Mbekelu Mghenyi
New Member
- Nov 18, 2011
- 3
- 1
Wapendwa hamjambo,nawajulisha ya kwamba Cpt Lowasa ameamua kuachana na dhambi,na hayo alishauriwa aokoke na Nabii T.B.Joshua nchini Nigeria.
Unatuletea habari gani wewe??????????? Kama ameokoka atarudisha fedha zetu nyingi $300Million alizoficha kwenye Acct zake Uswiss?????????? Majumba aliyonunua huko London vipi anuza aturudishie fedha au anayamilikisha serikali????????? Wacha ulevi wa mchana, anakulipa fedha ngapi kuleta utumbo hapa JF ???????????? Watu tuna usongo na wezi angalia tusikurarue mcha mchana hapa, koma!!!!!!!!!!Wapendwa hamjambo,nawajulisha ya kwamba Cpt Lowasa ameamua kuachana na dhambi,na hayo alishauriwa aokoke na Nabii T.B.Joshua nchini Nigeria.
we mtu ungekua huku kwetu ughaibuni ni KUNYONGWA TU!Wapendwa hamjambo,nawajulisha ya kwamba Cpt Lowasa ameamua kuachana na dhambi,na hayo alishauriwa aokoke na Nabii T.B.Joshua nchini Nigeria.