Ukweli mtupu huu mkuu 🤣Mtu akifa ndiyo mwisho wake.Haendi popote kama Imani vinavyotuaminisha zaidi ya kuoza na kuliwa na wadudu na zile sehemu ngumu kama mifupa kuoza taratibu Hadi kugeuka kuwa udongo
Hizo ni nadharia tu zinazotokana na imani,hakuna mtu gapa duniani anaweza ku prove uwepo wa roho au nafsi.Ndani ya mwili wa mwanadam kuna roho na nafsi. Hizo zinaendelea kuwepo milele na milele.
Kuota ndoto sio ushahidi wa kuwepo kwa rohoMfano mwepesi unaoweza kukuelewesha juu ya uwepo wa nafsi na roho ni pale unapolala, mwili wako unakuwa umechoka na unatulia kupumzika. Huu ndio unaouona kwa macho sehemu inayohitaji usingizi, chakula, na pumziko.
Wakati mwili unalala, nafsi yako bado inafanya kazi. Ndipo mtu anaweza kuota anatembea, anaongea, au yuko sehemu fulani, ilhali mwili wake bado uko kitandani.
🤣🤣Roho uwe nayo wewe ila uwepo wake una simuliwa tu 😅
kuzikwaaaSwali hili limekuwa ni kitendawili kwa wanadamu wote: Mtu akifa, anaenda wapi?
Maandiko ya kale ya Henoko 22:18–26 yanatupa picha nzito ya safari ya roho baada ya kifo. Hebu tusome kwa pamoja:
18 Kutoka hapo nikaenda mahali pengine, mlima wa mwamba mgumu.
19 Na ndani yake palikuwa na mashimo manne, makubwa na mapana na laini sana. Mashimo hayo yalikuwa laini mno, makubwa na yenye giza kuonekana.
20 Ndipo Rafael, mmoja wa malaika watakatifu aliyekuwa pamoja nami, akaniambia:
“Mashimo haya yameumbwa kwa kusudi hili, kwamba roho za nafsi za waliokufa zikusanyike humu, naam, kwamba roho zote za watoto wa wanadamu zikusanyike hapa. Na mashimo haya yamefanywa kuyapokea hadi siku ya hukumu yao na muda wao uliowekwa, mpaka hukumu kuu juu yao itakapofika.”
21 Nikaona roho ya mtu aliyekufa ikileta malalamiko, na sauti yake ikaenda mbinguni ikiwasilisha kesi. Nikamuuliza Rafael malaika aliyekuwa pamoja nami:
“Hii roho inayowasilisha malalamiko, ni ya nani? Ni nani ambaye sauti yake inapaza kesi mbele ya mbingu?”
22 Akanijibu akasema:
“Hii ni roho iliyotoka kwa Habili, ambaye aliuawa na ndugu yake Kaini. Yeye anawasilisha kesi dhidi yake hadi uzao wake utakapofutwa kabisa juu ya uso wa dunia, na uzao wake uondolewe kati ya uzao wa wanadamu.”
23 Kisha nikauliza kuhusu hilo, na kuhusu mashimo yale yote:
“Kwa nini shimo moja limetengwa na lingine?”
24 Akanijibu akasema:
“Mashimo haya matatu yamefanywa ili roho za waliokufa zitenganishwe. Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya roho za wenye haki, ambamo kuna chemchemi yenye maji angavu.
Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya wenye dhambi wanapokufa na kuzikwa duniani, na hukumu haijatendeka juu yao wakati wa maisha yao.
25 Hapa roho zao zitawekwa kando katika mateso makubwa mpaka siku kuu ya hukumu na adhabu na mateso ya wale wanaolaani milele na malipo ya roho zao. Hapa watafungwa milele.
Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya roho za wale wanaowasilisha malalamiko, wanaotoa ushuhuda kuhusu maangamizi yao, walipouawa katika siku za wenye dhambi.
