Yaani kila mtu na lake ili mradi tuHaya mapovu yatakuwa ya omo kiboko ya uchafu chezeiya ushabiki andazi amira kidogo tu unavimba.
Yaani kila mtu na lake ili mradi tuHaya mapovu yatakuwa ya omo kiboko ya uchafu chezeiya ushabiki andazi amira kidogo tu unavimba.
Mond lazma achukue iyo gold
Hahaaaa hzo AEA. Ni tuzo za wapi mbona hazijulikana labda za uchochoroni kwa Africa mtvbase ndo kubwa na za heshimaIla jua kuwa DIAMOND kakosa mtv kapata AEA 1 NA AFRIMA 1.Kwahiyo DIAMOND mtoe kwenye furaha yako kwa kudhani amekosa,ila kama vipi nuna maana kapata kwingine.
Kaka mbona povu linakutoka sana nn tatzoIla jua kuwa DIAMOND kakosa mtv kapata AEA 1 NA AFRIMA 1.Kwahiyo DIAMOND mtoe kwenye furaha yako kwa kudhani amekosa,ila kama vipi nuna maana kapata kwingine.
Na vipi kuhusu kiba?Maoni yako tafadhali.perfect!
sema nahisi sallam sk hajaliona hili
itabidi waanzishe kipindi wapite mtaani wasikilize kinachowakera mashabiki kitoka kwa msanii wao..
mimi pia mkereketwa kuhus mapenzi na kazi.
diamond tulimzoea kazi kazi..
na huyu hawara ake wa uganda waTz washamchoka majivuno yake na tabia za kipuuzi, halafu anamrudisha nyuma sana sana.
ukitaka kufanikiwa kimziki mapenzi tupa kando ajifunze kwa wasanii wenzie.. akina wiz
hii tabia yao ya kiswahili na zari inanichefua
mwaka huu sikupata shida na hio kura
nmepiga mwishoni tuu.
na pia MTVmama hakuipa priority, alifocus BET alivoshindwa tu basi akalala
upuuzi na lile libibi ukaanza.
salamu za pole na pongezi zimfikie diamond popote alipo, asiwe kama wema sepetu!
afanye kazi, mapenzi baadae na hilo libibi la kiganda ni wakati wa kuliweka kando aka focus maana linamrudish nyuma sana
Unavomwambia utafiri mnaonana hizi tuzo zitawatoa roho maana ni vurugu tuHahaaaa hzo AEA. Ni tuzo za wapi mbona hazijulikana labda za uchochoroni kwa Africa mtvbase ndo kubwa na za heshima
mnaochukia Kiba jiulizeni amewafanya nn?sababu ya msingi hamna!
Mnaomchukia daimon jiulizeni amewafanya nn sababu ya msingi hamnaa!
Eti eeh,basi hii hapa, vipi kibabu keshawahi kuipata hii.....??Hahaaaa hzo AEA. Ni tuzo za wapi mbona hazijulikana labda za uchochoroni kwa Africa mtvbase ndo kubwa na za heshima
Timu hizi zinanyima watu amaniUnavomwambia utafiri mnaonana hizi tuzo zitawatoa roho maana ni vurugu tu
Hahaaaaaaa tuzo hzo zimeyoyoma the rest is historyEti eeh,basi hii hapa, vipi kibabu keshawahi kuipata hii.....??
Kwa hiyo tukusaidie nn????
Tatizo ni kuwa kibabu kinapitwa na madogo zake kila siku,wenyewe wanapata kibabu hakipati,ndio tatizo langu.Kaka mbona povu linakutoka sana nn tatzo
Haya sasa onyesha tuzo ya kibabu iliyo kwenye wakati wa sasa..??Hahaaaaaaa tuzo hzo zimeyoyoma the rest is history
Povu linavokutoka utafikili umebwia omo au foma gold....punguza shobo fara ww
Sitaki shobo
Sijaomba msaada hapa.
Boya wewe.
Kutangulia cyo kufikaTatizo ni kuwa kibabu kinapitwa na madogo zake kila siku,wenyewe wanapata kibabu hakipati,ndio tatizo langu.
Povu linavokutoka utafikili umebwia omo au foma gold....punguza shobo fara ww
Mi nionyeshe za nini coz siko kwenye ligi nimefurahi walizozikosa Jana tuzo basHaya sasa onyesha tuzo ya kibabu iliyo kwenye wakati wa sasa..??
Hahahaaaa ww beyonce unamtafuta nn lkn samsun jamanMi nionyeshe za nini coz siko kwenye ligi nimefurahi walizozikosa Jana tuzo bas
Cjakulazimisha
Sibishani na mwana ********.
Kama wewe.