Mzee Makamba alikuwa anajibu tu kisiasa na kwa kwa juu juu- CCM kuna ukweli wanaupotosha! Ni vyema CUF wamekuwa open na kusema. Hii naona ni strategy ya CUF kuwachagiza CCM wawe serious- na warudi kwenye mazungumzo!Nimemsikilia Katibu Makamba; hana jipya mambo ni yale yale ya CCM kuwafanya Watanzania wajinga. CCM wanaongoza kwa kuwahadaa watanzania; Mwenyekiti wa CUF anasema CUF wamejitoa; yeye anasema Mazungumzo Yanaendelea...sasa yanaendelea kati ya CCM na chama gani?
Then, hadaa nyingine anasema hakuna mgogoro wa kusuluhisha; Mwenye akili ajiulize walikuwa wanakutana wanajadili nini...kwani ulikuwa mkutano wa kujadili posa ule?
CCM hizi tactics zenu zina mwisho; tena sio mbali wananchi wameshaanza kushtuka.
CUF wajitoa rasmi kwenye mazungumzo ya muafaka na CCM.
Kwa habari za uhakika ni kuwa chama cha CUF leo kimejitoa rasmi kwenye mazungumzo ya muafaka yaliyokuwa yanaendelea na CCM juu ya mpasuko wa kisiasa kule Zanzibar .
Tamko rasmi la chama hicho limetolewa na mwenyekiti wake Prof> Lipumba leo majira ya saa sita mchana .
Nalitafuta tamko then ntaliweka ila atakayelipata mapema basi aliweke.
Duh! Kumbe muafaka ni kwa ajili ya kuwawekea cuf mazingira mazuri ili washinde uchaguzi zanzibar!!! Kwa mtaji huo hata kama ningekuwa hao ccm, nisingekubali kabisa.
Makamba ,makamba,makamba,alichosema kwenye interview na BBC ni aibu kwa ccm na taifa kwa ujumla eti kuwa Lipumba hawezi kuzungumzia muafaka kwa kuwa yeye siyo mjumbe ni aibu?
Akasome katiba ya CUF ajue msemaji mkuu wa chama ni nani?