sina la kusema mkuuuuu[B:first:[/B]
The privately owned Al-Yawn Al-Sabi newspaper in Egypt says "well-informed sources" in state TV have told them Mr Mubarak will give a speech at 10pm (2000 GMT) to announce his resignation - but there has not yet been any official confirmation.
Habari zaidi fuata hii link
BBC News - Egypt unrest
No hapana!Upepo huo kuvuka sahara ni kazi sana. Shida ni moja tu: Weusi tuko waoga sana kwa mabomu na bunduki. Tunaona afadhali tuwe hai lakini tuteseke, ikiwezekana tufe na mateso hayo kuliko kuwakabili viongozi wabovu.
No hapana!
Sisi ni wakali sana na tuna hasira usipime!.
Unaweza ukacheza sana na petroli mpaka ukadhani ni kama maji tu hamna kitu, sababu hakijapatikana kiberiti.
Yaani itakapotokea Cheche moja tu hapa
Utashangaa!
naangalia aljazeera now na rais mubaraka anatarajiwa kuongea na taifa soon, au ataongelea akiwa London, nina wasiwasi na source yako
Ndio anataka kuachia ngazi nini!!Natazama aljazeera sasa hivi, bado wanatangaza kwamba Mubarak atahutubia taifa muda wowote
Hizo source zako hazina tofauti na Tanzania Daima, au Mwanahalisi! Mubarak yuko Misri na atahutubia Taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa Katibu mkuu wa chama tawala cha Misri! na sasa naangalia live Aljazeera English hakuna hicho unachokipakazia! angalia hapa: Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
Na hii issue haina uhusiano wowote na TZ! sisi tunayo Serikali iliyochaguliwa na Wananchi na sio haki kulinganisha Utawala wa Egypt chini ya Hosni Mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!
Sisi katiba yetu hairuhusu Rais kutawala zaidi ya miaka 10! na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama Egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! TZ uhuru huo upo ndio maana magazeti kama Mwanahalisi yanaweza kumuita Rais Jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!
Hivyo msichanganye mambo! h
Ah Kidumu ... wakiingia humu dah inakuwa taaabu kwelikweli, wakati mwingine afadhanli hata hawa wenzetu wa People's ..., any way sasa Tumeonyeshwa sehemu Mubarak atakaposimama kuhutubia, sioni cha ajabu pakiandikwa Live kwenye kona wakati ni Mkanda, hizi ni kazi za wenzetu waliopelekwa kusomea propaganda na kuzitumia kuhadaa uma ili kuufanya uamini kile mtawala anachotaka... kwa maslahi ya usalama wa....
Hizo source zako hazina tofauti na Tanzania Daima, au Mwanahalisi! Mubarak yuko Misri na atahutubia Taifa usiku huu huenda akaachia madaraka kwa mujibu wa Katibu mkuu wa chama tawala cha Misri! na sasa naangalia live Aljazeera English hakuna hicho unachokipakazia! angalia hapa: Al Jazeera English: Live Stream - Watch Now - Al Jazeera English
Na hii issue haina uhusiano wowote na TZ! sisi tunayo Serikali iliyochaguliwa na Wananchi na sio haki kulinganisha Utawala wa Egypt chini ya Hosni Mubarak alie tawala nchi hiyo miaka zaidi ya 30 sasa!
Sisi katiba yetu hairuhusu Rais kutawala zaidi ya miaka 10! na nchi yetu ni ya vyama vingi sio kama Egypt huko hakuna demokrasia wala uhuru wa vyombo vya habari! TZ uhuru huo upo ndio maana magazeti kama Mwanahalisi yanaweza kumuita Rais Jakaya kuwa ni mwizi na fisadi!
Hivyo msichanganye mambo! h
Jamani si mngengojea pombe zitoke kichwani ndipo mje humu? sasa hata sijui ni kitu gani umepost humu!
Pumba tupu!!!!