Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Tatizo la wanadamu kupenda kushikiria fikra za kale kama misingi ya imani baada ya kuenenda na fikra za kisasa.
 
Tatizo la wanadamu kupenda kushikiria fikra za kale kama misingi ya imani baada ya kuenenda na fikra za kisasa.
 


Sawa na maelezo ya Biblia, mara mwili ulipotolewa kwa Yusufu wa Arimathaya, ulipelekwa mahali pa siri ili kuzikwa katika kaburi
lililofukuliwa katika mwamba ambamo mlikuwa na nafasi ya kutosha si kwa Yesu pekee bali na kwa wahudumu wawili pia ili
kumwangalia na kumtunza:

Basi wale wanafunzi wakaenda zao tena nyumbani kwao. Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Basi akilia hivi aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi. Akaona malaika wawili, wenye mavazi meupe, wameketi, mmoja kichwani na mmoja miguuni, hapo ulipolazwa mwili wa Yesu. (Yohana 20:10-12)

Si hivyo tu basi, bali pia twaambiwa katika Agano Jipya ya kwamba Yesu alipakwa juu ya majeraha yake marhamu iliyokuwa
imetayarishwa mapema kwa kazi hiyo. Marhamu hiyo iliyotayarishwa na wanafunzi wa Yesu ilikuwa na dawa za kuponya jeraha na kutuliza maumivu na kadhalika.

Mahangaiko ya nini hayo kwa kushughulikia kazi ngumu ya kutafuta madawa kumi na mawili yanayopatikana kwa nadra ili kutengeneza marhamu hiyo?

Madawa hayo yametajwa katika vitabu vya zamani vya madawa kama vile kitabu mashuhuri cha kufundisha udaktari kiitwacho Al-Kanun kilichotungwa na Bw Ali Sina (Tazameni 'Nyongeza' kwa orodha ya vitabu vya aina hiyo).

Kulikuwa na haja gani ya kupaka marhamu kwa maiti? Hiyo itakuwa na maana hapo tu ambapo wanafunzi walikuwa na sababu
imara ya kuamini kwamba Yesu ataondolewa msalabani akiwa hai.

Yohana Mtakatifu ndiye mtume wa pekee aliyediriki kutoa maelezo kwa nini marhamu ilitengenezwa na kupakwa kwa mwili wa Yesu. Hiyo inatia nguvu tena habari hii ya kwamba kupaka marhamu kwa mwili wa maiti ni kitendo kilicho kinyume kabisa na kawaida, kisichoweza kueleweka kwa wale waliomwamini Yesu kuwa mfu wakati wa kupakwa marhamu.

Ndiyo maana Yohana alichukua jukumu la kutoa maelezo yake. Anasema kwamba marhamu ilipakwa kwa sababu Mayahudi walikuwa na desturi ya kupaka marhamu ama dawa kwa maiti zao.

Hapa pana jambo la muhimu sana kuzingatia ya kwamba, wataalamu wote wa kisasa wana rai moja ya kwamba Mtakatifu Yohana hakuwa wa asili ya Kiyahudi, na akisema hayo amehakikisha ukweli wa rai ya wataalamu hao. Inatambulikana pasipo shaka ya kwamba Wayahudi ama wana wa Israeli katu hawapaki marhamu yoyote kwa miili ya maiti zao.

Kutokana na hilo watalaamu wakashikilia kwamba Yohana hana asili ya Kiyahudi, la sivyo asingelikuwa jahili asijue desturi za Kiyahudi.

Basi kulikuwa na sababu nyingine ya kupaka marhamu.

Marhamu ilipakwa ili kumwokoa Yesu katika kifo. Sababu ya pekee ndiyo hii ya kwamba Yesu hakutazamiwa na wanafunzi wake kuwa atakufa wala kwa hakika hakufa juu ya msalaba. Mwili ulioteremshwa haikosi ulionesha alama halisi za uhai kabla ya
kupakwa marhamu, waila kitendo cha waliopaka marhamu kitaonekana cha kipuuzi, kisicho cha akili na kisicho na maana.

Haielekei ya kwamba waliotengeneza marhamu hiyo mapema sana wakafanya hivyo bila ya kuwa na ishara madhubuti ya kwamba Yesu hatakufa msalabani, bali ataondolewa akiwa hai akiwa na majeraha ya hatari na atahitaji dawa yenye nguvu kubwa
ya kuponya.

