Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 138,971
- 275,574
Ninathibitisha kwamba Chadema ndio CHAMA kikuu cha SIASA Nchini Tanzania, Kama unabisha fuatilia Mkutano wa CHAMA hicho muda huu kwenye viwanja vya Soko kuu
Ilikuwa vema mno kwa CCM kumtumia Anna Komu na Said Issa kuzuia hiki CHAMA kisifanye SIASA
Wazungumzaji wakuu ni Godbless Lema (Nabii) na Mwenyekiti wa kanda ya Pwani Boniface Jackob
Soko kuu imetapika haitoshi!
Ilikuwa vema mno kwa CCM kumtumia Anna Komu na Said Issa kuzuia hiki CHAMA kisifanye SIASA
Wazungumzaji wakuu ni Godbless Lema (Nabii) na Mwenyekiti wa kanda ya Pwani Boniface Jackob
Soko kuu imetapika haitoshi!