Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 227
mimi nahisi huyu jamaa anataka mke wa kuoa na si kupotezeana muda. hivyo alivyosikia huyu tayari ni divorcee na ana watoto tayari, hakutaka kupoteza muda wake kwa jambo ambalo halitakua. sidhani kama kuna mwanamme anayetaka kuoa mwanamke aliyewahi kuolewa au kua na watoto.