Itambulikane ya kwamba eneo la kaburi alimolazwa Yesu liliwekwa katika hali ya siri kubwa waliyojua wanafunzi wake wachache tu.

Hiyo ilikuwa kwa sababu dhahiri ya kwamba yeye alikuwa hai na bado alikuwa katika hali ya hatari ya kushikwa.

Ama yaliyofanyika humo kaburini, hilo ni jambo la kujadiliwa kwa jiha nyingi; wala haliwezi kuthibitika kwa uchunguzi mkali, na pia haiwezekani kuhakikika ya kwamba yule mtu aliyetoka katika kaburi alikuwa kweli amekufa na akafufuka kutoka wafu.

Tunao ushuhuda wa pekee wa imani ya Wakristo ya kuwa Yesu aliyetoka humo kaburini alikuwa na mwili uleule uliokuwa
umesulibiwa, ukiwa na alama zilezile na majeraha yaleyale. Kama alionekana akitoka na mwili huo huo, basi natija ya kiakili ndiyo
tu ya kwamba yeye hakufa asilani.

INAENDELEA
 
Eti dawa akili za kisilamu bana Hapo sio dawa ilaha sumu ambayo unamuumbua kungwi yako baba fatûü kwamba hajui kufunda tena unamkaanga mazima mazima


ENDELEA KUTULIA TUUKALANGE MSALABA KWA MAFUTA YA BIBLIA


Ushuhuda mwingine wa kuhakikisha kuwa Yesu alikuwa bado hai wala hakufa ndiyo ufuatao: Baada ya siku tatu, mchana na usiku, watu wa kawaida hawakumwona isipokuwa wanafunzi wake tu. Au tuseme akijitokeza mbele ya wale tu aliowategemea.

Yeye hakuonana nao katika mwanga wa mchana bali katika giza la usiku.

Mtu anaweza kutambua kutokana na maelezo ya Biblia ya kuwa Yesu anataka kuondoka katika hali ya hatari haraka sana na kwa kujificha.

Pana swali hapa: Kama yeye alikuwa amejaaliwa uhai mpya wa milele baada ya kifo chake cha kwanza wala asingeweza kufa tena, kwa nini alijificha asionekane mbele ya maadui, yaani wajumbe wa serikali na watu wa kawaida?

Ilimpasa kujitokeza mbele ya wajumbe wa serikali ya Kirumi na Wayahudi pia na kuwaambia:

'Nipo hapa nikiwa na uhai wa milele. Jaribuni kuniua tena kama mtaweza, lakini hamtaweza kamwe'.

Lakini alihitaji kujificha.

Siyo kwamba rai ya kujitokeza hadharani hakupewa; bali kinyume chake alishauriwa waziwazi ajidhihirishe kwa ulimwengu, lakini akakataa na akaendelea kwenda mbali ya Uyahudi ili mtu yeyote asiweze kumsaka:

Yuda (siye Iskariote) akamwambia, Bwana imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwa ulimwengu? (Yohana 14:22)

Wakakikaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, naye alifanya kamaanataka kuendelea mbele. Wakamshawishi wakisema, kaa pamoja nasi, kwa kuwa kumekuchwa, na mchana umekwisha. Akaingia ndani kukaa nao. (Luka 24:28-29).

Hilo linahakikisha ya kwamba yeye alikuwa mtu mwenye kufa asiye mbali na kufikiwa na mauti ama majeraha. Hiyo inayonesha
tu ya kwamba Yesu alikuwa hajafa katika maana hii ya kwamba akaondolewa ule ubinadamu uliokuwamo ndani yake, bali akabaki kabisa kama alivyokuwa wala kifo hakikutokea kumtenganisha na mwili wa zamani na kumpa mwili mpya. Ndiyo kusema
kwamba aliendelea kuishi pasipo kufa.

Roho inayohusikana na ulimwengu mwingine kabisa haitendi jinsi alivyotenda Yesu wakati alipokutana na marafiki na wafuasi wake kisiri saa za usiku katika giza.

Suala la Yesu kuwa roho limekataliwa katakata na Yesu mwenyewe. Yeye alipojidhihirisha kwa baadhi ya wanafunzi wake, hao wanafunzi hawakuweza kuficha hofu yao kwani walimwamini kwamba huyo siye Yesu mwenyewe bali ni roho yake.

