samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
"Uonyeshe za nini" ......!!!!!!!!! Kwani anazo ....??Mi nionyeshe za nini coz siko kwenye ligi nimefurahi walizozikosa Jana tuzo bas
"Uonyeshe za nini" ......!!!!!!!!! Kwani anazo ....??Mi nionyeshe za nini coz siko kwenye ligi nimefurahi walizozikosa Jana tuzo bas
Hili ndio neno la wenye busara.Kutangulia cyo kufika
Hahaaaaaaa jamani mi utimu ushuzi nilishaaucha bora kabisa maana hizi timu kumponda mmoja sijui ndo wanafikiri kumtamfanya mwingine awe juu ka wizkid, bora tu wawe wanakosa na hujuma zifike mwisho na upuuzi wakuenezeana chuki.
binamu utaua watu!Mi nionyeshe za nini coz siko kwenye ligi nimefurahi walizozikosa Jana tuzo bas
Too childish... inaonekana umesahau kwamba Kiba alikuwa anagombea tuzo kule na matokeo yake mnaishia kujifariji! Mbaya zaidi, huyo unamshindanisha nae tayari mwaka huu kadaka tuzo... subiriieni za EATV manake ndo saizi yenu....View attachment 422995 Diamond Platinum
Akikupa jibu naomba uni-tag!!!Hivi alipafom wimbo gani cc sohwa
Mie sifuatilii kabisa mziki sikuhizi ila kibongo napenda nyimbo za Christian bellamie pia sitaki tena huu ujinga ujinga!!
mziki mzuri naucheza kwanza sasa hivi nimebaki kuwasikia jf tu
sijui songi zao ht moja za hivi karibuni
namshabikia barnaba na Ben pol
Nawazingua tu hawa maana sikwa mapovu Haya kuziendekeza timu ni shiiiidahbinamu utaua watu!
wana hasiraaa!!
sana tuNawazingua tu hawa maana sikwa mapovu Haya kuziendekeza timu ni shiiiidah
Mie sifuatilii kabisa mziki sikuhizi ila kibongo napenda nyimbo za Christian bella
sawa, nimekusikiaMbona mimi na Raha! Nani amekupa kibali cha kuwasemea watanzania? Next time usiwasemee maana hakuna aliyekuteua.
Hivi huyo unayemsema kibabu, c amezidiwa umri na shemela wenu kibibi zari? Au?Tatizo ni kuwa kibabu kinapitwa na madogo zake kila siku,wenyewe wanapata kibabu hakipati,ndio tatizo langu.
Unconditionally bae by Sautisol and Alikiba!,Hivi alipafom wimbo gani cc sohwa
Sibishani na mwana ********.
Kama wewe.
Uwo ci wimbo wa sauti Sol kashirikishwa tu kwa nn asiimbe wimbo wake hata ule wa usiniseme napenda kulaUnconditionally bae by Sautisol and Alikiba!,
Waambieni hao watoto, waache dharau;
tunapiga kura hadi tunaiba email za watu kuwapigia
kura lakini neno la asante kwao hakuna;
sasa wamejifunza, wakati mwingine tutawapigia kura;
Katoa shukrani nayeye tena mpaka kwa sautisolIla mondi katoa shukrani. Yule mheshimiwa mwingine sijaona labda nikangalie tena kwa page zake..
Uwo ci wimbo wa sauti Sol kashirikishwa tu kwa nn asiimbe wimbo wake hata ule wa usiniseme napenda kula