Tanzanites
Member
- Jan 17, 2011
- 66
- 6
This is indeed a very fluid situation. It seems now that they military might step in during this transition period. At least they seem to have stopped Mubarak to make an announcement.
Endelea kujidanganya. Lakini ungeanza kumhamasisha mama yako kwanza kisha uje utueleze amerespond namna gani. Then we shall supot u.Fisadi Kikwete is Next, tujipangeni Watanzania wenzangu tupangeni tarehe na tuuhamashishe umma :twitch:
Seriously now, Hawa jamaa wangemwacha Mubarak kidogo halafu wakamwendesha kutimiza matakwa yao ndani ya muda mfupi, maana alikuwa tayari kutimiza wanachotaka. Yaani hata haoyo mabadiliko yangeenda fasta....maoni yangu tu nionavyo. Sasa atakayekuja mpaka atimize wanayotaka ni kazi sana, ukichukulia jinsi hali ya kisiasa ilivyoMkuu angalia ulichoandika kabla ya kurukia keyboard. Upo kwenye International news hapa.
Upepo huo ukivuka sahara desert hooooooooodi tz!!
Afadhali ya mayai, mablack wengi sasa wameharibika, ni machoko, wanatia aibuInakuaje WAARABU wanatushinda ujasiri?sisi blacks ni mayai au?
Umenena mkuu, weusi wanajua kubana pua na kujipendekeza, majungu, fitina na uchawuUpepo huo kuvuka sahara ni kazi sana. Shida ni moja tu: Weusi tuko waoga sana kwa mabomu na bunduki. Tunaona afadhali tuwe hai lakini tuteseke,
ikiwezekana tufe na mateso hayo kuliko kuwakabili viongozi wabovu.
Roho mbaya, wivu, na woga.Umenena mkuu, weusi wanajua kubana pua na kujipendekeza, majungu, fitina na uchawu
muda si mrefu peoples power itachukua mamlaka Misri, kweli Peoples power siyo mchezo, kwa wale mlio mbali na TV mnaweza angalia live kwenye net via
Al Jazeera English - Watch live TV channel in high quality | Livestation
Viva peoples power.
Breaking news: Mubarak kaondoka misri sasa hivi, watanzania mpo?