Mtumishi wa Serikali akistaafu anastahili mafao gani?

maiyanga1

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
1,317
1,790
Wakuu mimi ni mtumishi wa umma ambaye natarajia kustaafu kwa hiari ifikapo June 30/2020.

Ninaomba kujua mafao ambayo nitastahili kuyapata, ukizingatia kwamba asilimia kubwa ya watumishi hatujui haki zetu.

Maafisa utumishi wengi aidha kwa makusudi au kwa kutojua, (hujiona Miungu watu) huwa hawana muda wa kuwaelewesha watumishi haki zao. Sana sana hukazania zile sheria zinazombana mtumishi tu.

Je kuna tofauti ya mafao kati ya mtumishi anayestaafu kwa hiari na anayestaafu kwa lazima?

Naomba wanaojua wanisaidie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali mengine hayapaswi kuuliza hapa unazani kila mtu ni mtumishi! Kwa kipindi chote ulichoajiriwa zaidi ya miaka 15 na hutambui haki na stahiki zako ni uzembe.

Taja kwanza kiwango chako cha Elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali mengine hayapaswi kuuliza hapa unazani kila mtu ni mtumishi! Kwa kipindi chote ulichoajiriwa zaidi ya miaka 15 na hutambui haki na stahiki zako ni uzembe.

Taja kwanza kiwango chako cha Elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
...Kweli. In Uzembe sana kama umebakisha miezi miwili tu kustaafu na bado hujajua Haki zako.
Ulitakiwa ulifanye hili miaka miwili ama mitatu kabla na kuweka mambo ya sasa ili usiju kupata tabu kupata mafao yako.
Kwa kukusaidia tu kidogo, ungetujulisha

Kiwango chako cha elimu.
Nafasi uliyo nayo sasa ajirani.
Mshahara wako was sasa utakaostaafia

...lakini pia jitahidi sana kupata file no yako ya PPF ama NSSF ama taasisi yoyote inayokutunzia Akiba yako, kwa kuanzia tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu ni tata sana,inategemea na kiwango cha elimu ya mtumishi,pia idara anayofanyia kazi mtumishi,tatu miaka aliyokaa kazini,nne umestafu ukiwa ngazi gani ya mshahara maaana kuna tgts B, C, D, E, F, G, H kila mtumishi mwenye ngazi ya mshahara hapo mafao yake yanatofautiana na mwingine.
Nimejibu kwa ujumla sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom