Rock City
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,266
- 501
Salaam wakuu,
Karibuni The JF Rock City Wing.
Hii ni kuwaarifu wadau wote wa Mwanza na ng'ambo kuwa, tunataraji kufanya kikao chetu cha wing yetu hii mpya siku ya Jumatano 01.05.2013 tujaaliwapo. Muda ni kuanzia saa kumi kamili jioni.
Baada ya mashauriano ya karibu kabisa yaliyofanyika miongoni mwa wadau wa JF jijini, tumependekeza mjumuiko wetu ufanyike katika eneo la Rock Beach Hotel, katika sehemu za ndani zinazotazama ufukwe wa ziwa. Eneo hili ni jirani kabisa na Kamanga Ferry (kama unapandisha/unashuka Capri Point). Tutazidi kutoa muongozo.
Tunapenda kuwashukuru wote kwa michango yenu, changamoto zenu, maangalizo yenu na uzoefu wenu katika uanzishwaji wa wing yetu hii mpya. TUNAWASHUKURU.
Mnaweza kuwasiliana moja kwa moja na Rock City, charminglady au Elizabeth Dominic kwa maelekezo, muongozo na ufafanuzi zaidi.
Kwa pamoja, TUTAWEZA.
Ahsanteni sana na KARIBUNI.
Mwanza Oyeeeeee!!!
Karibuni The JF Rock City Wing.
Hii ni kuwaarifu wadau wote wa Mwanza na ng'ambo kuwa, tunataraji kufanya kikao chetu cha wing yetu hii mpya siku ya Jumatano 01.05.2013 tujaaliwapo. Muda ni kuanzia saa kumi kamili jioni.
Baada ya mashauriano ya karibu kabisa yaliyofanyika miongoni mwa wadau wa JF jijini, tumependekeza mjumuiko wetu ufanyike katika eneo la Rock Beach Hotel, katika sehemu za ndani zinazotazama ufukwe wa ziwa. Eneo hili ni jirani kabisa na Kamanga Ferry (kama unapandisha/unashuka Capri Point). Tutazidi kutoa muongozo.
Tunapenda kuwashukuru wote kwa michango yenu, changamoto zenu, maangalizo yenu na uzoefu wenu katika uanzishwaji wa wing yetu hii mpya. TUNAWASHUKURU.
Mnaweza kuwasiliana moja kwa moja na Rock City, charminglady au Elizabeth Dominic kwa maelekezo, muongozo na ufafanuzi zaidi.
Kwa pamoja, TUTAWEZA.
Ahsanteni sana na KARIBUNI.
Mwanza Oyeeeeee!!!
Last edited by a moderator: