Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Mtu yeyote anayedhoofisha Uchumi wa nchi ni Mpumbavu, hii ni kwasababu matendo hayo yanaongeza idadi ya maskini
Mataifa yote duniani huwa yanapambana kuongeza idadi ya matajiri ili kiwango cha umasikini kishuke ikiwezekana kuondoka
Taifa lolote duniani linakua haraka endapo idadi ya maskini ni ndogo
Inapotokea baadhi ya wapumbavu kudhoofisha uchumi inapelekea kiwango cha maskini kuongezeka pamoja na matatizo yasiyoisha katika Taifa
Umaskini unapoongezeka unapelekea ongezeko la maradhi na vifo pamoja na matatizo mengine yanayotokana na ukosefu wa fedha
Mfano endapo kipato cha Mwananchi ni laki tatu kwa siku basi kinaweza kushuka hadi sh laki moja, kwahiyo atakuwa amepoteza laki mbili kwa kila siku
Na kawaida hakuna uhakika wa hali ya uchumi kurudi kwa haraka, inaweza kuchukua zaidi ya miaka kumi
Kwahiyo Mwananchi aliyekuwa na kipato cha laki tatu kwa siku atakuwa amepoteza laki mbili kwa kwa siku kwa muda wa miaka kumi au zaidi, tizama ni namna gani madhara yake ni makubwa
Ni wajinga na wapumbavu peke yao ndio wanaojikita kwenye harakati za kijinga za kudhoofisha Uchumi wa Taifa
Watalii wanatakiwa wakaribishwe, pia wageni wasielezwe sifa mbaya za nchi, hii inaua nchi badala ya kujenga
Mataifa yote duniani huwa yanapambana kuongeza idadi ya matajiri ili kiwango cha umasikini kishuke ikiwezekana kuondoka
Taifa lolote duniani linakua haraka endapo idadi ya maskini ni ndogo
Inapotokea baadhi ya wapumbavu kudhoofisha uchumi inapelekea kiwango cha maskini kuongezeka pamoja na matatizo yasiyoisha katika Taifa
Umaskini unapoongezeka unapelekea ongezeko la maradhi na vifo pamoja na matatizo mengine yanayotokana na ukosefu wa fedha
Mfano endapo kipato cha Mwananchi ni laki tatu kwa siku basi kinaweza kushuka hadi sh laki moja, kwahiyo atakuwa amepoteza laki mbili kwa kila siku
Na kawaida hakuna uhakika wa hali ya uchumi kurudi kwa haraka, inaweza kuchukua zaidi ya miaka kumi
Kwahiyo Mwananchi aliyekuwa na kipato cha laki tatu kwa siku atakuwa amepoteza laki mbili kwa kwa siku kwa muda wa miaka kumi au zaidi, tizama ni namna gani madhara yake ni makubwa
Ni wajinga na wapumbavu peke yao ndio wanaojikita kwenye harakati za kijinga za kudhoofisha Uchumi wa Taifa
Watalii wanatakiwa wakaribishwe, pia wageni wasielezwe sifa mbaya za nchi, hii inaua nchi badala ya kujenga