Yesu Kristo akitambua tatizo lao akafutilia mbali hofu yao kwa kukataa kwamba yeye siye roho bali yu Yesu yuleyule aliyekuwa amesulubiwa, hata akawakaribisha wachunguze wenyewe majeraha yake ambayo bado yalikuwa mabichi (Yohana 20:19-27).

Kudhihirika kwake kwa wanafunzi na wengineo hakuhakikishi kwamwe ya kwamba yeye alifufuka katika wafu.

Kilichothibitika ni kwamba yeye alipona katika uchungu wa mauti.

Yaonekana ili kuwaondolea shaka waliyokuwa nayo bado nyoyoni mwao, yeye akawauliza walikuwa wanakula nini. Na alipoambiwa kwamba walikuwa wanakula mikate na samaki, akawaomba apewe yeye pia kwani alisikia njaa na akala (Yohana
24:41-42).

Hilo pasipo shaka yoyote ndilo hakikisho dhidi ya yeye kufufuka katika wafu, yaani kurejea ile hali ya asili ya mtu aliyekwisha kufa na kuhuika tena. Matatizo yazukayo kutokana na kuhuika huko yatakuwa mara dufu.

Kama Yesu bado alikuwa kitu kama mungu-mtu, jinsi inavyodaiwa alikuwa kabla ya kusulubiwa, basi alikuwa bado hajaepukana na 'mtu' ndani yake.

Hilo linazusha hali ngumu ya kutatanisha. Kifo kilimfanya nini ama kiliwafanya nini, yaani yule 'mtu' ndani ya Yesu na yule 'mungu' ndani yake?

Je, roho za wote wawili, 'mtu' na 'mungu', zilitoka na zikarejea ndani ya mwili huo huo wa udongo, baada ya kukaa katika jahanamu ile ile pamoja, ama hiyo ilikuwa roho ya mungu ndani ya Yesu iliyorejea katika mwili wa kibinadamu bila ya kufuatana na roho ya mtu?

Roho hiyo ya mtu ilipotea wapi?

Mtu anashangaa. Je, safari yake kwenda katika jahanamu iliishia mumo humo pasipo kurejea, ilhali roho ya mungu ndani yake ilikaa tu humo kwa siku tatu mchana na usiku?

Na Je, Mungu alikuwa baba wa Yesu-mtu ama Yesu mwana?

Suala hilo linapaswa kutatuliwa kwa kutupatia picha safi. Je, mwili wa Yesu ulikuwa nusu wa Mungu na nusu wa mtu?

Fikara kumhusu Mungu tunayopata kutokana na Agano la Kale na Agano Jipya ni kwamba hana mwili, tena ameenea mahala pote, dhati yake siyo ya kiwiliwili.

Tukiisha zingatia hiyo, hebu sasa tugeukie nyuma kumwangalia Yesu ambapo alikuwa anapita katika hali mbalimbali za kukua akiwa mimba ndani ya tumbo la uzazi la Mariamu. Kitu alichoumbika nacho Yesu kilitolewa chote na mama wa kibinadamu, hata sehemu sawa na punje ya haridali haikutolewa na Mungu Baba.

Naam, Mungu angeliweza kumwumba kimuujiza. Lakini kulingana na maoni yangu, kiumbe ni kiumbe tu hata akiumbwa kikawaida ama kimwujiza. Twaweza kumkubali mtu kuwa baba wa mwanae hapo tu mwana huyo anapoumbika kutokana na mwili wa baba na mwili wa mama kwa usawa au kwa uchache sehemu walau ndogo sana wa mwili wa baba ipatikane katika uumbaji wa mwana.

Kutokana na maelezo hapo juu inapaswa kubainika kwa msomaji ya kwamba Mungu hakufanya kazi yoyote ya baba kabisa katika mimba kushikwa. Na kiwiliwili kizima pamoja na taratibu kuhusu moyo, kupumua, na utaratibu wa mwanzo na kuhusu ufa katika ini, mpango wa seli na taratibu ya neva, vyote hivyo viliumbika kutokana na mama wa kibinadamu pekee bila ya kusaidiwa na mwingine yeyote awaye.

Basi iko wapi sehemu ya 'Uana' katika Yesu ambaye alikuwa ni chombo cha kuwekea roho iliyoumbwa na Mungu tu?