26 Mgawanyiko pia umewekwa kwa ajili ya roho za watu ambao hawakuwa wenye haki bali ni wenye dhambi, waliokamilika katika makosa. Hao watakuwa marafiki wa wakosaji, lakini roho zao hazitauawa siku ya hukumu, wala hazitafufuliwa kutoka humo.”
Ufunuo wa Safari ya Roho Baada ya Kifo
Kulingana na Henoko, malaika Rafael alimwonyesha kwamba baada ya kifo, roho za wanadamu haziishi ovyo, bali zinakusanywa na kutenganishwa kulingana na matendo yao. Kuna mashimo manne makuu:
(a) Shimo la Wenye Haki
Roho za wenye haki hupumzika kwenye sehemu yenye chemchemi ya maji angavu.
Ni alama ya faraja, pumziko na tumaini la ufufuo wa uzima.
Yesu alisema: “Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.” (Yohana 17:3).
(b) Shimo la Wenye Dhambi Wasiohukumiwa Duniani
Hawa ni wale waliotenda maovu lakini hawakupata hukumu wakati wa maisha yao.
Roho zao zinawekwa kwenye mateso makubwa, zikitazamia hukumu ya mwisho.
Waebrania 9:27: “Na kama vile wanadamu wamewekwa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.”
(c) Shimo la Waliouliwa kwa Dhuluma
Roho hizi zinatoa malalamiko na ushuhuda juu ya mateso yao.
Mfano ni Habili, ambaye damu yake ilililia haki mbele za Mungu (Mwanzo 4:10).
"Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi."
Hii inatufundisha kuwa Mungu husikia kilio cha wanyonge.
(d) Shimo la Wenye Dhambi Waliojaa Makosa
Hawa walikamilika katika uovu, waliishi maisha ya uasi wa kudumu.
Roho zao hazitafufuliwa tena, bali zitafungwa milele kwenye giza lisilo na tumaini.
Ufunuo 20:15: “Na mtu yeyote asiyepatikana ameandikwa katika kitabu cha uzima alitupwa katika ziwa la moto.”
Mafunzo Makuu kwa Maisha Yetu
1. Kifo si mwisho, bali ni mwanzo wa safari ya milele.
2. Mungu ni wa haki, kila dhuluma huangaliwa na hukumu yake huja.
3. Wenye haki na waovu hutenganishwa.
4. Yesu Kristo ndiye tumaini la uzima wa milele. Yohana 11:25: “Mimi ndimi huo ufufuo na uzima; yeye aniaminiye mimi ajapokufa ataishi.”
Kwa hiyo, mtu akifa haendi mahali pamoja kwa wote. Kuna mgawanyiko:
Wenye haki → pumziko na faraja.
Wenye dhambi → mateso na giza la milele.
Athibitishe uwepo wa roho Ili tumueleweHizo elimu za Biology, physics n.k zinaundwa kwa nadharia zinazothibitishika na hivyo kuwa na mantiki.
Hizo elimu nyingine ni za kiungaunga, uongo na vitisho..
Mfano; Tukiuliza ututhibitishie uwepo wa nafasi na roho, utaanza kujiumauma na kuleta ubishi.
Mkuu acha za hovyo😀😀😀😀.Kwenye Imani yetu,tukifa tunaenda peponi na kugawiwa mademu wenye macho makubwa 72 wote bikra.Pembeni ya vijito tunajilaza huku tunabugia mvinyo bardiiiii na kusikiliza kaswida mwororooo!
Hilo swali lingekuwa na majibu ya wazi,ccm wangeuteka ulimwengu wote na kujigeuza watawala na wanyonyaji waulimwengu.Kama tu tanzania wanaona ni ya jamii ya wachache na wanafanya watakacho,ilhali hawana uhakika wa kuishi milele!Swali hili limekuwa ni kitendawili kwa wanadamu wote: Mtu akifa, anaenda wapi?
Maandiko ya kale ya Henoko 22:18–26 yanatupa picha nzito ya safari ya roho baada ya kifo. Hebu tusome kwa pamoja:
18 Kutoka hapo nikaenda mahali pengine, mlima wa mwamba mgumu.
19 Na ndani yake palikuwa na mashimo manne, makubwa na mapana na laini sana. Mashimo hayo yalikuwa laini mno, makubwa na yenye giza kuonekana.
