Mtuunge mkono walimu tunaofanya kazi kwa mazoea, kwani hata serikali yetu inatutendea kwa mazoea

Wenzio tumeacha kulalamika. Fanya hivi: Nenda benki (sio nmb) kapate minimum 12m, kama upo huku mashambani kama sisi, nunua ng'ombe wa maziwa wannewenye mimba kwa 1.5m@, jenga banda kwa 1m, tafuta mkata majani. baada ya mwezi au miwili utaanza kupata maziwa atleast 15-20 lts kwa kila ng'ombe. lita kwenye vituo vya kukusanyia maziwa ni 700 kwa lita. Utapata kati ya 42000-56000 kwa siku au 1680000 kwa mwezi, mlipe mkata majani vizuri ili aishi nao kama ndugu zake, ndani ya mwaka utasahau kero zoote za kazi na wenzqko watakuheshimu pia.
Asnate kwa ushauri wako. Ila mwanzo ni mgumu, na hakuna benki inayoweza kumkopesha walimu mpya ambaye hujathibitihswa kazini. watu tunalia na mwanzo huu mgumu unaosababishwa makusudi na serikali yetu. huu mwanzo mgumu tunaotengenezewa, hauna matokeo mazuri, tusifichane.
 
...Mbaya zaidi hata mkuu wa nchi naye alikuwa mwalimu lakini anashindwa kuwajali walimu wenzake.
 
Inasikitisha kuona serikali hii inayojiita ya kazi tu, na inayojitapa kukusanya matrioni kwa kila mwezi, ikishindwa kuwalipa pesa za kujikimu walimu elfu 3 tu wa ajira mpya 2017. Sio hali ya kawaida kushindwa kuwapa pesa za kujikimu walimu elfu 3 tu, bali ni tendo la makusudi lenye lengo la kuwadhoofisha walimu wapya ktk utendaji wao kazi. Haya ndio matendo ya mazoea ya serikali yetu yanayosababisha walimu wenye njaa wafanye kazi chini ya kiwango.

Jana mheshimiwa Jafo akijibu swali la nyongeza bungeni kuhusu ni lini serikali itawapatia walimu wa ajira mpya 2017 pesa za kujikimu ili wapate moyo wa kujituma kazini; Jafo bila aibu kujifanya amesahau swali na hatimae kwa makusudi akagoma kabisa kujibu swali hilo. Kisha mheshimiwa mwenyekiti wa bunge akambeba Jafo na kusema kua aliyeuliza swali ameshaelewa. Sijui mwenyekiti wa bunge alimaanisha aliyeuliza swali ameshaelewa kua seriakli imegoma kutoa pesa, au kaelewa lipi...!

Katika kipindi hiki kigumu kwa walimu wapya, kuna wadudu watu halamshauri na wakuu wa shule, wanajitekenya eti wako wanatuangalia tabia zetu. Hua najiuliza, hivi hawa wadudu wana akili kweli? utapimaje ukakamavu wa mwanajeshi mwenye njaa kali? Wakiongea hayo madudu yao, hua natamani hata niwakate makofi.

Acheni walimu tufanye kazi kwa mazoea, kwani hata seriakali yetu inatutetendea haya kwa mazoea. Tunawajibika kwa kiwango kile amabcho serikali yetu anavyopenda tuwajibike, kwa maana kwamba haitaki tujitume. Kila mtu abebe msalaba wake, mwanafunzi akiacha kusoma twisheni, nasema 'feli'. Narudia tena, 'fe li'. Ni maneno mawili tu, yaani 'fe li'.
kwakweli hii serikali ni hovyo kabisa. hata hii halamshauri niliyopangiwa ni njaa kali sana. nikiwasialaiana na wenzangu ktk halamshauri zingine nao njaa kali. hii serikali ya hovyo kabisa, imegoma kutupa pesa za kujikimu. sijui wanadhani tunaishije huku hawa wapuuzi. nimeanza kuuchukia ualimu kutoka moyoni.
 
...Mbaya zaidi hata mkuu wa nchi naye alikuwa mwalimu lakini anashindwa kuwajali walimu wenzake.
lakini alifanya kazi ya ualimu kwa mwaka mmoja tu. bado najiuliza kwanini ilikua hivyo. sijui alisumbuliwa na serikali, ndio na yeye ameamua kulipiza kisasi kwetu.
 
Wapo vijana wengi tuu waliotazamia hizo ajira lkn wakakosa na bado wanatamani sana.
Sasa nyie mzichezee tutaingiza nguvu mpya
wewe una akili pungufu kabisa. watu wanalia njaa, ww unaleta ushabiki wa kipumbavu
 
Mishahara vipi bado hamjaanza kupata ticha?
lofa wewe. umesikia mshshara unaweza kuziba magepu yangeyoweza kuzibwa na pesa za kujikimu. kwanza mshahara ni mdogo ukilinganisha na pesa za kujikimu.

hata hivyo, kovu la maisha ya kuteseka kwa kunyimwa pesa za kujikimu haliponi likawa ngozi ya kawaida. serikali iache upuuzi kabisa kusababisha makovu
 
Watanzania Fungeni mkanda mh.anarekebisha nchi kwanza kitambo kidogo tutaanza kufurahi maisha
 
Watanzania Fungeni mkanda mh.anarekebisha nchi kwanza kitambo kidogo tutaanza kufurahi maisha
ktk hatuaa za kurekebisha ni pamoja na kuhakikisha anaacha dhambi yake ya kuwanyima walimu wapya pesa za kujikimu. kama yeye yuko bize ktk kuhakikisha walimu wananyimwa pesa za kujikimu ili waishi kama mashetani, hapo anakua anarekebisha au anazidisha kuaharibu? mimi nilitegemea kwa uchache wa walimu wapya walioajiriwa, angeanza kuonyesha moyo wa kujali kwa kuwapa pesa zao za kujikimu, ili hayo marekebisho yaende sambamba na marekibisho ya kutowashusha morali walimu.
 
Asnate kwa ushauri wako. Ila mwanzo ni mgumu, na hakuna benki inayoweza kumkopesha walimu mpya ambaye hujathibitihswa kazini. watu tunalia na mwanzo huu mgumu unaosababishwa makusudi na serikali yetu. huu mwanzo mgumu tunaotengenezewa, hauna matokeo mazuri, tusifichane.
Huo mwanzo uvumilieni tu, wenzenu tulikaa miezi sita bila hata mshahara. Baadae mtajiongeza.
 
lofa wewe. umesikia mshshara unaweza kuziba magepu yangeyoweza kuzibwa na pesa za kujikimu. kwanza mshahara ni mdogo ukilinganisha na pesa za kujikimu.

hata hivyo, kovu la maisha ya kuteseka kwa kunyimwa pesa za kujikimu haliponi likawa ngozi ya kawaida. serikali iache upuuzi kabisa kusababisha makovu
Kijana stress zako za ugumu wa maisha na ukata usiniletee mimi, Mimi nilitaka kujua tu kama mtoa mada ameshaanza kupokea mshahara au bado. Lofa ni wewe unaelalama njaa!!!
 
kwakweli hii serikali ni hovyo kabisa. hata hii halamshauri niliyopangiwa ni njaa kali sana. nikiwasialaiana na wenzangu ktk halamshauri zingine nao njaa kali. hii serikali ya hovyo kabisa, imegoma kutupa pesa za kujikimu. sijui wanadhani tunaishije huku hawa wapuuzi. nimeanza kuuchukia ualimu kutoka moyoni.
Acha kazi Mkuu, yaani na degree yako unakubali kunyanyasika hivyo??!!! Acha kazi ndani ya saa 24 rudi zako nyumbani.
 
nikuulize swali mtoa mada... wewe uliyepata nafasi na kunyimwa pesa ya kujikimu.. na yule wa arts ambaye hadi leo anaambiwa hakuna ajira nani anatakiwa kulalamika... hv mbona hamna shukrani... kama kazi haikulipi acha hujalazimishwa kufanya.. eboo!!!!
 
2020 ikfk tunataka kuona walimu nyie mkikataa kusmamia kura na si kupga kelele hpa jf na bdo hamjanyooshwa nyie si ndo wabeba masanduku na kufoj mtaelew tu
 
Mwalimu ni nani katika nchi hii? Kama hawaridhiki waache! Humu jf kuna walimu wangapi? Nina imani wapo wengi. Sasa iweje wapo kimya? Inamaanisha wameridhika. Wajinga ndiyo waliwao.
Maneka wewe n mpumbavu,"Kama jawaridhiki waache"!? Unafikiri unamkomoa nanii!?? Ety,Mwalimu n naniii!? Bado unafikra za kitoto saaaana.
 
Back
Top Bottom