Mubarak refuses to stand down

Technically he has transferred powers to the vice president but i don't think that will be enough
 
Naona jamaa anajaribu kuzima moto kwa kutumia petrol. Lets wait and see what happens kesho!
 
kabla ya kuweka thread jaribu kuangalia kwanza kama kuna nyingine. Hii mkuu unarudia b'se tayari kuna threads yingine ya aina hii. Tujaribu kuavoid duplicates please. Otherwise, unajaza tuu database za JF
 



Huyu Budaa kweli ana PHD ya STUBBORNNESS. Watu wamechoka lakini yeye anataka kung'ang'ania tu.
 
Hili dude halitaki kuachia madaraka duh

Kamaliza hotuba!Kamalizia kwa kusema kuwa wananchi wa Misri ni kama "Watoto wake" Hata hivyo wananchi hawataki abakie hadi september,wanataka aondoke sasa hivi!na yeye kasema atalilinda taifa lake kwa kila hali na hivyo haendi mahali....Sasa sielewi ana maana gani na wakati ameshasema malalmiko ya wananchi hao ni "Legit and just" Ndio maana nikasema ni blah blah tu!Ama kweli madaraka matam!


Kachomoa, hataki kutoka....dawa yake ni bullet tu kama hataki kutoka kwa amani.
 
Wanaonyesha picha live wananchi wamechukizwa na hotuba hiyo,hata hivyo pia kuna habari toka nbc news kuwa Mubarak kapass authority to Vice president,wanadai kuwa very close sources za Egypt regime walikuwa wakidai Mubarak atatangaza kujiuzulu,lakini matokeo yake katoa hotuba uchwara!Very confusing news from every angle!Naona anawapima wananchi wake huyu!Asije kusahahu lakini alichofanyiwa Sadaat na wanajeshi wa nchi hiyo!Ni kivipi aje kutoa hotuba na kusema yeye ni rais halafu anatoka hapo na kudai kuwa eti anatransfer authority kwa vp wake?Kumbe ndivyo alivyokuwa akiwachezea wananchi wake?Kweli imekuwa international news na sasa kila mtu anashangazwa na jinsi marais wa Afrika wanavyowatreat wananchi wao!Bahati yao wananachi wa misri pia kwa kuwa na international support na pia kwasababu ya strategic location ya Taifa lao.
Kuna taarifa pia kuwa waandamanaji wanajipanga kuelekea ikulu!
 
Mubarak naona anachezana nguvu ya watu na ana hatarisha maisha yake na ya wa egypt.


Naona jamaa wanasema wanamfuata huko huko kwenye ikulu yake.
 
huyooo katimka na dola bilioni 70 zake,hizo dola wanaenda kuzifaudu wazungu badala ya ndugu zake ,jamani tunakufuru kwa Mungu kweli kweli inaingia akilini mtu kuwa na fedha kiasi hicho ilihali raia wako ni masikini wa kutupwa,na hizo hela kwa mtu usiyemfanya biashara unazipata kwa njia gani,kwa hali hii kweli unajifanya ni kiongozi unayewajali wananchi wako?hata hapa Tanzania kuna viongozi wana mipesa lakini baado wanahangaikia kuupata uraisi kwa hali yoyote,si ajabu2015 tukawa na raisi wa sampui za akina Mubarak,na yanapotokea machafuko wanakuwa wa kwanza kupanda jet kwenda kula ya kifisadi
 
THE middle east has 22 countries,of which only one is not a dictatorship,some of these countries are ruled by semi mad presidents-America is fuelling the fire by playing opportunist games.countries like iran are stockpiling nuclear arsenals.The world can only watch as events unfold.it wont be the americans,it wont be the british who will remedy the situation,it will be clever and brave israel,acting as an agent of the free world making sure the situation is diffused before it engulfs the entire world
 
Jamaa kabaki na watu wamechukia sana.. madaktari, wanasheria nk nk wooote wako Tahrir km protesters but jamaa hilo wala halijaluingia akilini!!!! Nadhani ana akili km za JK tu... Haoni km kuna tatizo yaaani
 
Whatever the outcome, Egypt is a good example that the only true power in a country is the people!
 
Protesters are 15km from the palace,they slowly moving towards the presidential palace.

They are chanting;
Down!Down!Down with Hosni!!
 
VP Suleiman kasema mambo yako under controll,yeye yuko in charge during transitition period ila Mubarak bado ana kofia ya urais,kasema wanaaanza mjadala na protesters,ila anawataka warudi nyumbani na waende makazini kama kawaida wakati wa kuendelea kutafuta suluhu ya namna mambo yatakavyokwenda,hata hivyo wananchi ambao nao wanaangalia hotuba live kama sisi,wanaonekana wakisema no way,na kina Mubarak na wenzake should immediatelly go!Yani vurugu tupuu!Kesho lazima kutakuwa na violence kwasana,hawakubali michanga ya macho!
 
Vice President according to the constitution of Egypt Suleiman urges Protesters to return to their homes.
 
Back
Top Bottom