20 Ndipo Rafael, mmoja wa malaika watakatifu aliyekuwa pamoja nami, akaniambia:
“Mashimo haya yameumbwa kwa kusudi hili, kwamba roho za nafsi za waliokufa zikusanyike humu, naam, kwamba roho zote za watoto wa wanadamu zikusanyike hapa. Na mashimo haya yamefanywa kuyapokea hadi siku ya hukumu yao na muda wao uliowekwa, mpaka hukumu kuu juu yao itakapofika.”
21 Nikaona roho ya mtu aliyekufa ikileta malalamiko, na sauti yake ikaenda mbinguni ikiwasilisha kesi. Nikamuuliza Rafael malaika aliyekuwa pamoja nami:
“Hii roho inayowasilisha malalamiko, ni ya nani? Ni nani ambaye sauti yake inapaza kesi mbele ya mbingu?”
22 Akanijibu akasema:
“Hii ni roho iliyotoka kwa Habili, ambaye aliuawa na ndugu yake Kaini. Yeye anawasilisha kesi dhidi yake hadi uzao wake utakapofutwa kabisa juu ya uso wa dunia, na uzao wake uondolewe kati ya uzao wa wanadamu.”
23 Kisha nikauliza kuhusu hilo, na kuhusu mashimo yale yote:
“Kwa nini shimo moja limetengwa na lingine?”
24 Akanijibu akasema:
“Mashimo haya matatu yamefanywa ili roho za waliokufa zitenganishwe. Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya roho za wenye haki, ambamo kuna chemchemi yenye maji angavu.
Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya wenye dhambi wanapokufa na kuzikwa duniani, na hukumu haijatendeka juu yao wakati wa maisha yao.
25 Hapa roho zao zitawekwa kando katika mateso makubwa mpaka siku kuu ya hukumu na adhabu na mateso ya wale wanaolaani milele na malipo ya roho zao. Hapa watafungwa milele.
Na mgawanyiko umewekwa kwa ajili ya roho za wale wanaowasilisha malalamiko, wanaotoa ushuhuda kuhusu maangamizi yao, walipouawa katika siku za wenye dhambi.
26 Mgawanyiko pia umewekwa kwa ajili ya roho za watu ambao hawakuwa wenye haki bali ni wenye dhambi, waliokamilika katika makosa. Hao watakuwa marafiki wa wakosaji, lakini roho zao hazitauawa siku ya hukumu, wala hazitafufuliwa kutoka humo.”
Ufunuo wa Safari ya Roho Baada ya Kifo
Kulingana na Henoko, malaika Rafael alimwonyesha kwamba baada ya kifo, roho za wanadamu haziishi ovyo, bali zinakusanywa na kutenganishwa kulingana na matendo yao. Kuna mashimo manne makuu:
(a) Shimo la Wenye Haki
Roho za wenye haki hupumzika kwenye sehemu yenye chemchemi ya maji angavu.
Ni alama ya faraja, pumziko na tumaini la ufufuo wa uzima.
Yesu alisema: “Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.” (Yohana 17:3).
(b) Shimo la Wenye Dhambi Wasiohukumiwa Duniani
Hawa ni wale waliotenda maovu lakini hawakupata hukumu wakati wa maisha yao.
Roho zao zinawekwa kwenye mateso makubwa, zikitazamia hukumu ya mwisho.
Waebrania 9:27: “Na kama vile wanadamu wamewekwa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.”
(c) Shimo la Waliouliwa kwa Dhuluma
Roho hizi zinatoa malalamiko na ushuhuda juu ya mateso yao.
Mfano ni Habili, ambaye damu yake ilililia haki mbele za Mungu (Mwanzo 4:10).
"Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi."
Hii inatufundisha kuwa Mungu husikia kilio cha wanyonge.
(d) Shimo la Wenye Dhambi Waliojaa Makosa
Hawa walikamilika katika uovu, waliishi maisha ya uasi wa kudumu.
