Mtunza bustani ashtakiwa kwa kumtusi Magufuli, kwamba anaendesha nchi kinyume na maumbile

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,208
103,782
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.

Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile

My Take:

Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
 
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya leader club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile

My Take
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu,lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana.Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Tusi hapo ni lipi?
 
Unajua nyie mijutu mingine mnajifanya kama hamna akili hivi mtu kunahaja ya kufikiria kiwango cha digree kama huyo jamaa hajafanya kosa unaonaje nyumban kwakoo mwanao akakumbia baba unaongoza familia kinyume na maumbile utacheka wewe? Na utafurahi kama mwanangu hajafanya kosa hebu tuwe na heshima kwa viongoz wetu.sichukulii magufuli tu hata awe kiongoz wa mtaa ni kiongoz kukuosana kunanjia nyingi na si kutukana.acha sheria I chukue nafasi yake
 
Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya leader club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile

My Take
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu,lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana.Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Mpaka watunza bustani watu wa hali ya chini kabisa ambao mkuu anasema ndo anawatetea wanaanza wanatukana basi kuna tatizo tena kubwa sn, zinahitajika juhudi mahususi kulinusuru taifa. Mimi nilitegemea wanaotumbuliwa ndo waporomoshe mitusi, ila matusi hayasaidii cha msingi watz tuungane tupambane ili haki ionekane kutendeka
 
Ngoja tusubiri mwendesha mashtaka wa serikali na wakili upande wa mtuhumiwa watatupa tafsiri gani mbele ya Mahakama na Hakimu atakubaliana na tafsiri ipi.

Mifano mingi mmojawapo kiongozi akisema ''nitawanyoosha'' wa-Tanzania ! Kufuatana na maumbile ya kibinadamu mtu mzima mwenye akili zake kuambiwa ''atanyooshwa'' hatakuwa radhi kukubali kimawazo anaweza kuambiwa hivyo na binadamu mwenzie na atabaki anasononeka.
 
Unajua nyie mijutu mingine mnajifanya kama hamna akili hivi mtu kunahaja ya kufikiria kiwango cha digree kama huyo jamaa hajafanya kosa unaonaje nyumban kwakoo mwanao akakumbia baba unaongoza familia kinyume na maumbile utacheka wewe? Na utafurahi kama mwanangu hajafanya kosa hebu tuwe na heshima kwa viongoz wetu.sichukulii magufuli tu hata awe kiongoz wa mtaa ni kiongoz kukuosana kunanjia nyingi na si kutukana.acha sheria I chukue nafasi yake

Kuongoza familia ni tofauti kabisa na kuongoza Nchi..
 
Back
Top Bottom