Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Ni basi linalotoka kahama kuelekea mwanza mtu huyo ambae nimekaa nae siti moja amefariki dunia gafla kabla hatujafika shinyanga.
Kwa maelezo ya ndg yake ambae tunae siti hii hii ya watu watatu amesema mtu huyo ambae ni mjukuu wake alisikia mjukuu wake anaumwa sana huko machimboni na kuamua kumfuata na kumpeleka kwao bariadi.
Hapa ndo tumefika ktk hosptali ya mkoa Shinyanga na wauguzi wanashusha mwili wa marehemu.
Inasemekana mpaka sasa ni zaidi ya watu wanne ndani ya mwaka mmoja wamekuwa wakifia ndani ya magari ya Mombasa Raha, ni bus lenye namba za usajili T140 BTM.
Souce: Mimi mwenyewe
Kwa maelezo ya ndg yake ambae tunae siti hii hii ya watu watatu amesema mtu huyo ambae ni mjukuu wake alisikia mjukuu wake anaumwa sana huko machimboni na kuamua kumfuata na kumpeleka kwao bariadi.
Hapa ndo tumefika ktk hosptali ya mkoa Shinyanga na wauguzi wanashusha mwili wa marehemu.
Inasemekana mpaka sasa ni zaidi ya watu wanne ndani ya mwaka mmoja wamekuwa wakifia ndani ya magari ya Mombasa Raha, ni bus lenye namba za usajili T140 BTM.
Souce: Mimi mwenyewe