K Kyenyabasa JF-Expert Member Mar 8, 2023 249 711 Dec 25, 2023 #1 Wakuu kama nilivyoeleza,,mtumishi wa Umma akipata uhamisho wa muda kwenda kufanya kazi sehemu flani atastahili kupata malipo ya namna gani!? Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.
Wakuu kama nilivyoeleza,,mtumishi wa Umma akipata uhamisho wa muda kwenda kufanya kazi sehemu flani atastahili kupata malipo ya namna gani!? Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.
kimbendengu JF-Expert Member Jun 7, 2013 6,140 10,529 Dec 25, 2023 #2 kiongozi tumia simu yako tu,andika Kwa Google sheria za utumishi na mahusiano kazini