Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Mie huwa napaka pili pili. Jaribuni muone.
ha ha ha ha! Mbavu zangu. Si watawashwa hadi tendo liwe chungu.
Hivi kwani kuwa kicheche ndio lazima upate ukimwi. Inawezekana huyo mtu alikuwa anakutana na ambao wazima.
Unaweza ukajilinda na kujiheshimu lakini ukatokewa na mtu mmoja tu ambaye kashaathirika na habari yake ikawa hiyo.