Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
HAPO HAKUNA MAPENZI! WOTE WAZINZI TU! HACHA MTOTO AMKOROGE KAMAI-:washing: ...BRO AMESHINDWA KULEA WA KWAKE ANATAKA KUKUNJA WA MWENZAKE! MBONA WA KWAKE NAO WANASEMWA VIBAYA MTAANI??
Mkuu
Pole sana.
Mapenzi yanatakiwa yawe pande zote mbili, ila naona kunadalili za mapenzi ya wewe tu kumpenda huyo mdada
Isitoshe inaonekana huyo mdada sio msikivu, na ana dalili zote za kukudharau.
Nahisi pia huyo jamaa aliyemzalisha bado anapendwa na huyo mdada kiasi cha kwamba usije kushangaa ukakuta wanatoka gesti wameshikana viuno au amekuletea mimba ya nje akadai ya kwako.
Chukua hatua kabla ya hatari,
Kama mpo kwa ajiri ya play games na una muda wa kufanya nae hivyo sawa, lakin hafai kabisa kuwa mkeo