Unapenda kuona mtu akiuawa eehhhh?Iko wapi sasa.
weka video sasa tuone, mbona haipo? racism marekani imeshamiri sana, niheri HILALY CLINTON achukue nchi ila akichukua Trump weusi watazidi kuuawaYametokea mauaji ya Wanaume Wamarekani weusi
wawili ndani ya siku mbili nchini Marekani ambapo wa
kwanza alikua muuzaji wa CD aliyeuwawa kwa
kupigwa risasi akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wawili
waliokua wamemlaza chini. Video ya mauaji ya kwanza ya Alton Sterling inaonyesha hakuwa na bunduki mikononi mwake kama
ilivyodaiwa na Polisi wakati wakiwa wamemuweka
chini ya ulinzi, video yenyewe ni hii hapa chini (tahadhari inatisha).
Mauaji ya pili yametokea kwa Philando Castile aliyekua akiendesha gari dogo akiwa na mpenzi wake na mtoto
wao ambapo alisimamishwa na Polisi na kuuwawa kwa
kupigwa risasi sekunde chache baadae huku Polisi
akionekana kujihami kutokana na Mwanaume huyo
kutaka kutoa leseni yake mfukoni lakini Polisi akiamini
alikua akitaka kutumia bastola. Mama watoto wake ambaye alikua nae kwenye gari
alianza kurusha live kinachoendelea kupitia ukurasa
wake wa Facebook kama inavyoonekana hapa chini, (tahadhari inatisha)
inasikitisha sana, ni kheri wangekuwa wanabaguana wananchi kwa wananchi, ila Vyombo vya dola ndio vinambagua raia??? So sadweka video sasa tuone, mbona haipo? racism marekani imeshamiri sana, niheri HILALY CLINTON achukue nchi ila akichukua Trump weusi watazidi kuuawa
Black on black Crime Stats are more alarming than this?...weka video sasa tuone, mbona haipo? racism marekani imeshamiri sana, niheri HILALY CLINTON achukue nchi ila akichukua Trump weusi watazidi kuuawa
Kwa mujibu wa mbongo mwenzetu humu ndani anayekaa marekani ni sawa hii mijaa meusi iuawe na polisi kwani hata huku kwetu kwa "wala vumbi" hizi makitu zinatokea…Tatizo si kuuawa wazungu au weusi, tatizo ni incidents zinazopelekea mauaji hayo. Hivi kama mweusi kavamia benki hata wakimshoot kuna mtu atalalamika? Lakini mtu yuko unarmed na anapigwa risasi nne mpaka anakufa, hii inatia shaka. Na takwimu zinaonyesha kuwa unarmed blacks wanauawa zaidi.
Ningeweza ningeweka link hapa.
weka video sasa tuone, mbona haipo? racism marekani imeshamiri sana, niheri HILALY CLINTON achukue nchi ila akichukua Trump weusi watazidi kuuawa
inasikitisha sana, ni kheri wangekuwa wanabaguana wananchi kwa wananchi, ila Vyombo vya dola ndio vinambagua raia??? So sad
Kwa mujibu wa mbongo mwenzetu humu ndani anayekaa marekani ni sawa hii mijaa meusi iuawe na polisi kwani hata huku kwetu kwa "wala vumbi" hizi makitu zinatokea…
Polisi wanne Dallas Marekani wameuwawa kwa risasi, ni saa kadhaa zimepita
toka raia wawili weusi kuuwawa na Polisi.
aisee kweli wala vumbi hatuthaminiki kabisa sijui tumemkosea nini maulanaTeh teh teh....hakuna atakayerudi Afrika.
Marekani pamoja na mapungufu yake ni nchi nzuri sana.
Halafu ukiwasikiliza hawa wala vumbi utadhani huko Afrika ni peponi, hakuna madhila yoyote yale.
Wanachekesha kweli.
aisee kweli wala vumbi hatuthaminiki kabisa sijui tumemkosea nini maulana
vipi hao polisi wanne waliokula shaba tupe mwelekeo umeendaje sisi wala vumbiWatu wanajifanya kujali sana yajiriyo Marekani wakati huko mavumbini na kwenyewe ni hovyo tu.
Muhammad Ali huyo!!!Mkuu haya ni maneno yako au? dah nmekuelewa sana ulvoandika. Swali ww ni mjeda
vipi hao polisi wanne waliokula shaba tupe mwelekeo umeendaje sisi wala vumbi