Dudley Mbowe, mtoto wa kiume wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospital ya Aga Khan, Dar es Salaam baada ya kuumia vibaya kichwani.
Kijana huyo jana alifanyiwa operesheni ya kichwa na inaelezwa hali yake ni mbaya.
Sababu za kulazwa kwa Dudley inaelezwa kuwa ni baada ya kuanguka na kukigonga kichwa chake vibaya wakati akiwa Yatch Club, iliyoko Leopard’s Cove, Msasani Bay jijini Dar es Salaam.
Club hiyo ni sehemu ya starehe ambayo inaruhusu wanachama tu kuingia na kustarehe. Gharama ya kuwa mwanachama ni dola 500 (zaidi ya Sh milioni 1) inayolipwa kila mwaka. Kiasi hiki hakihusishi gharama za vinywaji, vyakula, boti za kifahari na huduma nyingine za kiwango cha kimataifa.
Hili linakuja ikiwa ni siku chache tangu Freeman Mbowe adaiwe kuumizwa na kuvunjwa mguu akiwa jijini Dodoma ambapo baadaye alihamishiwa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar.
Chanzo: Mtoto wa Mbowe aanguka, alazwa ICU
Pengine mazoezi yalikolea,labda huwa wanaruka sarakasi mle,,au vinywaji vilizidi,kama huyu ndo aliepona corona,usikute dozi labda iliishia njiani,etcSababu ya kuanguka ni nini au n baada ya kulewa. Weka maneno kamili
Jitahidi uwe mwenyekiti ili ukabidhiwe fuko la ruzukuHivyo ndio viwanja sasa ngoja niongeze bidii ya kutafuta hela.
Wajinga ndio mliwao.....ruzuku inapigwaPole sana Dudley
Umempa pole Mwampamba?Wajinga ndio mliwao.....ruzuku inapigwa
Naye anakosea..kipindi Hiki kigumu Sana....anaharibu taswira ya dingiTatizo hawa watu,,hawajui hiki kipindi wanapaswa kuwa waangalifu sana,,yaani hata mtaani watembee kwa kunyata kwa umakini mkubwa,kosa moja,goli
Naye anakosea..kipindi Hiki kigumu Sana....anaharibu taswira ya dingiTatizo hawa watu,,hawajui hiki kipindi wanapaswa kuwa waangalifu sana,,yaani hata mtaani watembee kwa kunyata kwa umakini mkubwa,kosa moja,goli
Anayevunja Ndoa Za Watu 😀😁😂Umempa pole Mwampamba?
Yatch club mwenzangu na Mimi kuingia pale ni Kama kuisaka visa ya kwenda kwa Trump.Nakuombea upone upesi mtoto wa mwenyekiti
La Kuvunda Halina UbaniNisiposema pole pengine nikaonekana nna wivu wa dola 500,.lol lakini kuna majanga mengine ni ya kujitakia tuu...ulevi???
Pole kijana Dudley.Dudley Mbowe, mtoto wa kiume wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman A. Mbowe amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospital ya Aga Khan, Dar es Salaam baada ya kuumia vibaya kichwani.
Kijana huyo jana alifanyiwa operesheni ya kichwa na inaelezwa hali yake ni mbaya.
Sababu za kulazwa kwa Dudley inaelezwa kuwa ni baada ya kuanguka na kukigonga kichwa chake vibaya wakati akiwa Yatch Club, iliyoko Leopard’s Cove, Msasani Bay jijini Dar es Salaam.
Club hiyo ni sehemu ya starehe ambayo inaruhusu wanachama tu kuingia na kustarehe. Gharama ya kuwa mwanachama ni dola 500 (zaidi ya Sh milioni 1) inayolipwa kila mwaka. Kiasi hiki hakihusishi gharama za vinywaji, vyakula, boti za kifahari na huduma nyingine za kiwango cha kimataifa.
Hili linakuja ikiwa ni siku chache tangu Freeman Mbowe adaiwe kuumizwa na kuvunjwa mguu akiwa jijini Dodoma ambapo baadaye alihamishiwa Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar.
Chanzo: Mtoto wa Mbowe aanguka, alazwa ICU
Hawajiongezi,,yaani anaenda kujirusha mda huu bila hata kufikiri anaweza kuharibu image ya mgombea urais,,sasa mnyonge akiona eti analipa milioni na ushee kwenda kupiga pushapu,,si ataona huyu si mwenzetu?Naye anakosea..kipindi Hiki kigumu Sana....anaharibu taswira ya dingi
Sikio La Kufa Litasikia Kwa MunguNaye anakosea..kipindi Hiki kigumu Sana....anaharibu taswira ya dingi
Mnyika kachelea kutumia nafasi.Hawajiongezi,,yaani anaenda kujirusha mda huu bila hata kufikiri anaweza kuharibu image ya mgombea urais,,sasa mnyonge akiona eti analipa milioni na ushee kwenda kupiga pushapu,,si ataona huyu si mwenzetu?
The use of Dar Yacht Club facilities is governed by Constitution and is limited to “membership only”. A person wishing to join the Club can only do so at the invite of existing Full Members. Prospective members must be proposed and seconded for membership by existing Full Members that are in good standing and have been members for longer than six months. The Proposer and Seconder become both guarantor and mentor for one year.