ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,641
- 21,713
My people,
Natambua tumeumizwa sana kwa kupotelewa na vipenzi vyetu,tumepoteza mali zetu na mitaji yetu,tumetezwa utu wetu na heshima yetuLakini kutumia njia ambayo hapo awali ilifeli na kutaka kuitumia katika namna ile ile tusitarajie matokeo tofauti,tena kibaya zaidi watesi wetu wanajua wapitie wapi na kutokea wapi
Damu ya kutosha ilisha mwagika hatuhitaji nyingine imwagike,tusikurupuke kwa mihemko ambayo haina tija Linda uhai wako na kiwiliwili chako
This time ukibahatika kuwa hai ni vizuri ila ukidakwa kuwa tayar kukaa ndani mpaka term ya mama iishe 2030
Ndio maana nasisitiza ndugu zangu Linda uhai wako na kiwiliwili chako
Andamana for ur own risk, kikubwa tusiwaone mnakuja kulialia hapa jukwaani
Ni hayo tu!