Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,542
- 7,377
Ndani ya dk 10 kumesika milio miwili mikubwa ya bomu/mizinga na fyatuko za risasi. Hadi bati/paa zinashake. Sijajua ni nini kimetokea tena huko mujini. If anythng i will come with more update.
UPDATE:
Nimeongea na ndugu yangu mmoja mwanajeshi kaniambia hao ni polisi walikuwa wanawatawanyisha makundi ya watu usiku ule, nikamuuliza mbona yalikuwa na mshindo mkubwa akasema ni aina nyingine ya mabomu na kiukweli hayakuwa kutoka jeshini, kasema hawana haja ya kufanya hicho kitu hao wanajeshi.
Ila kuna meseji ziinasambaa zinasema kuna Lori 4 za Jeshi zilifika jana toka Daslam, zikafyatua mabomu 4 pale lindi halafu zikaja mtwara, sasa labda ni hao kuonyesha ujio wao wakafyatua hayo mabomu.
UPDATE:
Nimeongea na ndugu yangu mmoja mwanajeshi kaniambia hao ni polisi walikuwa wanawatawanyisha makundi ya watu usiku ule, nikamuuliza mbona yalikuwa na mshindo mkubwa akasema ni aina nyingine ya mabomu na kiukweli hayakuwa kutoka jeshini, kasema hawana haja ya kufanya hicho kitu hao wanajeshi.
Ila kuna meseji ziinasambaa zinasema kuna Lori 4 za Jeshi zilifika jana toka Daslam, zikafyatua mabomu 4 pale lindi halafu zikaja mtwara, sasa labda ni hao kuonyesha ujio wao wakafyatua hayo mabomu.