Mtu yeyote anaweza mfungulia Sitti Mtemvu mashtaka

Mtu yeyote anaweza mfungulia Sitti Mtemvu mashtaka

mwanaapolo

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
256
Reaction score
79
Msikilize Mwanasheria akielezea juu ya sheria inasema nini endapo Sitti Mtemvu akikutwa na hatia ya kudanganya umri.

Nilicho shangaa ni kuwa mtu yeyote anaruhusiwa kumfungulia mashtaka Sitti endapo kamati ya Miss Tanzania na Ritta watashindwa/watapotezea.

Nimesikia through Radio 5 ya Arusha kipindi cha michezo hivi punde.
 

Attachments

Msikilize Mwanasheria akielezea juu ya sheria inasema nini endapo Sitti Mtemvu akikutwa na hatia ya kudanganya umri. nilicho shangaa ni kuwa mtu yoyote anaruhusiwa kumfungulia mastaka Sitti endapo kamati ya Miss Tanzania na Ritta watashindwa/watapotezea.

Nimesikia through Radio 5 ya Arusha kipindi cha michezo hivi punde.


Huyu kweli hafai kuwa Miss TZ ...angalia domo lipo wazi wazi utafikiri mbuzi dume, anyanyang'anywe hilo taji kabla hatujamfungulia kesi ya jinai yeye na kipenzi chake Lundenga
 
Lundenga huenda alijisahau kuwa mwisho wa kuchovyachovya ni aibu!.
Hivi hawa takukuru wanangoja mluzi wa nani ili wang'ate? Hebu wambane lundenga japo kidogo afunguke ni kwanini aliyajua yote haya lakini akachakachua? Kuna nini kati yao wawili plus mbunge?. Au wana makubaliano ya kuachiana jimbo?
 
Mngekuwa mnawawajibisha viongozi wenu kwa kuwashikia mabango kama hivyo ingekuwa safi sana. ...mnabaki kulia lia tu mtandaoni
 
Mi nasema hivi,unatoa pesa kama kiingilio cha miss tanzania sijui.....we ni pumb.avu sana!mnao dhamin haya mashindano ya kufoji .....nanyi pumb.avuuu kabisa kabisa.
 
Msikilize Mwanasheria akielezea juu ya sheria inasema nini endapo Sitti Mtemvu akikutwa na hatia ya kudanganya umri.

Nilicho shangaa ni kuwa mtu yeyote anaruhusiwa kumfungulia mashtaka Sitti endapo kamati ya Miss Tanzania na Ritta watashindwa/watapotezea.

Nimesikia through Radio 5 ya Arusha kipindi cha michezo hivi punde.
Yaani baada kuwafungulia mashtaka mafisadi na wezi wa mali ya Taifa mnaendekeza upuuzi wa hao m alaya, wanaojiuza majukwaani! Hii nchi ya manyang'au kweli.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Hangaikeni na maisha yenu. Mwacheni binti mtemvu ale maisha yake. Kama huna kazi ya kufanya nenda kaendeleze shamba lako. Tumechoka kusoma umbeya

 
Lundenga hana Mshipa wa aibu kwani kila kitu kiko wazi kuwa sitti amedanganya, Mosi: akiwa jukwaani alisema ana umri wa miaka 18 na wakati cheti cha kuzaliwa alichowakilisha Miss Tanzania kinaonyesha miaka 23, je majaji na Lundenga wanataka ushahidi gani hapo. . Nimemsikilia Lundenga anadai wao wanahitaj simple evidence na hawafanyi uhakiki wa Vyeti, Mpka hapo hapo anaonekana kujua mhezo mzima. kama asingekuwa anajua kinachendelea angesema tu kuwa .. tumesika malalamika na tunayafanyia kazi,
 
Mi nasema hivi,unatoa pesa kama kiingilio cha miss tanzania sijui.....we ni pumb.avu sana!mnao dhamin haya mashindano ya kufoji .....nanyi pumb.avuuu kabisa kabisa.

Mbaya zaidi mtiririko wa matukio kila mwaka ni ule ule ila ndio yanakaribia mwisho si unaona hata uzito wa zawadi na msisimko kama umepotea kiaina pia na waasisi wake wamepelekana mahakamani,zamani mwezi mmoja kabla ya tukio watu wanakuwa na shauku lakini haya yamepita kama upepo tu
 
Kusema kweli huyu dada hana miaka 23, nikimtizama ndugu yangu hapa ana miaka 23 sura yake bado changa kabisa, kama kweli ana miaka hiyo basi kuna kinachomzeesha haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom