Mtoto wa My Girlfriend wangu hajatulia

HAPO HAKUNA MAPENZI! WOTE WAZINZI TU! HACHA MTOTO AMKOROGE KAMAI-:washing: ...BRO AMESHINDWA KULEA WA KWAKE ANATAKA KUKUNJA WA MWENZAKE! MBONA WA KWAKE NAO WANASEMWA VIBAYA MTAANI??

Mkuu
Pole sana.
Mapenzi yanatakiwa yawe pande zote mbili
, ila naona kunadalili za mapenzi ya wewe tu kumpenda huyo mdada
Isitoshe inaonekana huyo mdada sio msikivu, na ana dalili zote za kukudharau.
Nahisi pia huyo jamaa aliyemzalisha bado anapendwa na huyo mdada kiasi cha kwamba usije kushangaa ukakuta wanatoka gesti wameshikana viuno au amekuletea mimba ya nje akadai ya kwako.
Chukua hatua kabla ya hatari,
Kama mpo kwa ajiri ya play games na una muda wa kufanya nae hivyo sawa, lakin hafai kabisa kuwa mkeo
 
Ujanja wote huo mtoto wa kwanza umeanziwa na mwenzio. Nunua mpya achana na "second hand" zinasumbua sana.
Hapa nimekukubali mzee!Jamaa kazoea za Kichina labda,hatuna cha kukushauri mzee komaa hadi ukome!!
 
Wasiwasi wangu ni kuwa hata wewe umechangia kumfanya huyo mtoto awe hakutulia. Unathubutuje kunywa konyagi/ulevi mbele ya watoto? Unafanya hivyo hivyo mbele ya watoto wako? Ikiwa ndio, usishangae kuona hata hao wako wataonja ulevi mbele yako, au watauiba. Jaribu kuwa mfano mwema kwa watoto wako na huyo wa nyumba ndogo.

Hili linahitaji mjadala wa pekee, unathubutuje kuwa na nyumba ndogo wakati una familia yako? Kipi unapata kwa nyumba ndogo ambacho hupati kwa mama watoto wako? Utulivu, raha, nini hasa? Chochote kiwacho, isipokuwa ucheche, unaweza kukipata kwako kwa kuandaa mazingira ya kupatikana. Anyway, hili ni suala lako binafsi na siwezi kukuhukumu.
 
tupatie na tabia za mtoto wako basi mana huyo wa mwenzio unamdiss sana./////////

MTOTO NO1:ana miaka 17 lakini kashawatia mimba wasichana wa3 ambao wazazi wao wamenisusia niko nao nyumbani,gharama za kuiendesha familia imekuwa kubwa kutokana na tabia mbaya ya mwanangu huyu

MTOTO NO2:ana miaka 12 lakini ni mbeya ajab u kuna cku moja nilibugi nikaenda naye nyumba ndogo nusura NDOA YANGU IVUNJIKE,lakini sasa anaanza kubadilika kutokana na mishemishe zangu

MTOTO NO3:Bado kinder ananyonya
 
MTOTO NO1:ana miaka 17 lakini kashawatia mimba wasichana wa3 ambao wazazi wao wamenisusia niko nao nyumbani,gharama za kuiendesha familia imekuwa kubwa kutokana na tabia mbaya ya mwanangu huyu

MTOTO NO2:ana miaka 12 lakini ni mbeya ajab u kuna cku moja nilibugi nikaenda naye nyumba ndogo nusura NDOA YANGU IVUNJIKE,lakini sasa anaanza kubadilika kutokana na mishemishe zangu

MTOTO NO3:Bado kinder ananyonya
Hahahaahhh washawasha we kiboko.......75%ya wanaume wana nyumba ndogo ila wanakukalia kooni kisa washawasha au....
 
