Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Wafahamishe kwamba Qur'an,imetaja pia Injili,Zaburi,Taurati(Torati),ni vitabu vya Mungu,na vingine havikutajwa majina,lakini pia waislamu tunatakiwa tujue vipo vitabu vya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao masheikh ubwabwa lazima wapige kelele maana ndiyo wenye kutumia hicho kitabu kinawahusu,na nimekwambia kwenye hicho kitabu hakisemi tu Qur'an ndiyo ya Mungu bali kumeeleza vingi tu kuwa ni vya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app