Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wakati sakata la watoto wa vigogo likiendelea kutafutiwa ufumbuzi baadhi ya mashirika mbali yameendelea kuwajibika katika hili na kutia simanzi kwa jinsi hali ya kung'ang'ania watoto wa vigogo inapoendelea .....
Habari zaidi za kusikitisha zinasema mtoto wa waziri wa mambo ya nje Mh MEMBE ameishangaza jamii ...hivi karibuni katika shirika moja la ndege la tanzania pale lilipotangazwa zoezi la redandas ..mtoto wa mh membe gafla aliamishiwa katika kitengo fulani na yule aliehusika kurudishwa pale alipokuwepo mtoto wa mh membe...wakati tulipoanza kufwatilia ukweli halisi tuliambiwa kijana huyu aliamishiwa kitengo cha mjini toka ofisi zao za aport sehemu ambayo alikuwepo mtu mmoja tu....tulipomtafuta mhusika mwenyewe aliweza kukataa kujibu kabla ya kuanza kueleza ""mimi hata waseme nini hili zoezi aliwezinigusa"na kama unashida zaidi kamuulize bosi wangu alienihamisha
hili lilitudhihirishia wazi kweli kuna kitu kama hicho....
Tukiwa kama watanzania waliofundishwa ustaarabu ...uongozi wa kampuni hii auna budi kujisafisha kwa hili...haya yanadhihiirisha uchafu gani unaotokea katika mashirika ya umma kwa kuwalinda watoto wa vigogo....
tulipofwatilia ofisi zao za mjini tulipewa namba ambayo mhusik alipokea na alipotusikiliza alikata simu...tunaomba wale wanaopewa dhamana kwa mashirika ya umma wajue tunapowapigia waandishi tunawasaidia na si kuwaharabia kama wanavyotukatia simu
Habari zaidi za kusikitisha zinasema mtoto wa waziri wa mambo ya nje Mh MEMBE ameishangaza jamii ...hivi karibuni katika shirika moja la ndege la tanzania pale lilipotangazwa zoezi la redandas ..mtoto wa mh membe gafla aliamishiwa katika kitengo fulani na yule aliehusika kurudishwa pale alipokuwepo mtoto wa mh membe...wakati tulipoanza kufwatilia ukweli halisi tuliambiwa kijana huyu aliamishiwa kitengo cha mjini toka ofisi zao za aport sehemu ambayo alikuwepo mtu mmoja tu....tulipomtafuta mhusika mwenyewe aliweza kukataa kujibu kabla ya kuanza kueleza ""mimi hata waseme nini hili zoezi aliwezinigusa"na kama unashida zaidi kamuulize bosi wangu alienihamisha
hili lilitudhihirishia wazi kweli kuna kitu kama hicho....
Tukiwa kama watanzania waliofundishwa ustaarabu ...uongozi wa kampuni hii auna budi kujisafisha kwa hili...haya yanadhihiirisha uchafu gani unaotokea katika mashirika ya umma kwa kuwalinda watoto wa vigogo....
tulipofwatilia ofisi zao za mjini tulipewa namba ambayo mhusik alipokea na alipotusikiliza alikata simu...tunaomba wale wanaopewa dhamana kwa mashirika ya umma wajue tunapowapigia waandishi tunawasaidia na si kuwaharabia kama wanavyotukatia simu