Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
- Thread starter
- #21
St Frasis Girls MbeyaShule gani anasoma huyo Mtoto wa Msukuma?
St Frasis Girls MbeyaShule gani anasoma huyo Mtoto wa Msukuma?
tena PhD yake kaipata nje ya nchiSiku hizi anaitwa Dr Msukuma Kasheku
Ya form2Mbona huwa making hayaandikwi imekuwaje Hilo hayo matokeo kuandikwa majina
Anasoma shule gani kwanzaWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Kasoma wapiWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Kwa kweli hongera yakePongezi nyingi kwake, aendelee na jitihada hiyo hiyo hadi chuo kikuu.
Huyo ndio kiongozi wetu bora wa badae.
anafaa kuigwa na watoto wengine.
ulitaka apate zero ndio uone ajabu?Mbona hamna cha ajabu hapo
Hii ni shule ya kata gani?Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Mnashangaa Nini wakati hapo wote wamepata A zoteWakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Mbona hao wote wa5 Wana A tupu, wote pointing 7..Wakati mnapigania elimu bure, nyie mnajua jinsi ya kuwekeza kwenye elimu bora. Namba 5
View attachment 2083760
Hakuna aliye shangaa bali anapewa pongezi kwa kufanya uwekezaji kwenye elimu boraMnashangaa Nini wakati hapo wote wamepata A zote
st fransis girls mbeya , wote wana 1.7 na wote wana A katika masomo yoteMbona hao wote wa5 Wana A tupu, wote pointing 7..
NI shule gani hiyo?
Kata ya Mabatini kama sijakosea Mbeya Mjini opposite na Sangu secHii ni shule ya kata gani?
Kwanini? hao wengine sijaona mtu akiwapongeza wakati wote wanastahili hizo pongezi.Hakuna aliye shangaa bali anapewa pongezi kwa kufanya uwekezaji kwenye elimu bora
Mmmmh hili hapana.Bob wangwe anadai kuwa hata hizo shule za serikali zianze kutengwa kijinsia inaweza kupush elimu, shule nyingi za serikali zenye ufaulu hafifu ni za mchanganyiko
nimesoma shule za mchanganyiko, wengi wanachelewa kupevuka na kujua nini kilichowapeleka kule, wengi wanawaza wakimaliza wajiunge na jeshi tuu.Halafu wengi wao wanapoteza muda kufanya mambo ya kuonekana wao ni wajanja kwa wanawake,nawazungumzia vijana wa kiumeMmmmh hili hapana.