Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kosa la jamaa ni kuongea ukweli... na kapita mle mle kwenye mstari...Tatizo ni 'Ukweli' kuonekana ni tusi mbele ya Viongozi wasiotaka kuona au kusikia wakikosolewa..
hii serikali sasa inataka kujifanya mungu watu... yaan kusema kinyume na maumbile ni tusi..!
au kuna lililopo nyuma ya pazia..!
Mkuu usifananishe ya nyumbani na mwenendo wa Taifa. Home mtoto anaweza akachapwa kisa mtu mzima amejamba na inakubalika kabisa...Unajua nyie mijutu mingine mnajifanya kama hamna akili hivi mtu kunahaja ya kufikiria kiwango cha digree kama huyo jamaa hajafanya kosa unaonaje nyumban kwakoo mwanao akakumbia baba unaongoza familia kinyume na maumbile utacheka wewe? Na utafurahi kama mwanangu hajafanya kosa hebu tuwe na heshima kwa viongoz wetu.sichukulii magufuli tu hata awe kiongoz wa mtaa ni kiongoz kukuosana kunanjia nyingi na si kutukana.acha sheria I chukue nafasi yake
"Tanzania tuna Raisi wa ajabu haijawahi kutokea "Tundu LissuHuu uzi kumbe ulikuwa bado haujaisha?!!!
Jamaa hapendi kukosolewa, au huenda hajiamini. Maana urais imekuwa rahisi kwake kuupata ni kama kuokota dodo chini ya mnazi.
Sent using Jamii Forums mobile app