Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
1.Bibie mie silei mtoto wa mtu kwa maana baba wa mtoto yupo na wanajuana wenyewe huko
2.Nina pango special la kudemulia kwahiyo mke wangu hakujui huko napokutana na huyu binti mwingine
Katika watu waliokosa akili wewe ni mmoja wapo.
Yaani kabisa unajitapa eti nina pango spesho una akili sawa kweli wewe?? Kama hukuwa tayari kuoa ungesubiri kwanza sio kumtesa mama wa watu .
Acha upuuzi wewe umeshakuwa mtu mzima allaaahhh