Hahahaha Pole sana mkuu...nimesoma hiki kisa nikaweka imagination vile hili kinda lilikuwa linapiga fundo konyaji na vurugu za hapa na pale..hahaha, hapa mkuu ni vile alivyolelewa, mama yake hajawahi kumkemea hivyo anaona sawa tuu..ila iko siku huyu mama ataalikwa mahali aende na hilo kinda lake halaf liwakosee adabu wakubwa litalambwa makofi akiwa anaangalia hataamin macho yake na aibu juu. amfundishe adabu bana...ni aibu kwake akiwa na wageni kwamba mtoto halelewi katika maadali mazuri na hana adabu kwa wakubwa....wee kaa mkao wa kuona vile GF wako atakavyoaibika siku moja.mtoto umliavye ndivyo akuavyo

Habari zenu za usiku huu wanajamvi,
Ni hivi mimi nina My girlfriend wangu ambaye teyari ana mtoto na jamaa mwengine,ila huyu mtoto wake hajatulia kwa kweli na huyu mama yake simuoni kuchukua hatua zozote kuhusu hilo anamdekeza sana bana mie inaniuma lakini nikumuambia anasema mie silipendi kinda lake hilo,
Siku moja nilikwenda na rafiki yangu kumtembelea yaani ilikuwa ni aibu mara kamsachi huyo rafiki yangu,mara kutoka nje kaanza kurusha mawe ndani,mara kachukua chupa ya konyagi tuliyokuwa tunakunywa na kupiga fundo moja,yaani ni maudhi kwa kweli kwenda kumtembelea na hata anapotaka kuja kunitembelea akiniambia anakuja na hilo kinda lake binafsi nakosa raha najua lazima atanitia aibu/hasara ya kuvunja vitu,
Kuna cku uzalendo ulinishinda nikamuambia kuwa huyu mtoto wako kwa kweli mie siikubali tabia yake yaani umemlea kama yai unaogopa lisipasuke,basi adhabu niliyopewa ni kunyimwa uroda miezi mitatu.
Naomba ushauri wenu wana jamvi nimfanyeje mama yake ili amrekebishe huyu mtoto wake?
 
Wasiwasi wangu ni kuwa hata wewe umechangia kumfanya huyo mtoto awe hakutulia. Unathubutuje kunywa konyagi/ulevi mbele ya watoto? Unafanya hivyo hivyo mbele ya watoto wako? Ikiwa ndio, usishangae kuona hata hao wako wataonja ulevi mbele yako, au watauiba. Jaribu kuwa mfano mwema kwa watoto wako na huyo wa nyumba ndogo.

Hili linahitaji mjadala wa pekee, unathubutuje kuwa na nyumba ndogo wakati una familia yako? Kipi unapata kwa nyumba ndogo ambacho hupati kwa mama watoto wako? Utulivu, raha, nini hasa? Chochote kiwacho, isipokuwa ucheche, unaweza kukipata kwako kwa kuandaa mazingira ya kupatikana. Anyway, hili ni suala lako binafsi na siwezi kukuhukumu.
Kwanza kabisa nashukuru kwa majibu yako,pili kwa huyu bibie nilimsilimisha kwa imani kanipita hata mie,kwahiyo kuna vitu nashindwa kumuomba kwa kweli kwahiyo suluhisho nikutoka nje tu
 
MTOTO NO1:ana miaka 17 lakini kashawatia mimba wasichana wa3 ambao wazazi wao wamenisusia niko nao nyumbani,gharama za kuiendesha familia imekuwa kubwa kutokana na tabia mbaya ya mwanangu huyu

MTOTO NO2:ana miaka 12 lakini ni mbeya ajab u kuna cku moja nilibugi nikaenda naye nyumba ndogo nusura NDOA YANGU IVUNJIKE,lakini sasa anaanza kubadilika kutokana na mishemishe zangu

MTOTO NO3:Bado kinder ananyonya

Kumbe na wewe una toto tundu sassa wa mwenzako iweje umwone amezidi? wewe ni kutafuta mbinu ya kumbadili tabia au mshauri mama yake mumpeleke boarding school huwa zinasaidia kunyoosha watoto watukutu hasa za mission
 
Kumbe na wewe una toto tundu sassa wa mwenzako iweje umwone amezidi? wewe ni kutafuta mbinu ya kumbadili tabia au mshauri mama yake mumpeleke boarding school huwa zinasaidia kunyoosha watoto watukutu hasa za mission
hamna shaka nitafanya hivyo dada yangu
 
