Mungu yupi,Funguka,Mungu wa Elizabeth au yupi.Kiongozi yeyote anachaguliwa na Mungu!kweli??kwahiyo hata Kibwetere??wadanganye wajinga.
Mungu yupi,Funguka,Mungu wa Elizabeth au yupi.Kiongozi yeyote anachaguliwa na Mungu!kweli??kwahiyo hata Kibwetere??wadanganye wajinga.
CCM Kama mnaendelea kuiangalia Dunia katika Angle mliyonayo mtapata shida sana na Ulimwengu wa BPMungu yupi,Funguka,Mungu wa Elizabeth au yupi.
Afungwe tu.Mtunza bustani jijini Dar es Salaam amefikishwa kizimbani jana kwa tuhuma za kumtusi rais Magufuli na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu.
Taarifa zinaripoti kuwa akiwa maeneo ya Leaders club mtunza bustani huyo aliwatusi rais na makamu wake kwa kuwatuhumu kwamba wanaongoza nchi kinyume na maumbile
My Take:
Jamani tujizuie kumtusi kiongozi wetu, lakini pia kamata kamata ya polisi inawatia hamu watu kuzidi kutukana. Maana toka watu waanze kukamatwa matusi mapya ndio kwanza yanazidi
Futa kauli yako, uingie kwa kuiba kura au kwa kuua mtu halafu useme kateuliwa na Mungu? Jecha ndio Mungu au Lubuva ndio Mungu?Huo nimekupa mfano hai Lazima uelewa kwanza kiongoz yyt huteuliwa na Mungu hata kama kaingia kwa mapinduzi ya kijeshi
Itaeleweka baada ya yeye mwenyewe kuelewesha usipanicAcheni mzaha. Hapo katukana nini. Ametoa tu maoni yake. Sentensi yenyewe haieleweki.
Ataeleza aloyetamka neno hiloKinyume na maumbile ni tusi?
AtashukuruHamna kesi hapo.
Maumbile ya nchi ni katiba. Full stop.Kwan nchi ina Maumbile gan
Unarukaruka tu kama maharage kwenye sufuria mwisho kuiva tu. Badala ya kumchangia apate mawakili wazuri unahangaika na justification za ajabu ajabu hapa.Ngoja tusubiri mwendesha mashtaka wa serikali na wakili upande wa mtuhumiwa watatupa tafsiri gani mbele ya Mahakama na Hakimu atakubaliana na tafsiri ipi.
Mifano mingi mmojawapo kiongozi akisema ''nitawanyoosha'' wa-Tanzania ! Kufuatana na maumbile ya kibinadamu mtu mzima mwenye akili zake kuambiwa ''atanyooshwa'' hatakuwa radhi kukubali kimawazo anaweza kuambiwa hivyo na binadamu mwenzie na atabaki anasoneneka.
Mahakama itasikiliza pande zote itaamua.Tatizo ni 'Ukweli' kuonekana ni tusi mbele ya Viongozi wasiotaka kuona au kusikia wakikosolewa..
Hata kama ni tofauti kutukana sio suluhishoKuongoza familia ni tofauti kabisa na kuongoza Nchi..
Utalijua siku utakapo ingia kwenye penati yao. Usiwadanganye manyumbu, kemea sema no kukejeli au kutusi kiongozi aliyemadarakaniTusi hapo ni lipi?
Kwahiyo waache kukamata? Majambazi wabakaji wauza madawa majangili n.k wameogopa na kuacha uhalifu wameanza kukamatwa lini? Kama kigezo ni makosa kuendelea basi mahakama zifungwe kwa sab makosa mengi yameanza kufanywa hata kabla ya uhuruHa haaa haaaa kinyume na maumbile! khaaa watu wanavituko sana!
Ushauri wangu aachane na mambo mengine madogo madogo kwani kila siku linazaliwa tusi jipya! Tangu waanze kukamata mbona watu hawaogopi?
Inawezekana kwa kamusi yakoHata mikutano ya siasa nayo ni matusi.
Anatuhumiwa tu usipanicIkisemwa ANATUKANA watu, ninyi mnasema ANANUKULIWA VIBAYA, raia nao wakifunguka mnapovuka eti WANAMTUKANA!
Majambazi nao mbona wanaendelea?Ingekuwa kukamatwa na kupeleka mahakamanindio funzo la watu kutoendelea kutukana basi watu wangekuwa wamisha acha maana waliopelekwa mahakamani kwa kosa hilo ni wengi lakini bado watu wanaendelea kutokana-cha msingi mtukanwa ajirekebishe
Kamsaidie kutafsiri mahakamaniNi sawa tu na mtu aseme "Mwafaaaa"