Mtumishi wa umma akipata uhamisho wa muda anastahili kulipwa nini!?

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Mar 8, 2023
249
711
Wakuu kama nilivyoeleza,,mtumishi wa Umma akipata uhamisho wa muda kwenda kufanya kazi sehemu flani atastahili kupata malipo ya namna gani!?

Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…