Habari zenu za usiku huu wanajamvi,
Ni hivi mimi nina My girlfriend wangu ambaye teyari ana mtoto na jamaa mwengine,ila huyu mtoto wake hajatulia kwa kweli na huyu mama yake simuoni kuchukua hatua zozote kuhusu hilo anamdekeza sana bana mie inaniuma lakini nikumuambia anasema mie silipendi kinda lake hilo,
Siku moja nilikwenda na rafiki yangu kumtembelea yaani ilikuwa ni aibu mara kamsachi huyo rafiki yangu,mara kutoka nje kaanza kurusha mawe ndani,mara kachukua chupa ya konyagi tuliyokuwa tunakunywa na kupiga fundo moja,yaani ni maudhi kwa kweli kwenda kumtembelea na hata anapotaka kuja kunitembelea akiniambia anakuja na hilo kinda lake binafsi nakosa raha najua lazima atanitia aibu/hasara ya kuvunja vitu,
Kuna cku uzalendo ulinishinda nikamuambia kuwa huyu mtoto wako kwa kweli mie siikubali tabia yake yaani umemlea kama yai unaogopa lisipasuke,basi adhabu niliyopewa ni kunyimwa uroda miezi mitatu.
Naomba ushauri wenu wana jamvi nimfanyeje mama yake ili amrekebishe huyu mtoto wake?

Mweleze ukweli na ikibidi mtie BAKORA za ukweli.. Ukikunyima URODA miezi mitatu, wewe mnyime miezi saba.
 
Kwa kuwa ni mtoto wa mwenzio ndio maana unaona mapungufu mengi kuliko wa kwako,hata hivyo huna haja ya kusumbuka sana na huyo mtoto kwani unaweza kutokutana nae kwa kutokwenda kwa huyo nyumba ndogo wako.
 
hahahahahaaa hii ni nyumba ndogo yangu sio my wife wangu wa kunyumba

Kaka hiyo hatari, unacheza na moto. My waifu wako anajua hayo? Au ndo umemuacha kijijini na unachakachuliwa mujini? Acha hizo br, mlete my waifu wako huku naye afaidi. Maana unaposema anakuja kwako, na my waifu hayupo? Nakushauri nenda kwa babu unywe na ukishakunywa hurudii tena maana kwa babu no dublicate.
 
Mshamba tu wewe, wenzio wameshazalisha halafu wewe unachukuwa scraper, hebu ngoja nihame jukwaa huku ni kichefu kichefu tu.
 
Hili Kinda la kike au la Kiume Mkuu,
Kama Ka Kike Tambaa nako na bit kama vp
 
Kaka kama uko Dar jitahidi umnunulie pikipiki harafu uwe unamtuma mijini mara kwa mara au baiskeli utakuwa umemaliza tatizo kirahisi. Nakutania kaka usije ukaua, hivyo vitu vya motto kuna watu huwa wanafanya utani kuwa ukiwa na mtoto wa kufikia ambaye humpendi mnunulie piki piki Dar
 
Kaka kama uko Dar jitahidi umnunulie pikipiki harafu uwe unamtuma mijini mara kwa mara au baiskeli utakuwa umemaliza tatizo kirahisi. Nakutania kaka usije ukaua, hivyo vitu vya motto kuna watu huwa wanafanya utani kuwa ukiwa na mtoto wa kufikia ambaye humpendi mnunulie piki piki Dar
Ili agongwe ama? Dah! Hili bonge la wazo,ndugu Washawasha chukua ushauri huu
 
niendelee kustahamili japo naumia?
Washawasha kama una mpango wa kuendelea na huyo dada inabidi uchukue hatua kurekebisha hali hii.Kama mtoto sio chini ya miaka 5 mpate akiwa pekeyake na kumuadhibu bila kumuumiza na umwambie akimwambia mama utamuadhibu tena.Kuna jirani yangu alimuoa mwanamke mwenye mtoto wa kiume wa miaka 8 nae alisumbua sana mpaka mbinu hii ilipotumika mtoto kanyooka.
 
Back
Top Bottom