Roho zao hazitafufuliwa tena, bali zitafungwa milele kwenye giza lisilo na tumaini.
Ufunuo 20:15: “Na mtu yeyote asiyepatikana ameandikwa katika kitabu cha uzima alitupwa katika ziwa la moto.”
Mafunzo Makuu kwa Maisha Yetu
1. Kifo si mwisho, bali ni mwanzo wa safari ya milele.
2. Mungu ni wa haki, kila dhuluma huangaliwa na hukumu yake huja.
3. Wenye haki na waovu hutenganishwa.⁸
4. Yesu Kristo ndiye tumaini la uzima wa milele. Yohana 11:25: “Mimi ndimi huo ufufuo na uzima; yeye aniaminiye mimi ajapokufa ataishi.”
Kwa hiyo, mtu akifa haendi mahali pamoja kwa wote. Kuna mgawanyiko:
Wenye haki → pumziko na faraja.
Wenye dhambi → mateso na giza la milele.
Umeandika ukweli mchungu wengi hawataki kuusikiaBinadamu tunapenda kujipa umuhimu sana mbele ya viumbe wengine.
Wewe na kuku mnashare vitu vingi sana in common. Tofauti ni za kimaumbile tu, ila wote tukifa, tuna-decompose kwa hatua zilezile.
Acha vitisho mkuu visivyo na msingi! Tenda wema nenda zako, malipo Yako hapa hapa Duniani. Kama haujapata malipo hapa Duniani basi usitarajie kwamba Kuna malipo huko kwenye mawingu.Na kabla ya kuzaliwa ulikuwepo wapi?
Na kwanini sisi na wanyama tonatofautiana ufahamu?
Na kwanini ufe kama vile ulivyozaliwa bila ya utashi wako? Unajikuta tu umezaliwa.
Na kwanini wengine wapitie mateso hapa duniani na angalia wengine wanaishi vizuri?
Kama vile ilivyokuwa huwezi kujibu maswali hayo basi aliyekuumba alishakwambia kuwa ukifa unakwenda wapi na utalipwa kwa Yale uliyotatenda.
Kila hatua utakayo idiriki katika maisha yako iwe njema au iwe mbaya wewe ndio utakaye i experience.
Jiandae usiishi kwa mazoea hukuumbwa Bure Bure ufanye yako vyovyote ujiskiavyo alafu useme hakuna malipo.
🤣🤣🤣 Labda pembeni ya figoMkuu hii roho na nafsi Katika mwili zinakaa sehemu gani?
🚮Ujivuni wala siushujaa nisamehe 🙏🏽🙏🏽 maana unakoelekea sipo
Labda tuwasikilize watusimulie uwepo wa roho ndani yangu ambayo wao wanaijua ila mimi siijui na ninayo mimiMtu Akifa amekufa tu bwashee haendi popote zaidi ya kuzikwa na kuoza 🤣
we ukipelekwa amazon tamuongoza mnyama gani?Yupi anawaongoza wenzake hapo? Kati ya binadamu na et al.
serious mkuu, statement kama hiyo huwa inamaanisha nini?Allah akuongoze 🤲🏽🤲🏽
Amazon kuna mnyama ananizidi akili? Kama hamna basi naweza kuwaongoza wotewe ukipelekwa amazon tamuongoza mnyama gani?
sawa mkuu 😁 , unamaanisha nini kusema "kuwaongoza" ?Amazon kuna mnyama ananizidi akili? Kama hamna basi naweza kuwaongoza wote
Kumbe ulikuwa una reply comment zangu bila kujua namaanisha nini?🤔🤔sawa mkuu 😁 , unamaanisha nini kusema "kuwaongoza" ?
Acha vitisho mkuu visivyo na msingi! Tenda wema nenda zako, malipo Yako hapa hapa Duniani. Kama haujapata malipo hapa Duniani basi usitarajie kwamba Kuna malipo huko kwenye mawingu.
yeahKumbe ulikuwa una reply comment zangu bila kujua namaanisha nini?🤔🤔