Jombaa umelizwa!!!Hapana nimeinunua ikiwa icloud mkuu
Pole use it as a toy.pia usipende nunua vitu vya mkononi hasa hizi electronics gadget wapo waliofungwa mpaka miaka 20 unanunua kitu mwenyewe aliuwawa katika tukio la ujambazi...kesi inakuwa yako ukikamatwa na mali zitokanazo na matukio ya ujambazi..hakimu utamsibitishiaje kama sio wewe aliefanya tukio la unyanganyi???Habari wana Jf kama kichwa hapo juu nina Ipad ina icloud nahitaji mtu mwenye uwezo wa kuondoa hiyo icloud niko Mwanza, tafadhari kama upo nicheki tufanye kazi.
Habari wana Jf kama kichwa hapo juu nina Ipad ina icloud nahitaji mtu mwenye uwezo wa kuondoa hiyo icloud niko Mwanza, tafadhari kama upo nicheki tufanye kazi.