Mtoto wa miaka nane auawa Njombe

Mtoto wa miaka nane auawa Njombe

Rose Mayemba

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2012
Posts
721
Reaction score
1,017
NJOMBE WAMEUA MTOTO TENA.


Kuna taarifa zinasambaa kwamba kuna mtoto ameuawa tena kijiji cha Matembwe Jimbo la Lupembe na timu ya ulinzi na usalama ya Mkoa imehamia huko usiku wa Leo kwa uchunguzi

Kwa taarifa zaidi nitawajuza

Updates
Huyu mtoto anaitwa Rachel, Ni mtoto wa miaka nane.

Alipotea majira ya mchana, walimtafuta Bila mafanikio mpaka ilipofika jioni waliukuta mwili wake msituni akiwa ameuawa na kutolewa macho na sehemu za siri.

my take
Hawa wauaji ni watu majasiri sana, pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya ndani kuwepo hapa siku za hivi karibuni na kukemea kwa nguvu na kuahidi watakiona na mtema kuni watakaokamatwa Bado Bila uoga wanaendelea kuua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila sisi nao idara zetu za usalama zinafeli sana yaani unapeleka kikosi kazi kwa mbwembwe? Unampa taarifa muhalifu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani na bado watoto wanazidi kuuliwa..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] Yani inauma sana.. Watu hawa wakishikwa Wanyongweeee tuu mamaee zaooo na me ningekuwa rais nasaini wanyongwee hadharanii mbwa haoo... Yani daah balaa gani hilii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NJOMBE WAMEUA MTOTO TENA.


Kuna taarifa zinasambaa kwamba kuna mtoto ameuwawa tena kijiji cha matembwe Jimbo la Lupembe na timu ya ulinzi na usalama ya Mkoa imehamia huko usiku wa Leo kwa ucgunguzi

Kwa taarifa zaidi nitawajuza

Updates
Huyu mtoto anaitwa Rachel, Ni mtoto wa miaka nane.
Alipotea majira ya mchana, walimtafuta Bila mafanikio mpaka ilipofika jioni waliukuta mwili wake msituni akiwa ameuwawa na kutolewa macho na sehemu za siri.

my take
Hawa wauaji ni watu majasiri sana, pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya ndani kuwepo hapa siku za hivi karibuni na kukemea kwa nguvu na kuahidi watakiona na mtema kuni watakaokamatwa Bado Bila uoga wanaendelea kuua.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wa Africa hatuthamini uhai wa binaadamu, majuzu tu watoto 6 waliuawa kwa mazingira kama hayo ila hamna reaction kubwa hata kutoka serikalini au kushutushwa kwa aina yoyote Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo serial killer atasumbua sana.
Mungu wanusuru na ukatili huu watoto popote pale walipo.
 
NJOMBE WAMEUA MTOTO TENA.


Kuna taarifa zinasambaa kwamba kuna mtoto ameuwawa tena kijiji cha matembwe Jimbo la Lupembe na timu ya ulinzi na usalama ya Mkoa imehamia huko usiku wa Leo kwa ucgunguzi

Kwa taarifa zaidi nitawajuza

Updates
Huyu mtoto anaitwa Rachel, Ni mtoto wa miaka nane.
Alipotea majira ya mchana, walimtafuta Bila mafanikio mpaka ilipofika jioni waliukuta mwili wake msituni akiwa ameuwawa na kutolewa macho na sehemu za siri.

my take
Hawa wauaji ni watu majasiri sana, pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya ndani kuwepo hapa siku za hivi karibuni na kukemea kwa nguvu na kuahidi watakiona na mtema kuni watakaokamatwa Bado Bila uoga wanaendelea kuua.



Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yanaonyesha udhaifu wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, vimejikita zaidi katika kupambana na wanasiasa wa upinzani na kusahau jukumu lao la msingi, kulinda raia na mali zao. Kwa ujumla ni kushindwa kwa uongozi mzima wa serikali
 
NJOMBE WAMEUA MTOTO TENA.


Kuna taarifa zinasambaa kwamba kuna mtoto ameuwawa tena kijiji cha matembwe Jimbo la Lupembe na timu ya ulinzi na usalama ya Mkoa imehamia huko usiku wa Leo kwa ucgunguzi

Kwa taarifa zaidi nitawajuza

Updates
Huyu mtoto anaitwa Rachel, Ni mtoto wa miaka nane.
Alipotea majira ya mchana, walimtafuta Bila mafanikio mpaka ilipofika jioni waliukuta mwili wake msituni akiwa ameuwawa na kutolewa macho na sehemu za siri.

my take
Hawa wauaji ni watu majasiri sana, pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya ndani kuwepo hapa siku za hivi karibuni na kukemea kwa nguvu na kuahidi watakiona na mtema kuni watakaokamatwa Bado Bila uoga wanaendelea kuua.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio Kakobe na Gwajima wanahitajika siyo kukimbilia kula sambusa tu!
 
Back
Top Bottom