Mtoto wa Membe ahamishwa ofisi asipoteze ajira

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Wakati sakata la watoto wa vigogo likiendelea kutafutiwa ufumbuzi baadhi ya mashirika mbali yameendelea kuwajibika katika hili na kutia simanzi kwa jinsi hali ya kung'ang'ania watoto wa vigogo inapoendelea .....

Habari zaidi za kusikitisha zinasema mtoto wa waziri wa mambo ya nje Mh MEMBE ameishangaza jamii ...hivi karibuni katika shirika moja la ndege la tanzania pale lilipotangazwa zoezi la redandas ..mtoto wa mh membe gafla aliamishiwa katika kitengo fulani na yule aliehusika kurudishwa pale alipokuwepo mtoto wa mh membe...wakati tulipoanza kufwatilia ukweli halisi tuliambiwa kijana huyu aliamishiwa kitengo cha mjini toka ofisi zao za aport sehemu ambayo alikuwepo mtu mmoja tu....tulipomtafuta mhusika mwenyewe aliweza kukataa kujibu kabla ya kuanza kueleza ""mimi hata waseme nini hili zoezi aliwezinigusa"na kama unashida zaidi kamuulize bosi wangu alienihamisha

hili lilitudhihirishia wazi kweli kuna kitu kama hicho....

Tukiwa kama watanzania waliofundishwa ustaarabu ...uongozi wa kampuni hii auna budi kujisafisha kwa hili...haya yanadhihiirisha uchafu gani unaotokea katika mashirika ya umma kwa kuwalinda watoto wa vigogo....
tulipofwatilia ofisi zao za mjini tulipewa namba ambayo mhusik alipokea na alipotusikiliza alikata simu...tunaomba wale wanaopewa dhamana kwa mashirika ya umma wajue tunapowapigia waandishi tunawasaidia na si kuwaharabia kama wanavyotukatia simu
 
Wakuu,
Ni kweli kabisa hilo limefanyika na hiyo kampuni ni ATCL na huyo mfanyakazi anaitwa John Membe
 
Kwa heshima ya Bernard Membe Ningemshauri amuondoe huyo mtoto au hata amtaftie shule nje ya nchi kama wengi wanavyofanya... maana siri si siri tena!!
 
Mwandishi anatoa hukumu wakati taarifa za kuthibitisha hana. Mtu kuhamishwa kituo kuna sababu kadhaa, ni wapi imethibitishwa kahamishwa ili kukwepa redundance?...Ungesema hana sifa za kazi, au hakuajiriwa kwa kufuata taratibu, pengine ingekua issue. Watu najua tupo frustrated na maisha, ila kutaka watoto wa viongozi wasipewe fursa ya kufanya kazi kwenye mashirika kama watanzania wengine ni choyo isiyo na msingi. Nao ni watanzania, na kama ilivyo kwa mtu yeyote atajaribu kuadvance career yake. What is wrong with that?

Its high time waandishi muka concentrate on issues za kitaifa, maana sikuhizi hii obscession yenu kwa personalities na kutaja majina imefika mahali inakera... Ni name dropping tu kila siku. Hivi hakuna issues za kuandika bila the so called fulani fulani na watoto zao kutajwa tajwa?...

Halafu kachumbari za udaku nyingii, eti kitendo "kilichoishangaza jamii"...na kwamba kuhamisha mtu kituo cha kazi ni moja ya "uchafu wa mashirika ya umma".

Petty issues tu kila siku...majungu majunguuu aaarrrrgh!
 
Sioni tatizo kwa John kuhamishwa, cha msingi anazo sifa zinazomuwezesha kubaki katika hiyo ajra mpya.
 
Kama jamaa kahamishwa halafu shortly kunatokea redundancy kule alikotoka, halafu hii move imefanywa kwake tu basi watu tutaweka one and one kupata two, tutaona special treatment moja kwa moja.
 
majungu yako kwa wabeba mabox huku tunasaidiana kuambiana ukweli...hakuna majungu...kama majungu si umesikia yaliowakuta BOT..
swala muhimu sababu za kuhamishwa walikuwa hawana...huyo alieamishwa aiasemekena amekuwa hapo 2 yrs..na yuko mwenyewe hiyo posn.iweje leo hii watangaza ridandas anahamishwa mtu gafla....huo uhuni wa kifadhihina...................??
 
Mwandishi anatoa hukumu wakati taarifa za kuthibitisha hana. Mtu kuhamishwa kituo kuna sababu kadhaa, ni wapi imethibitishwa kahamishwa ili kukwepa redundance?...Ungesema hana sifa za kazi, au hakuajiriwa kwa kufuata taratibu, pengine ingekua issue. Watu najua tupo frustrated na maisha, ila kutaka watoto wa viongozi wasipewe fursa ya kufanya kazi kwenye mashirika kama watanzania wengine ni choyo isiyo na msingi. Nao ni watanzania, na kama ilivyo kwa mtu yeyote atajaribu kuadvance career yake. What is wrong with that?

Its high time waandishi muka concentrate on issues za kitaifa, maana sikuhizi hii obscession yenu kwa personalities na kutaja majina imefika mahali inakera... Ni name dropping tu kila siku. Hivi hakuna issues za kuandika bila the so called fulani fulani na watoto zao kutajwa tajwa?...

Halafu kachumbari za udaku nyingii, eti kitendo "kilichoishangaza jamii"...na kwamba kuhamisha mtu kituo cha kazi ni moja ya "uchafu wa mashirika ya umma".

Petty issues tu kila siku...majungu majunguuu aaarrrrgh!

Ni lazima ku pursue kila story iliyo na harufu ya unfairness.Sasa hivi tuna magazeti ya kutosha kufuatilia mpaka udaku, kwa nini tusifuatilie mambo ya kujenga society inayoheshimu rule of law?
 
Kwa heshima ya Bernard Membe Ningemshauri amuondoe huyo mtoto au hata amtaftie shule nje ya nchi kama wengi wanavyofanya... maana siri si siri tena!!

MTM,
Mimi niliposoma ujumbe huu haraka haraka nilidhani unatoka kwenye gazeti la Mwanahalisi, lile ligazeti letu linalotoaga "habari nyeti na zenye uhakika" yaani Saidi Kubenea. Niliporudiya na kusoma vizuli nikagunduwa kumbe mwandishi sio shujaa wetu Kubenea; yeye hapendagi kuandika umbeya.

Mwanahalisi wa JF naona pengine ubadirishe jina lako la bandia kwasababu ukiendeleya na ku post Udaku kama huu unaweza kumharibia shujaa wetu Kubenea na gazeti lake lenye kuleta vitu vya uhakika. Tafadhali lifikirie ombi langu.

Kabula ya kuwa waziri, Membe alikuwa jirani yangu pale Mikocheni. Ninawafahamu watoto wake wote. Ana watoto wawilli wakiume. Mmoja anitwa Richard ambaye anasoma university na wa pili anaitwa Denis ambaye anasoma primary. Nakuhakikishia kuwa Membe hana mtoto anayeitwa John.

Kabula ya kumutumia shutumu zetu kuhusu hilo suala la ATC ni vizuri Mwanahalisi wa JF atufafanuliye. Huyo John alimuzaa lini? Una hakika na source yako au mvuto wa kuandika Udaku umekushinda nguvu? Kwa taarifa tu sio lazima mtu yoyote mwenye jina la pili la "Membe" lazima awe mtoto wa waziri Membe, nadhani unalielewa hilo. Tukitumiya standard hiyo mbona wafanyakazi wote wanaoitwa Mushi, Moshi, Massawe, Masanja nk watakuwa kwenye matatizo! MODS itakuwa vizuri mkifuta huu udaku au uhamishiwe huko kwenye kabrasha la umbeya!
 
