Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,104
- 32,926
And on behalf of myself and my delegation, on behalf of the American people, thank you for the warmth that you've shown us on this visit.- President Obama. (huyu naye hajui Kiingereza)
Nyerere naye alitumia on behalf of myself
Naona hata Nyerere alitumia on behalf of myself - nani bingwa hapo?
Kashikane na Akina Jesca sio sisi hapa.Ukijipa kazi ama ukikubali kufanya kazi ya kumshambulia Rais wa nchi yako ujue ni sawa na kujipa kazi ama kukubali kazi ya kumshambulia Baba yako Mzazi.
Ndugu zangu JPM ni Rais wetu sote na analiongoza taifa letu. Kwa nafasi yake anaweza kuamua kulivuruga taifa na wote tukaharibikiwa lakini yeye kachagua kutolivuruga.
Kumshambulia Kiongozi wa nchi kwa jambo hili ni utovu wa nidhamu wa kupigiwa mfano na ni kujenga Taifa lisilojitambua. Tukatae utumwa huu na tushikamane pamoja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] DeadLabda hataki kuandikiwa
Wao Wanajua kiswahili hata broken?Jibu ni hapana,tatizo sisi tunahangaika na lugha ndio maana wakenya wanajidai wamesoma kwa kujua kiingereza tu hata kama hawana taaluma yoyote.Me sikusoma lakini naomba waliosoma kama kuna mtu anaorodha ya maraisi ambao hawajui hata neno moja la kiingereza awaorodheshe hapa.Wale ambao huwa wanaongea kikwao wanatraslentiwa!Wakati nipo form three nilikuwa nauwezo wa kumkosoa mwalimu wangu wa Geography,alikuwa hajui tenses na muda wa kuzitumia,lakini kitu muhimu alikuwa anatufundisha ili tuelewe Geograhy sio English.Na alikuwa trained teacher.
Wewe mswahili unajiona unajua Kiingereza zaidi ya waliozaliwa nacho? Ha ha ha.Kwani Nyerere mungu?Kosa ni kosa tu.
American English sio formal na hata mashuleni sometimes walimu makini hawaikubali.Wewe mswahili unajiona unajua Kiingereza zaidi ya waliozaliwa nacho? Ha ha ha.
And on behalf of myself and my delegation,...thank you for the warmth that you've shown us on this visit.- President Obama. (huyu naye hajui Kiingereza)
Jamaa hataki kweli hufikiri yakuwa kila kitu anajua yeye One men show.Labda hataki kuandikiwa
Upuuzi mtupu. Anza kumsahihisha Obama basi kama ndio hivyo.American English sio formal na hata mashuleni sometimes walimu hawaikubali.
hana haja ya kwenda uko mbona walimu wapo na wazuri tu? so anamuita hapo anamfundisha hapo alipo? kwan sh, ngapi?kujua kiingereza vizuri ni jambo LA msingi Kwa kiongozi yeyote WA nchi.
Mkuu Kama unaona kwenda British Council ni jambo LA aibu basi kajiunge na darasa LA Ras Simba
AIBU HII TUNAIFICHAJE, KWA MFANO???
Kuna ubishi mwingine haufai, lazima tuambizane ukweli.. Wakati wa kumpongeza Rais-mchaguliwa wa marekani, Rais Magufuli aliandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter kwa nia njema tu ya kupongeza, nikashauri kuwa Ikulu waandaliwe watu wa kuandika kwenye mitandao ya kijamii kwa niaba ya Rais Magufuli, ili yasijirudie tena yale yale, kwasababu ni kuiaibisha taasisi ya Urais, na nchi kwa ujumla.
Kufumba na kufumbua, sijui tatizo ni uelewa au misimamo isiyokuwa na tija, bado 'broken English' imeonekana katika post ya Rais Magufuli alipotoa pole kwa kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Cuba, hayati Fidel Castro.
Wakati ule wa mwanzo kuna watu walisema kwa kumtetea kuwa kiingereza sio 'issue' sana, na kumficha Rais Magufuli kwa mwamvuli wa uzalendo kwamba kiingereza sio lugha yetu.. Lakini niliwaambia, katika moja ya hotuba ya Mwl. Nyerere wakati wa uhai wake aliwahi kusisitiza juu ya matumizi ya lugha ya kiingereza kuwa; kama Ghana wanajifunza, Kenya wanajifunza, Uganda wanajifunza, Mozambique, Malawi, etc. iweje Tanzania tuwe nyuma tusijifunze kiingereza? Mwl. Nyerere akasisitiza kwa kusema kuwa; Kiingereza ndiyo kiswahili cha dunia, ni lazima tukipe mkazo tujifunze na tukitumie, pamoja na kuwa lugha yetu ni kiswahili.
Sasa hili la Rais Magufuli kuandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter unaosomeka dunia nzima, ni aibu, na mbaya zaidi Rais Magufuli anatambulika kama Dr. Magufuli J.P. kwa maana mtu mwenye shahada zaidi ya moja, na shahafa hizo amezisoma kwa lugha ya kiingereza, na moja wapo ni kwenye chuo kikuu chenye hadhi ya kimataifa, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM.
Ninashauri tena, Ikulu iandae watu kwa kazi hii, yeye kama Rais awape mawazo yake, wao wajue wanaandikaje, lakini kwa utaratibu huu, kwenye nchi ambayo watoto wa darasa la sita kwenye international schools wanazungumza kiingereza kumzidi mhitimu wa chuo kikuu, ni aibu kubwa, kwa taasisi ya Urais na taifa kwa ujumla.
Wako katika demokrasia na maendeleo
View attachment 440130
Tatizo siyo kujua au kutojua kiingereza. Nadhani tatizo ni kutumia lugha ambayo huna weledi nayo kwani hujazuiliwa kutumia lugha ambayo una weledi nayo. Tusipoteze muda wa kurejea mifano mingi isiyo na maana.Wao Wanajua kiswahili hata broken?Jibu ni hapana,tatizo sisi tunahangaika na lugha ndio maana wakenya wanajidai wamesoma kwa kujua kiingereza tu hata kama hawana taaluma yoyote.Me sikusoma lakini naomba waliosoma kama kuna mtu anaorodha ya maraisi ambao hawajui hata neno moja la kiingereza awaorodheshe hapa.Wale ambao huwa wanaongea kikwao wanatraslentiwa!Wakati nipo form three nilikuwa nauwezo wa kumkosoa mwalimu wangu wa Geography,alikuwa hajui tenses na muda wa kuzitumia,lakini kitu muhimu alikuwa anatufundisha ili tuelewe Geograhy sio English.Na alikuwa trained teacher.
HahahahahaChadema mkizeeka mtakuwa wachawi
kama anajijua kuwa hajui si angeandika kiswahili...Wao Wanajua kiswahili hata broken?Jibu ni hapana,tatizo sisi tunahangaika na lugha ndio maana wakenya wanajidai wamesoma kwa kujua kiingereza tu hata kama hawana taaluma yoyote.Me sikusoma lakini naomba waliosoma kama kuna mtu anaorodha ya maraisi ambao hawajui hata neno moja la kiingereza awaorodheshe hapa.Wale ambao huwa wanaongea kikwao wanatraslentiwa!Wakati nipo form three nilikuwa nauwezo wa kumkosoa mwalimu wangu wa Geography,alikuwa hajui tenses na muda wa kuzitumia,lakini kitu muhimu alikuwa anatufundisha ili tuelewe Geograhy sio English.Na alikuwa trained teacher.