Mtunza bustani ashtakiwa kwa kumtusi Magufuli, kwamba anaendesha nchi kinyume na maumbile

Unajua nyie mijutu mingine mnajifanya kama hamna akili hivi mtu kunahaja ya kufikiria kiwango cha digree kama huyo jamaa hajafanya kosa unaonaje nyumban kwakoo mwanao akakumbia baba unaongoza familia kinyume na maumbile utacheka wewe? Na utafurahi kama mwanangu hajafanya kosa hebu tuwe na heshima kwa viongoz wetu.sichukulii magufuli tu hata awe kiongoz wa mtaa ni kiongoz kukuosana kunanjia nyingi na si kutukana.acha sheria I chukue nafasi yake
Hiyo comparison yako haina kichwa wala miguu, usikute huyu aliyeongea hivyo ana umri wa baba wa unaewaita wazazi,usitake kuona kila mtu ni mtoto ama ana akili za kitoto bana
 
Bado sijaona kosa la msingi la huyo kijana kushtakiwa.
Ni kupoteza muda na rasimali tu kupambana na raia wanaotoa maoni yao.

Ukitaka kujua kosa hudhuria mahakamani siku kesi itakapotajwa ili usikie charge inayosomwa...Pia pitia magazeti ya leo uone ilivyoripotiwa kesi hiyo; Hata yale magazeti ya ukawa yameshindwa kuandika matusi yaliyo katika shtaka kwa vile hayatamkiki wala hayaandikiki kutokana na ukali na udharirishaji wake.
 
Jeshi la Police kwa kujua ama kutokujua linadhalilisha Taasisi ya URAIS ...
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.

Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile

My Take:

Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
 
Kuna udhalilishaji zaidi ya kuwataka wananchi waishi kama mashetani?
Ukitaka kujua kosa hudhuria mahakamani siku kesi itakapotajwa ili usikie charge inayosomwa...Pia pitia magazeti ya leo uone ilivyoripotiwa kesi hiyo; Hata yale magazeti ya ukawa yameshindwa kuandika matusi yaliyo katika shtaka kwa vile hayatamkiki wala hayaandikiki kutokana na ukali na udharirishaji wake.
 
Kwetu sisi waalimu wa kiswahili (ingawa serikali haitaki kutuajiri) hayo maelezo ya mtunza bustani ni tata!kwamba yanaweza kuzaa maana tatanishi au zaidi ya moja.Kwamfano tuwaze kuwa mtunza bustani labda alimaanisha yafuatayo:

1.Watajwa hapo juu(nahofu kuwaweka bayana nisijefuata mkondo wa mtunza bustani) wanafikiri kwa kutumia nini? kwakuwa ktj hali ya kawaida tendo la ngono hufanyika kati ya mwanaume akishirikiana na mwanamke na viungo vitumikavyo ni uume dhidi ya uke,,,,basi hapo makalio ndio njia ya unyume.

2.Fikara ya mtunza bustani yawezekana ilikuwa kutokana na upotoo/upotofu wa uongozi mzuri kwa watajwa ikiwemo kupuuzia uongozi shirikishi+kusigina misingi ya demokrasia ikiwemo pia maamuzi ya hovyohovyo basi akawaza hayo yanawezekana tu endapo binadamu hatafikiri kwa kutumia viungo sahihi ktk kufikiri yaani ubongo,akili ya hali ya juu pamoja na kushirikisha macho,masikio ambavyo husaidia kuona na kusikia hali halisi na hivyo kutoa uamuzi safi!Hivyo aliona watajwa hawafuati mkondo sahihi wa kufikiri!hawatumii ubongo,akili+kushirikisha macho+masikio...kama ni hivyo wanatumia makalio?ni wazi aliogopa kutaja hilo neno akatamka kinyume na maumbile.

3.Ingawa mi sio mtaalamu wa masuala ya sheria naonelea hii kesi kuwa rahisi mno.Ataachiwa tu.Kwani utagundua hajawatusi bali alitoa kauli ya mzaha(kinyume na maumbile ambayo imetusaidia kukuza lugha yetu adhimu ya kiswahili)

NB:Nimeandika kwa tahadhari sana pasipo kutaja majina ya wahusika nisijemuudhi Yohana....
Hongera kwa utabiri
 
Watu wanajaribu kutetea, lakini kauli ya 'kinyume na maumbile' ni tusi, ni sawasawa na kusema fulani anafikiri kinyume na maumbile yani anafikiria kwa kutumia makalio yake, au fulani anatumika kinyume na maumbile... Kweli haya ni matusi makubwa.

Huu siyo uhuru wa kujieleza, ila ni ujinga wa kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na kufikisha ujumbe. Uhuru wa kujieleza wa namna hiyo waachieni Wamarekani kwa maana wao hawaoni shida kumwita Rais wao 'SHOGA'.
ni kinyume tuu na uwezo wako wa kufikiri.Ni zile hisia tuu kuwa kitu fulani kikisemwa basi kina maana ile ile yako na ni kufuru kusemwa dhidi ya mtu fulani au imani fulani. Wakritu humwita YESU BWANA WAO.Hata wanaume.barua huanza na Bwana/bibi,wengine hutwa Mabwana wakubwa.Nguo pia huvalizwa kinyume au nje ndani?gai nalo huweza tembea kinyumenyumeUnasemaje hilo?
 
Back
Top Bottom