MTM,
Mimi niliposoma ujumbe huu haraka haraka nilidhani unatoka kwenye gazeti la Mwanahalisi, lile ligazeti letu linalotoaga "habari nyeti na zenye uhakika" yaani Saidi Kubenea. Niliporudiya na kusoma vizuli nikagunduwa kumbe mwandishi sio shujaa wetu Kubenea; yeye hapendagi kuandika umbeya.

Mwanahalisi wa JF naona pengine ubadirishe jina lako la bandia kwa sababu ukiendeleya na ku post Udaku kama huu unaweza kumharibia shujaa wetu Kubenea na gazeti lake lenye kuleta vitu vya uhakika. Tafadhali lifikirie ombi langu.

Kabula ya kuwa waziri, Membe alikuwa jirani yangu pale Mikocheni. Ninawafahamu watoto wake wote. Ana watoto wawilli wakiume. Mmoja anitwa Richard ambaye anasoma university na wa pili anaitwa Denis ambaye anasoma primary. Nakuhakikishia kuwa Membe hana mtoto anayeitwa John.

Kabula ya kumutumia shutumu zetu kuhusu hilo suala la ATC ni vizuri Mwanahalisi wa JF atufafanuliye. Huyo John alimuzaa lini? Una hakika na source yako au mvuto wa kuandika Udaku umekushinda nguvu? Kwa taarifa tu sio lazima mtu yoyote mwenye jina la pili la "Membe" lazima awe mtoto wa waziri Membe, nadhani unalielewa hilo. Tukitumiya standard hiyo mbona wafanyakazi wote wanaoitwa Mushi, Moshi, Massawe, Masanja nk watakuwa kwenye matatizo! MODS itakuwa vizuri mkifuta huu udaku au uhamishiwe huko kwenye kabrasha la umbeya!

Hongera kwa maneno muruwa ya Kiswahili chako
 
Mwandishi anatoa hukumu wakati taarifa za kuthibitisha hana. Mtu kuhamishwa kituo kuna sababu kadhaa, ni wapi imethibitishwa kahamishwa ili kukwepa redundance?...Ungesema hana sifa za kazi, au hakuajiriwa kwa kufuata taratibu, pengine ingekua issue. Watu najua tupo frustrated na maisha, ila kutaka watoto wa viongozi wasipewe fursa ya kufanya kazi kwenye mashirika kama watanzania wengine ni choyo isiyo na msingi. Nao ni watanzania, na kama ilivyo kwa mtu yeyote atajaribu kuadvance career yake. What is wrong with that?

Its high time waandishi muka concentrate on issues za kitaifa, maana sikuhizi hii obscession yenu kwa personalities na kutaja majina imefika mahali inakera... Ni name dropping tu kila siku. Hivi hakuna issues za kuandika bila the so called fulani fulani na watoto zao kutajwa tajwa?...

Halafu kachumbari za udaku nyingii, eti kitendo "kilichoishangaza jamii"...na kwamba kuhamisha mtu kituo cha kazi ni moja ya "uchafu wa mashirika ya umma".

Petty issues tu kila siku...majungu majunguuu aaarrrrgh!

Mkuu na wewe ni mtoto wa Kigogo nini? Je upo shirika gani BOT au..... tehetehe.... Watoto wa Masikini wanamaliza mavyuo vikuu na madigirii yao wanasota mtaani watoto wa vigogo hata kabla hawajahitimu tayari na ajira ina msubiri...hakuna usawa hata kidogo....
 
Dah hivi hata watoto wa wakulima nao wamehamishwa au kahamishwa mmoja tu?
 
MTM,
Mimi niliposoma ujumbe huu haraka haraka nilidhani unatoka kwenye gazeti la Mwanahalisi, lile ligazeti letu linalotoaga "habari nyeti na zenye uhakika" yaani Saidi Kubenea. Niliporudiya =Niliporudia na kusoma vizuli=vizuri nikagunduwa= nikagundua kumbe mwandishi sio shujaa wetu Kubenea; yeye hapendagi =huwa hapendi kuandika umbeya= umbea.

Mwanahalisi wa JF naona pengine ubadirishe=ubadilishe jina lako la bandia kwasababu ukiendeleya =ukiendelea na ku post Udaku kama huu unaweza kumharibia shujaa wetu Kubenea na gazeti lake lenye kuleta vitu vya uhakika. Tafadhali lifikirie ombi langu.

Kabula= kabla ya kuwa waziri, Membe alikuwa jirani yangu pale Mikocheni. Ninawafahamu watoto wake wote. Ana watoto wawilli wakiume. Mmoja anitwa=anaitwa Richard ambaye anasoma university na wa pili anaitwa Denis ambaye anasoma primary. Nakuhakikishia kuwa Membe hana mtoto anayeitwa John.

Kabula= kabla ya kumutumia= kumtumia shutumu zetu kuhusu hilo suala la ATC ni vizuri Mwanahalisi wa JF atufafanuliye= atufafanulie. Huyo John alimuzaa=alimzaa lini? Una hakika na source yako au mvuto wa kuandika Udaku umekushinda nguvu?hii ni lugha ya picha au? Kwa taarifa tu sio lazima mtu yoyote mwenye jina la pili la "Membe" lazima awe mtoto wa waziri Membe, nadhani unalielewa hilo. Tukitumiya= tukitumia standard hiyo mbona wafanyakazi wote wanaoitwa Mushi, Moshi, Massawe, Masanja nk watakuwa kwenye matatizo! MODS itakuwa vizuri mkifuta huu udaku au uhamishiwe huko kwenye kabrasha la umbeya!
It either wewe wa kuja, yaani mjini huna hata miaka 5 toka ulipotoka bara au mkimbizi kwani wapo wengi tuu wamejificha baada ya vita hawataki kurudi tena kwao.Now tell us who are u? and please usiharibu lugha yetu which is the first native African language kutumiwa na watu wengi katika nchi mbalimbali.
 
Watoto wa Vigogo,
Baba zenu wameuwa mashirika yote ya serikali. Kuna siku kama si nyie basi wajuu wenu watakuja kusota tu. SIdhani kama nyie wote mtakuja kuwa Mawaziri kama baba zenu. Inabidi ifike sehemu muanze kuwaamia baba zenu kuwa "Kuuwa nchi ni kuuwa future yenu pia". Inawezekana sasa hivi vigogo wanatesa kwa kuwa na dola milioni moja ila kwa miaka kadhaa ijayo itakuwa si kitu. Kama hela mtaani zitakuwa nyingi basi always kutakuwa na chance hata za wajukuu wenu na wao kuzipata. Ila siku wakija Wachina/Wazungu /Waarabu na kuishika hii nchi, hata nyie tutakuwa wote tukifua chupi zao na kulea watoto wao maana ni kazi pekee itatufaa.

Akiba ya taifa ndiyo akiba ya uhakika kwetu wote. Walau ule uhakika wa kusema ntasoma na ntatibiwa wakati wowote bila ya kujali sina au nina pesa. Sasa ATCL ikifa, si hao watoto wa vigogo nao watakosa sehemu ya kufanya kazi? Siku wakija wageni na kushika nchi itakuwa ni kupewa kazi wakati baba yako ni Waziri. Akiondolewa, basi wanakufukuza kazi na wewe...... too sad.
 
Watoto wa Vigogo,
Baba zenu wameuwa mashirika yote ya serikali. Kuna siku kama si nyie basi wajuu wenu watakuja kusota tu. SIdhani kama nyie wote mtakuja kuwa Mawaziri kama baba zenu. Inabidi ifike sehemu muanze kuwaamia baba zenu kuwa "Kuuwa nchi ni kuuwa future yenu pia". Inawezekana sasa hivi vigogo wanatesa kwa kuwa na dola milioni moja ila kwa miaka kadhaa ijayo itakuwa si kitu. Kama hela mtaani zitakuwa nyingi basi always kutakuwa na chance hata za wajukuu wenu na wao kuzipata. Ila siku wakija Wachina/Wazungu /Waarabu na kuishika hii nchi, hata nyie tutakuwa wote tukifua chupi zao na kulea watoto wao maana ni kazi pekee itatufaa.

Akiba ya taifa ndiyo akiba ya uhakika kwetu wote. Walau ule uhakika wa kusema ntasoma na ntatibiwa wakati wowote bila ya kujali sina au nina pesa. Sasa ATCL ikifa, si hao watoto wa vigogo nao watakosa sehemu ya kufanya kazi? Siku wakija wageni na kushika nchi itakuwa ni kupewa kazi wakati baba yako ni Waziri. Akiondolewa, basi wanakufukuza kazi na wewe...... too sad.
Sikonge just being curious, hivi hiyo signature yako ina maanisha?au mzee una-info kwamba ndiye watakaye msimamisha kugombea?
 
Sikonge just being curious, hivi hiyo signature yako ina maanisha?au mzee una-info kwamba ndiye watakaye msimamisha kugombea?

Mkuu,
Hiyo sahihi yangu inawakilisha mawazo yangu tu. Dr Slaa wala hahusiki. Mie ni watu ambao wanaamini kuwa huyu jamaa akisema anagombea basi ntawajulisha ndugu na jamaa wengi wampigie. Vinginevyo basi hata mwakani mie kwene uchaguzi sidhani kama ntahusika.

Hivyo, nakaribisha na wengine wawe na sahihi kama hiyo. Kama tukiwa wengi, inawezekana Dr. Slaa akafikiria na kuanza kuchukua form. Inawezekana hapendi kuingia kwenye jambo ambalo hana uhakika nalo. Ila tukiwa wengi, basi itakuwa rahisi kumshawishi. Hadi sasa ni kiongozi pekee ambaye ana uchungu na nchi yake na hajakamatwa au hata kusingiziwa na UFISADI wowote ule.
 
hii ni kashfa sana kwa kiongozi kama Membe kufanya kitu ambacho ni kosa na uonevu kwa wengine, hata kama Membe hakuusika aangalie jinsi ya kutoka kwenye kashfa hii
 
It either wewe wa kuja, yaani mjini huna hata miaka 5 toka ulipotoka bara au mkimbizi kwani wapo wengi tuu wamejificha baada ya vita hawataki kurudi tena kwao.Now tell us who are u? and please usiharibu lugha yetu which is the first native African language kutumiwa na watu wengi katika nchi mbalimbali.

Naigwe,
Wewe na Congo hamujakosea kabisa. Mimi natokaga huko ndani Usukumani na nimekuja Dalisalamu miaka ya kalibuni. Marafiki zangu huwa wananiambiaga kuwa mimi ni mshamba. Na naamini hawajakosea kwasababu luga ambayo nimeizoweya ni Kisukuma ila ninajitahidi kunyoosha Kiswahili changu ili muweze kunielewa bila matatizo. Wakati ninajifunza, itabidi munivumiliye.

I have really taken your (you and Congo) criticism and words of advice to heart. Even though you have noted that my Kiswahili is less than perfect (which unfortunately is not a new revelation), I believe there is (my linguistic shortcomings notwithstanding) plenty of elbow or wiggle room that allows me to get the thrust of my message across to the intended audience, which to me is the most important take away message from this exchange.

A perfect symbiosis seems to be at work here: I am learning from your advice and criticism, while at the same time you are giving me the opportunity to get my message across. It demonstrates, if nothing else, that in this forum it is possible to exchange views and ideas as brothers and sister not only without insulting each other, but with a sense of enormous fulfillment and for that we all have to be thankful for being Tanzanians.
 
Back
Top Bottom