

Zubeda kua focussed acha kuchachawa na hoja zisizokuwa na mwelekeo na kejeli za hovyo
 
Hizo source zako hazina tofauti na Tanzania Daima, au Mwanahalisi! Mubarak yuko Misri na atahutubia Taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa Katibu mkuu wa chama tawala cha Misri! na sasa naangalia live Aljazeera English hakuna hicho unachokipakazia! angalia hapa: Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English

Na hii issue haina uhusiano wowote na TZ! sisi tunayo Serikali iliyochaguliwa na Wananchi na sio haki kulinganisha Utawala wa Egypt chini ya Hosni Mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!

Sisi katiba yetu hairuhusu Rais kutawala zaidi ya miaka 10! na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama Egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! TZ uhuru huo upo ndio maana magazeti kama Mwanahalisi yanaweza kumuita Rais Jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!

Hivyo msichanganye mambo! h

huwezi kutoa ujumbe bila kumkejeli mwingne? Mwanzo unaonekana mwenye akili nzuri alaf unaingiza TanzaniaDaima for what? Nimependa taarifa yako ikiwa edited na kuondoa majungu hayo.
 
YAANI MAMBO NI FULU MCHANGANYIKO-NGOJA TUONE-ONA HII
Reports on state TV suggested that Mubarak will speak tonight from his Cairo palace. This comes after Egypt's military proclaimed on television that they have stepped in to "safeguard the country". General Hassan al-Roueini, military commander for the Cairo area, told protesters in Tahrir Square, "All your demands will be met today." Associated Press suggests a military coup may be occurring. State TV showed Defence Minster http://en.wikipedia.org/wiki/Mohamed_Hussein_TantawiField Marshal Mohamed Hussein Tantaw
i meeting with two dozen top army officers. Mubarak and his vice president, Omar Suleiman were not present.[ State TV says information minister, Anas el-Fiqqi, denies that Mubarak will resign.http://en.wikipedia.org/wiki/2011_Egyptian_protests#cite_note-312
Contradicting reports from various media sources around the world state that either Suliman or Tantawi is expected to take over
 
Hatimaye tanesco wamechukua umeme wao muda huu-nategemea updates kutoka kwenu
 
hizo source zako hazina tofauti na tanzania daima, au mwanahalisi! Mubarak yuko misri na atahutubia taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa katibu mkuu wa chama tawala cha misri! Na sasa naangalia live aljazeera english hakuna hicho unachokipakazia! Angalia hapa: al jazeera english: Live stream - watch now - al jazeera english

na hii issue haina uhusiano wowote na tz! Sisi tunayo serikali iliyochaguliwa na wananchi na sio haki kulinganisha utawala wa egypt chini ya hosni mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!

Sisi katiba yetu hairuhusu rais kutawala zaidi ya miaka 10! Na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! Tz uhuru huo upo ndio maana magazeti kama mwanahalisi yanaweza kumuita rais jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!

Hivyo msichanganye mambo! H

natamani kukuchinja rafiki!!
 
Feb 10 (Reuters) - Saudi Arabia's King Abdullah is alive and rumours of his death are untrue, a Saudi-based source told Reuters.
"The rumours aren't true," said the source, an adviser to a senior member of the Saudi ruling family. (Reporting by Gulf bureaus)

Saudi king alive, rumours of death untrue - source | Reuters

MY TAKE
Nilifikiri ni ndg zangu Waislam wa hapa Tanzania tu ndio watu wa kuzua mambo! ila cha ajabu hii kitu ipo pote kisa chuki ya mtu mpaka kumuombea kifo!
 
Upepo huo kuvuka sahara ni kazi sana. Shida ni moja tu: Weusi tuko waoga sana kwa mabomu na bunduki. Tunaona afadhali tuwe hai lakini tuteseke, ikiwezekana tufe na mateso hayo kuliko kuwakabili viongozi wabovu.
Ndio maana chama tawala hawatoi kipaumbele kwenye elimu,asilimia kubwa ya wananchi wa Eypt wana elimu ya juu.Nikipata muda nitakuletea source na namba kamili.Wananchi wajinga hawawezi kufanya mapinduzi.
 
Uninstalling dictator ... 99% complete ███████████████████████████░ Don't unplug the machine!

Egyptian State TV showing same footage as Al-Jazeera for the first time since 25th January!

Mwanguko wa dikteta: Live!!!
 
Aljazeer wanaonyesha live...halaiki inasubiri kwa hamu Mubarak atangaze kujiuzuru.

Yaani naangalia na kuwish haya mapinduzi yangekuwa ni hapa tanzania Kikwete kashikiwa bango aondoke.

A day will come, tuendeleeni kupeana habari na updates washkaji/ wakuu.
 
haya wakubwa kinachofuata ni mkwere kukimbilia usa wa marafiki zake, kama misri wameweza kwanini sisi tushindwe??????????


natangaza mapinduzi rasmi kuanzia sasa, tumechoka
 
Ndio maana chama tawala hawatoi kipaumbele kwenye elimu,asilimia kubwa ya wananchi wa Eypt wana elimu ya juu.Nikipata muda nitakuletea source na namba kamili.Wananchi wajinga hawawezi kufanya mapinduzi.

Mkuu Mushi1, kuna nchi za weusi zenye wasomi wengi lakini hawana kitu. Fikiria nchi kama Nigeria, ni nchi yenye kiwango kizuri cha elimu. Raia wake wengi wana elimu nzuri tu. Lakini hakuna viongozi na serikali iliyo-corrupt kama Nigeria. Wananchi wanaishi kwa mateso makubwa. Lakini wako tayari kufa kwa shida hizo kuliko kukabiliana na viongozi wabovu. Shida? Ni woga!!! Nilikuwa naongea hivi karibuni na rafiki yangu mmoja kutoka Nigeria, alikubaliana na mimi kwamba hakika sisi weusi tuko waoga kujitoa muhanga ili - hata kama tusipofaidi sisi - wafaidi vizazi vijavyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom