Mtu anieleze faida ya kuoa

Mtu anieleze faida ya kuoa

Raia mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2022
Posts
906
Reaction score
2,488
Ndugu zangu kila nikiangali mbona sioni faida yeyote ya kuoa wal hasaa heyote ya kutokuoa.

Watu wa umri wangu waliooa na mimi ambae sijaoa hatuna utofauti wowote sana sana naona kama nimewazidi hivi, au mimi ndio sielewi.

Kama mbususu napata kama wanavyopata wao tena mie sipangiwi mi ndio napanga, kula, kunywa ,kuvaa vyote napata kama wanaopata kwenelye ndoa sasa faida ya kuoa iko wapi?
 
Ndoa ni tendo linalopelekea uwepo wa familia na familia ndio chanzo Cha kwanza kabisa Cha jamii Bora bila ndoa hakuna familia Bora na bila familia Bora hakuna jamii iliyo Bora kama Mungu amekujalia nguvu na uwezo ni vema ukaoa ili ushiriki kujenga jamii Bora 🙏🙏🙏🙏
 
Ndoa ni tendo linalopelekea uwepo wa familia na familia ndio chanzo Cha kwanza kabisa Cha jamii Bora bila ndoa hakuna familia Bora na bila familia Bora hakuna jamii iliyo Bora kama Mungu amekujalia nguvu na uwezo ni vema ukaoa ili ushiriki kujenga jamii Bora 🙏🙏🙏🙏
Sasa kama tayari nina maadili mazuri naoa ili iweje?
 
Back
Top Bottom