Ufahamu huo mpya wa uhusiano baina ya Mungu na Yesu unaweza kuelezwa kiakili kwa namna lakini siyo kama uhusiano wa baba na mwana.
 
Ni akili ya maiti tu na Mtu ASIYE jua KUSOMA ndio wanoweza kuilinganisha Uwezo, Ukuu, na Maajabu ya Mwenyezi sawa na Babu yao hadi wanapiga sound humu KUWA ATAKALO MUNGU HAWEZI
Ahahahahahahahahhahahahahahaha Yesu amemaliza kazi ni mtu alietumwa na Mungu,
Yohana 8:40 sasa ukija Ukisema ni Mungu useme wapi Yesu kakufundisha hilo jambo, halafu Mungu kufanya atakalo ni kweli lakini sio vitu ambavyo avipo kwenye kanuni zake , ahahahhahahah kwa akili zenu fupi ipo siku mtasema Mungu kashuka kama mwanamke na kabeba mimba ahahahhahahahaha
 
akili ya baba fatuû hiyo View attachment 873264 ambayo haiendani na Agizo la Mungu la qisasi Hivyo baba kasimu mafundisho yake ni dhaifu nikuulize ni mf; tu gavana kakubaka na kukula mvutu kwa mujibu Wa sheria ya qisasi na wewe lazima umbake na jumla mvutu...sasae gavana mtemi utafanyeje ili utimize sheria ya qisasi?? Ona mafundisho Thabiti ya Yesu View attachment 873322 na Prof Paulo karejea View attachment 873323kisasi ni cha Mungu tu View attachment 873324 mchana na ghilba za baba faûú daudi
Ahahaahaaahhahaha hata unachojitetea ueleweki msikilize Mungu wako huyo kama utaki futa maandiko hayo ahahhaahahhaha
SAMWEL wa kwanza 15:3
" Basi sasa enda UKAWAPIGE Amaleki na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali WAUENI, mwanamume na mwanamke , mtoto naye anyonyaye, NG'OMBE, na KONDOO, NGAMIA na PUNDA

Ahahahahhahahahah unauliza wapi katengua hapo Mungu wako amepata hasira mpaka PUNDA asibakishwe hivyo ndivyo Israeli ilivyopatikana na kulindwa kwa kumwaga damu za watu na wanyama
 
Mimi naongelea TOHARA...unaleta hakuwa, hakuwa ... aaaaaàh kwani nani kakwambia Adam kawa?¿ kuanzia jiburilu, majini, muhammad na maislamu woote duniani mnafanya shingo ngumu hamtaki kutahiriwa mazunga...kama unabishia niwekee ayat humu kigezo chako baba fatûú kaifuata mila ya Ibrahim kwa kukata au kukatwa nyama ya govi lake ukiiweka Mimi nitaretadi na kuwa mchawi
Hakuna hoja unalalamika tu kijana Ishmael alianza kutahiriwa kabla ya isiaka unauliza tohara kwa Mohamadi? asietaka tohara ni Paulo ahahahhaahahhaaahahajaaa
 
Kumbe hata nilivyo iweka kislam silamu napo huelewi; nikuulize Adam alikuwa tunda Akiwa duniani au sardaus utaelewa kwa lazima tu kama unavyo kula roasted farja View attachment 873175 View attachment 873178
Kula tunda ndio kosa lake awe peponi au duniani, usiongeze makosa ambayo QURAN aijasema ahahahahahahajajaja nimekwambia Adam kuja duniani sio adhabu ndio lengo asa la kuumbwa kwake Adamu aje duniani atawale , dhambi ya asili ni maneno ambayo ata Mungu huko anashangaa kwa mnavyomfanya awezi kusamehe , huu ni utovu wa nidhamu
 
Hii cp Unasubiri INJILI nyingine hivyo laana tulahi
Ahahahahhahahaahhahhaaja tulia dawa ikuingie
YOHANA 17:3
" Na uzima wa milele ndio huu, wakujue WEWE , Mungu wa PEKEE wa KWELI, na YESU kristo ULIEMTUMA".

Ahahahaahahahhahhahahahahaha injili ile ile Yesu katumwa na Mungu wa pekee wa kweli , je wewe injili yako inasemaje? ahahahhahahhahahaahhahahajaaa
 
Ahahahahahahahahhahahahahahaha Yesu amemaliza kazi ni mtu alietumwa na Mungu,
Yohana 8:40 sasa ukija Ukisema ni Mungu useme wapi Yesu kakufundisha hilo jambo, halafu Mungu kufanya atakalo ni kweli lakini sio vitu ambavyo avipo kwenye kanuni zake , ahahahhahahah kwa akili zenu fupi ipo siku mtasema Mungu kashuka kama mwanamke na kabeba mimba ahahahhahahahaha
Mtu HAWEZI KUWA MUNGU jee MUNGU HAWEZI KUWA MTU TAMKA UWEZO HUO HANA
 
Ahahaahaaahhahaha hata unachojitetea ueleweki msikilize Mungu wako huyo kama utaki futa maandiko hayo ahahhaahahhaha
SAMWEL wa kwanza 15:3
" Basi sasa enda UKAWAPIGE Amaleki na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali WAUENI, mwanamume na mwanamke , mtoto naye anyonyaye, NG'OMBE, na KONDOO, NGAMIA na PUNDA

Ahahahahhahahahah unauliza wapi katengua hapo Mungu wako amepata hasira mpaka PUNDA asibakishwe hivyo ndivyo Israeli ilivyopatikana na kulindwa kwa kumwaga damu za watu na wanyama

Madhumuni ya sheria ni Rohoni watu kwa udhaifu wao wame isheheresha kimwili Ndipo Yesu kaja Kuitimiliza
IMG_20180921_134142_503.jpg
na Prof; Paulo kapigilia msumari
IMG_20180921_143759_525.jpg
Mungu hajatengua popote kwamba Yeye ndie MWENYE kulipiza kwa Ajili Yetu
IMG_20180921_143847_603.jpg
namshangaa baba fatùû kuleta mafundisho dhaifu
IMG_20180921_134227_737.jpg
Ndipo nikajiuliza jee umembaka gavana na jumla mvutu kwa mujibu wa baba fatûú LAZIMA naye akubake na kukula mvutu ili awe na akili na UHAI jee akikukuta wewe mtemi kashindwa kukubaja fatwa yake ipi
 
Hakuna hoja unalalamika tu kijana Ishmael alianza kutahiriwa kabla ya isiaka unauliza tohara kwa Mohamadi? asietaka tohara ni Paulo ahahahhaahahhaaahahajaaa

Sujakuuliza Prof Paulo wala mtoto Wa house girl wapi baba fatuma kakatwa nyama ya govi lake kama yeye ni Mfuasi wa mila ya Ibrahim! Hata atamke kama alivyo TAMKA Prof; Paulo
IMG_20180922_114541_911.jpg
la sivyo tutatangaza baba fatûú KAFA NA SOKSI
 
Sujakuuliza Prof Paulo wala mtoto Wa house girl wapi baba fatuma kakatwa nyama ya govi lake kama yeye ni Mfuasi wa mila ya Ibrahim! Hata atamke kama alivyo TAMKA Prof; Paulo View attachment 874248 la sivyo tutatangaza baba fatûú KAFA NA SOKSI
Ahahaahhahahahahhahaahahahaha anawasiwasi na maisha yake kama alimifunza kufuru anachofanya ni kujiami tu,
MATENDO YA MITUME 26:11
"Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu , nikawashurutisha KUKUFURU ; nikawaonea hasira kama mwenye wazimu, nikawaudhi hata katika miji ya ugenini";
ahahhahhahaha wewe unamuona mtu wa maana huyo
Ibrahim alikuwa muislamu na hakuna muislamu anaejitenga na mila ya Ibrahim chochote alichofanya Ibrahim MUISLAM kufanya ni jambo lisilo na maswali ahahahaha, kama unabisha thibitisha hapa Ibrahim alikuwa mkristo au myahudi?
 
Kula tunda ndio kosa lake awe peponi au duniani, usiongeze makosa ambayo QURAN aijasema ahahahahahahajajaja nimekwambia Adam kuja duniani sio adhabu ndio lengo asa la kuumbwa kwake Adamu aje duniani atawale , dhambi ya asili ni maneno ambayo ata Mungu huko anashangaa kwa mnavyomfanya awezi kusamehe , huu ni utovu wa nidhamu

Usikwepe swali Adam alikula tunda Akiwa wapi??? Mpaka uelewe daudi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom