Mimi sitaki MADARAKA, kwasababu sina huo ujasiri wa KUUA watu.2030 gombea Urais, itakuwa fursa kwa nchi yetu kupata Rais mwenye akili toka tupate Uhuru na tutaitumia fursa hiyo vizuri.🙏
Mkuu kama kumbukumbu zako ziko sawa. Hii ni mara ya kwanza CCM kuahidi mabadiliko ya Katiba?Kinachotakiwa kufanyika kwanza ni mabadiliko ya katiba,ili mambo mengi ambayo ni kero kwa Watanzania yapate kutafutiwa ufumbuzi ikiwemo kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
Natambua utauliza tutaipataje tume hiyo wakati Serikali haina nia ya kufanya hivyo?
Huenda tunataka matokeo ya haraka, Raisi ameahidi kufanya mabadiliko ya katiba hivi karibuni
Basi tuwe na subira na tujue ukwelli uko wapi
This time matukio ya 29 October yamewafundisha kitu watawala,kuna changes zinakujaMkuu kama kumbukumbu zako ziko sawa. Hii ni mara ya kwanza CCM kuahidi mabadiliko ya Katiba?
Wananchi wanatakiwa kuwa werevu wasirudie kufanya makosa ambayo yalitucost last timeMwerevu ni nani mkuu serikali au waandamanaji? Binafsi ningewaacha tu waandamane huku wakilindwa na kusimamiwa na police. Kuzuia wananchi kuandamana ni gharama kubwa sana isiyo na tija. Kuweka waandamanaji ndani mpaka 2030 itakua ni kukosa utimamu wa akili pia.
Jukumu la usalama na uzima wangu ni la serikali pia. Ya Oct 29 wala hayana mjadala. We all saw what happened. Someone made a big mistake. Nakuombea uzima mkuu sote tushuhudie "karma" inavyofanya kazi. "Karma" haijawahi kumwacha mwovu salama.Wananchi wanatakiwa kuwa werevu wasirudie kufanya makosa ambayo yalitucost last time
Haijalishi Serikali inadhumuni gani ila jukumu la usalama na uzima wako lipo mikononi mwako
Kumbe una IQ ya Paka a.k.a NyauGharama kubwa sana imetumika kuzuia maandamano.
Kurusha Helkopita nyingi nchi nzima
Posho kwa maaskari.
Taswira ya nchi na reputation ya JWTZ imekufa.
Uchumi unasimama, kila.siku watu wanakaa ndani.
Ukianfakia haya yote yangewe,a kuepukika vizuri tu, kama tusingekuwa na Rais asiye na akili
Ubongo wako ni maviKumbe una IQ ya Paka a.k.a Nyau