Cassava
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 282
- 36
Jamani wadau wa JF hasa hili jukwaa la mapenzi, poleni na kazi.
Nimeona niwashirikishe hili swala manake linaniacha njia panda.
jana nilienda salon moja kunyoa nywele hapa Dodoma mjini. Nikiwa nimekaa jamaa ananinyoa akaingia mzee wa makamo mnene tena muongeaji kweli kweli.
Basi, akaanza kuhadithia kuhusu rafiki yake mmoja ambaye yeye katika maisha yake hakuwahi kutumia kondom akiwa anafanya mapenzi. Anasema huyo jamaa yeye anatembea na kichupa cha RAYS (mafuta fulani ya mgando yaitwayo RAYS).
Anapotaka kuvunja amri ya 6, huupaka ukuni wake na kisha kuipaka K, akimaliza kiupaka tu kitu mwake mwake.
Jamaa anasema huyo jamaa alishapima pamoja na utundu wake wa mademu hajawahi kukutwa na maambukizo ya virusi kwa kuwa kichupa cha rays kilikuwa kinamsaidia. Ila akasema huyo mtumia RAYS alishakufa kwa ajali ya gari na anaamini alikufa akiwa hana virusi manake alikufa siku chache baada ya kupimwa.
Sasa wadau na wataalam, je Mafuta ya rays yanaweza kukinga maambukizo ya VVU?
Nawasilisha.
Nimeona niwashirikishe hili swala manake linaniacha njia panda.
jana nilienda salon moja kunyoa nywele hapa Dodoma mjini. Nikiwa nimekaa jamaa ananinyoa akaingia mzee wa makamo mnene tena muongeaji kweli kweli.
Basi, akaanza kuhadithia kuhusu rafiki yake mmoja ambaye yeye katika maisha yake hakuwahi kutumia kondom akiwa anafanya mapenzi. Anasema huyo jamaa yeye anatembea na kichupa cha RAYS (mafuta fulani ya mgando yaitwayo RAYS).
Anapotaka kuvunja amri ya 6, huupaka ukuni wake na kisha kuipaka K, akimaliza kiupaka tu kitu mwake mwake.
Jamaa anasema huyo jamaa alishapima pamoja na utundu wake wa mademu hajawahi kukutwa na maambukizo ya virusi kwa kuwa kichupa cha rays kilikuwa kinamsaidia. Ila akasema huyo mtumia RAYS alishakufa kwa ajali ya gari na anaamini alikufa akiwa hana virusi manake alikufa siku chache baada ya kupimwa.
Sasa wadau na wataalam, je Mafuta ya rays yanaweza kukinga maambukizo ya VVU?
Nawasilisha.