Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
Hahahah! Jumamosi nilitamani niwe mod nidelete jukwaa la celebrities kwa muda.. Maana daaaahh ilikuwa balaa, watu walitukalia kooni hatukohoiOh dear
Mambo yalifika huku?Pole sana.
Hahahah! Jumamosi nilitamani niwe mod nidelete jukwaa la celebrities kwa muda.. Maana daaaahh ilikuwa balaa, watu walitukalia kooni hatukohoiOh dear
Mambo yalifika huku?Pole sana.
Hivi huyo unayemsema kibabu, c amezidiwa umri na shemela wenu kibibi zari? Au?
Kumbe na wewe huwa unakasirika? Kweli ulipatikana.Hahahah! Jumamosi nilitamani niwe mod nidelete jukwaa la celebrities kwa muda.. Maana daaaahh ilikuwa balaa, watu walitukalia kooni hatukohoi
Sikukasirika ila nilikuwa na huzuni alafu watu wanaendelea kutonesha kidonda.!!Kumbe na wewe huwa unakasirika? Kweli ulipatikana.
Najua kilichokuuma ni ile performance mbovu ya upande wenu
Sikukasirika ila nilikuwa na huzuni alafu watu wanaendelea kutonesha kidonda.!!
Ila si unajua sisi watu wa 'counter attack'?? tunaipua kitu kutoka jikoni haraka sana kila mtu atasahau aibu tuliyopata jumamosi..
Stay tuned.!
Ngoja tusubiri...tukutane hiyo jumamosi panapo maajaliwa.
Hahaaaaaaa pole ndo tatizo lakuwa shabiki sana kupitiliza, mi siku zile nilijua hatutobozi mziki wetu bado, sanaHahahah! Jumamosi nilitamani niwe mod nidelete jukwaa la celebrities kwa muda.. Maana daaaahh ilikuwa balaa, watu walitukalia kooni hatukohoi
Hahahahh mbona bangi ya mpwapwa yaan yule anajijua mwenyewe eti yeye mkubwa kuliko wizkid aliumbuka hiyokiba anavuta bangi ya mpwapwa