Mtunza bustani ashtakiwa kwa kumtusi Magufuli, kwamba anaendesha nchi kinyume na maumbile

Siku ya kesi, tafadhali tujulishane huko court itaposomwa, maana ya hiyo kinyume na maumbile imefahamika vipi, na ni tusi kwa naman gani.
 
Masabu kama angekuwa bado yuko hai angemsaidia huyu jamaa kuelewa kama ni tusi au siyo tusi. Maana yeye aliwambia wabunge wa mkoa wa dar wanafikiri kwa kutumia makalio
 
Kapaza sauti mtaani na mashahidi wapo

sasa hawa waliomkamata si wangempotezea tu, maana wasinge mkamta isinge sikiika ingeishia hapohapo bustanini kwake. sasa nashida yote bado wanampa hali ngumu kabisa hivyo! basi watapanda vyeo,
ILA NAWAOMBA WAHUSIKA WAMSAMEHE HUYU MDAU WA MAZINGILA.WATOE TAMKO AACHIWE BILA YA MASHARTI.
 
sasa hawa waliomkamata si wangempotezea tu, maana wasinge mkamta isinge sikiika ingeishia hapohapo bustanini kwake. sasa nashida yote bado wanampa hali ngumu kabisa hivyo! basi watapanda vyeo,
ILA NAWAOMBA WAHUSIKA WAMSAMEHE HUYU MDAU WA MAZINGILA.WATOE TAMKO AACHIWE BILA YA MASHARTI.
Huko ni kuhalalisha uhalifu.
 
Rais angekua mtu mwenye hekima asimame na kuamuru polisi wasikamate mtu yeyote anayemuongea, tunapoteza muda, pesa, rasilimali watu kukaa tunadeal na watu kama huyu mzee. Mwisho wa siku atapelekwa mahakamani atakataa watamuachia. Waafrika hatubadiliki, tuko vilevile, tunajali sana mambo ya kijinga, yale ya msingi yanapewa second priority.
Sheria haina exception
 
Utaanzaje kumtukana baba na mamako hivyo wakati hawafanyi au hawaongoz familia hivyo? Punguzen jazba zisizo za msingi, haiwezekan wote wamsifu tu kwa kila anachokfanya,

Police nao wameshndwa kukomesha vitendo viovu wamekalia kudeal na watoa maneno! Kuna mitaa mengine hapa bongo hayaptk kuanzia saa 2 usiku police hawajui? Kwa nn wasielekeze nguvu zao huko kukomesha uharf na kudumisha amani?

Kagera juz kati waliambiwa maneno matamu kama sukari? Mto ngono,ukimwi nyinyi, mtaa katelelo nk hayo siyo matusi? Kuyasema ilikua sehemu yake hapo? Hii nchi ya kuropoka kuanzia viongoz wetu hivyo wakilopoka watu chini msitahamaki maana wajfunza toka kwenu!
Wasimsifu lkn wasimtukane
 
Back
Top Bottom