Mtoto wa Mfalme

Mtoto wa Mfalme

Daudi Mchambuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
62,190
Reaction score
128,261
Mtoto wa mfalme akimsifia mfalme mbele ya raia wenye sura zenye majonzi tele. Tazama kwa makini hizi sura za hawa raia wanaomsikiliza.
288637_116931388405726_116927725072759_101378_1623778_o.jpg.
 
Dhambi kubwa wanao msikili wananjaa,jua kali ,jasho mpaka kwenye nyayo.MUNGU tuhurumie na adha hii
 
Pamoja na kupewa nguo na buku mbili mbili lakini wana njaa ya kufa mtu.
 
Sijui kama wanamuelewa,wanangoja hiyo buku watawanyike.
 
umaskini mbaya sana
angalia waliovaa nguo zao na hawa wa kijani duuuhh
lazima ziwe pamba za sikukuu!!!:boxing:
 
huyo dada chini ya prince of msoga mbona kanuna hivyo? au walimlazimisha?
 
wa2 wanamshangaa sidhani hata kama wanasikiliza anachoongea
 
Mfalme wa mishen town!
Huyo aliyenuna hapo mbele na kacha yake shingoni na nywele hajachana mwaka mzima nimwanaume au mwanamke wakuu?
 
mpaka nimejisikia kichefuchefuuuuuuuuuuuuuuuuu! Ningejua mtoto wa mfalme ndo haya MAGAMBA,wala nisingeifungua hiyo pcha!
 
masiki, hivi huyo mdada/mkaka aliyenuna hapo mbele ya mwanamfalme amekula kweli? au ndo wanausalama wenyewe?
 
Sasa huyu ni kama nani kwenye Taifa hili?
attachment.php

Silolote huyu Ritz One bin Vasco da Gamba, anatumia mgongo wa dingi yake kujiestablish. Siku ikifika kama ya walibya au misri mtaona mbio atakazo timua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom