Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
Tatizo kubwa ni kuwa viongozi wetu wanafikiria kutoa hotuba kwa ukali huku umeshupaza shingo na kutoa vitisho kwa wananchi ndio kutasaidia kutokomeza haya matukio (MF. waziri lugola na kamanda wa operation wa polisi). Badala ya kufanya uchunguzi/utafiti wa kina na kujua nini chanzo cha hili tatizo, pia kuwa karibu na wananchi ili kupata habari
Na ndio maana zoezi la Kibiti lakafanikiwa kwa 100% maana yangu... Ilikua ni part ya kimya kimya hakushirikishwa polisi bali walikua JW peke yao.Ila sisi nao idara zetu za usalama zinafeli sana yaani unapeleka kikosi kazi kwa mbwembwe? Unampa taarifa muhalifu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu bado watu wanawasujudu na kuwasifia....kwanini wasizidi kuuaHao wanaoua ndio wale wenye maghorofa hapo karikaoo huku wanatembea na ndara zilizotoboka,!
Wakinga na wabena ni wapumbavu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana zoezi la Kibiti lakafanikiwa kwa 100% maana yangu... Ilikua ni part ya kimya kimya hakushirikishwa polisi bali walikua JW peke yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
rudia kusoma nilichoandika acha nyege mshindoUlitaka watoe hotuba kwa kucheka kwenye jambo kama hili?
Umeambiwa uchunguzi hauendelei?
Tatizo la Njombe,C la kimwiliNJOMBE WAMEUA MTOTO TENA.
Kuna taarifa zinasambaa kwamba kuna mtoto ameuwawa tena kijiji cha matembwe Jimbo la Lupembe na timu ya ulinzi na usalama ya Mkoa imehamia huko usiku wa Leo kwa ucgunguzi
Kwa taarifa zaidi nitawajuza
Updates
Huyu mtoto anaitwa Rachel, Ni mtoto wa miaka nane.
Alipotea majira ya mchana, walimtafuta Bila mafanikio mpaka ilipofika jioni waliukuta mwili wake msituni akiwa ameuwawa na kutolewa macho na sehemu za siri.
my take
Hawa wauaji ni watu majasiri sana, pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya ndani kuwepo hapa siku za hivi karibuni na kukemea kwa nguvu na kuahidi watakiona na mtema kuni watakaokamatwa Bado Bila uoga wanaendelea kuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila sisi nao idara zetu za usalama zinafeli sana yaani unapeleka kikosi kazi kwa mbwembwe? Unampa taarifa muhalifu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatia huruma sana kuona watoto wanauwawa kirahisi hivyo!polisi watumie weledi kuliko ubabe ili wawanase wahusika!Uchaguzi umekaribia.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mkuu tusiwalaumu viongozi wa dini, huu ushenzi tunao kabla hata waarabu hawajaja afrika, kabla wazungu hawajakaa kule Berlin mwaka 1884, ndio asili yetu. Ni unyama unaotutambulisha.Hapo ndio Kakobe na Gwajima wanahitajika siyo kukimbilia kula sambusa tu!
Matako yako. Nani kakudanganya!? Kama ulikuwepo vile. ***** SanaNa ndio maana zoezi la Kibiti lakafanikiwa kwa 100% maana yangu... Ilikua ni part ya kimya kimya hakushirikishwa polisi bali walikua JW peke yao.
Sent using Jamii Forums mobile app