Wakuu,
Kwenye nipashe asubuhi leo nimepata habari ya kusikitisha ya watoto wa miaka 12 mpaka 13 wamemnyonga mtoto mwezao wa miaka 2
Kisa kimetokea wakati watoto hao wakicheza Kaka wa marehemu (12) alituhumiwa kuiba goroli na wenzake 2 wa rika lake.
Wale rafiki zake wawili wakamkimbiza lakini yule mtuhumiwa (kaka wa marehemu) akawazidi mbio akatokomea.
Basi wale Vijana kwa hasira wakamrudia mdogo wake ( 2) wakamchukua na kumpeleka kichakani wakamfunga kamba shingoni wakamninigiza hadi kifo chake, alipofariki wakamfungua kamba wakambwaga chini wakampiga na tofali wakatokomea zao.
Mama mzazi wa marehemu amethibitisha mauaji haya.
Mwenye habari zaidi atupatie kwamba je vijana hawa wamekamatwa?
Kwenye nipashe asubuhi leo nimepata habari ya kusikitisha ya watoto wa miaka 12 mpaka 13 wamemnyonga mtoto mwezao wa miaka 2
Kisa kimetokea wakati watoto hao wakicheza Kaka wa marehemu (12) alituhumiwa kuiba goroli na wenzake 2 wa rika lake.
Wale rafiki zake wawili wakamkimbiza lakini yule mtuhumiwa (kaka wa marehemu) akawazidi mbio akatokomea.
Basi wale Vijana kwa hasira wakamrudia mdogo wake ( 2) wakamchukua na kumpeleka kichakani wakamfunga kamba shingoni wakamninigiza hadi kifo chake, alipofariki wakamfungua kamba wakambwaga chini wakampiga na tofali wakatokomea zao.
Mama mzazi wa marehemu amethibitisha mauaji haya.
Mwenye habari zaidi atupatie kwamba je vijana hawa wamekamatwa?